< 1 Sa:miuele 6 >

1 Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da oubi fesuale agoane Filisidini soge ganodini dialu fa: no,
Basi sanduku la BWANA lilikaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba.
2 dunu ilia da gobele salasu dunu amola fefedoasu dunu ili misa: ne wele sia: i, amalu amane sia: i, “Ninia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili abuli hamoma: bela: ? Be ninia da hi dialua amoga iagasea, adila gilisili iagama: bela: ?
Ndipo Wafilisti wakawaita makuhani na waganga; wakawaambia, “Tulifanyie nini sanduku la BWANA? Twambieni jinsi ambavyo tunapaswa kulirudisha sanduku katika nchi yake.”
3 Ilia da bu adole i, “Be dilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili Isala: ili fi ilima iagasea, dafawanedafa su agoai dilia wadela: i hou dabe ima: ne Ema udigili iasu afae ima. Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da su amo da: iya hame legele da hamedafa iagamu. Agoane hamosea ninia se nabasu da gahegimu, amola Ea ninima se nabasu gebewane ianusu bai da nini ba: lu dawa: digimu.”
Makuhani na waganga wakasema, “Kama mtalirudisha sanduku la Mungu wa Israeli, msilipeleke bila zawadi; kwa namna yoyote ile mpelekeeni sadakaa ya hatia. Hapo ndipo mtapona, na mtajua ni kwanini mkono wake hadi sasa haujaondoka juu yenu.”
4 “Ninia da adi su legele iagama: bela: ?” Dunu ilia da adole boba: i. Ilia da adole i, “Filisidini hina bagade dunu biyale amo defele gouli hamoi momahoi biyale amola Filisidini hina bagade dunu defegagale gouliga hamoi ilogoso amane ima. Bai Hina Gode da amo se nabasu dili huluanema amola hina bagade dunu biyale amo huluane iagagai.
Ndipo wakawauliza, “Sadaka ya hatia itakuwa nini kwamba tunampelekea?” Wakawajibu, “Majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu, Idadi hiyo ya watano ni sawa na idadi ya viongozi wa Wafilisti. Kwa sababu tauni ya aina moja iliwashambulia ninyi na viongozi wenu.
5 Ilogoso amola momahoi olo da dilia soge wadela: lala. Amaiba: le, dilia amo liligi defele gouliga hamomu da defea. Amola Isala: ili Godema nodone dawa: digima. Amabela: ? E da se bagade dima, dilia ‘gode’ amola dilia sogema iaha, amo yolesima: bela: ?
Kwa hiyo, nilazima mtengeneze mifano ya majipu yenu, na mifano ya panya wenu ambayo huiharibu nchi, na mpeni utukufu Mungu wa Israeli. Labda ataondoa mkono wake kutoka juu yenu, kutoka juu ya miungu yenu, na kutoka juu ya nchi yenu.
6 Dilia Idibidi hina bagade amola Idibidi dunu ilia hame nabasu hou defele maedafa hamoma. Mae gogolema, Gode da Idibidi dunu ilia dawa: su doulasili, Isala: ili da Idibidi yolesili asi amo.
Kwanini mfanye mioyo yenu kwa migumu, kama vile Wamisri na Farao walifanya mioyo yao kuwa migumu? Hicho ni kipindi ambacho Mungu wa Israeli aliwashughilikia sana; Je, Wamisri hawakuwaachilia watu, na wakaondoka?
7 Di da gaguli fula ahoasu gaheabolo hahamoma. Amola bulamagau aseme aduna, ela damana gomenesili afae hame hiougisi, gaguli fula ahoasu gaheabolo hahamoi amo lale, bulamagau aduna amo damana gomenesili, bulamagau elea mano ela ha: i manu diasu amoga bu sinidigili oule masa.
Basi sasa, andaeni mkokoteni mpya pamoja na ng'ombe wawili wake wanaonyonyesha, ambao hawajawahi kufungwa nira. Wafungeni ng'ombe hao kwenye mkokoteni, lakini warudisheni wale ndama wao nyumbani.
8 Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili lale, gaguli fula ahoasu amo da: iya ligisima. Amalu beba: le gouliga hahamoi liligi gagili eno amo ganodini salima. Amo gouliga hahamoi liligi da dilia wadela: i hou hamoi dabe susa. Amo bulamagau da hisu masa: ne fisidigima.
Kisha lichukueni sanduku la BWANA na kuliweka ndani ya mkokoteni. Wekeni ndani ya kasha yale maumbo ya dhahabu mnayompelekea ambyo ni sadaka ya hatia kando yake. Ndipo mlipeleke lipate kuondoka.
9 Amalu bulamagau ea ahoabe habodi ahoabeyale sosodoma. Ela da Bedesiamese moilaiga ahoasea, amo da Isala: ili Gode Ea, ninima se dabe iaha dawa: mu. Be amane hamobe hame ba: sea, amo da Gode Ea ilegei hame, be hisu udigili doaga: i, ninia da dawa: mu.”
Kisha muwe makini; kama litapanda kwenda kwa njia hadi nchini mwake hadi Beth Shemeshi, basi mjue kuwa BWANA ndiye aliyetenda pigo hili kubwa. Lakini kama halitakwenda, ndipo tutajua kwamba siyo mkono wake uliotupatia mateso; badala yake tutajua kuwa yaliyotupata ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.
10 Ilia da hamoma: ne sia: i liligi huluane hamoi. Bulamagau aseme aduna lale, bulamagauga hiougisu hahamoi gaguli fula ahoasu lale, bulamagau damana gomenesi amalu bulamagau elea mano ela ha: i manu diasu amoga bu sinidigili oule asi.
Watu hao wakafanya kama walivyoambiwa, walichukuwa ng'ombe wawili wanaonyonyesha, wakawafunga kwenye mkokoteni, na kuwabakiza ndama wao nyumbani.
11 Ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli fula ahoasu gelaba ganodini sali. Amola gouliga hahamoi momahoi amola ilogoso gagili eno ganodini sali, amo gilisili gaguli fula ahoasu gelaba sali.
Wakaliweka sanduku la BWANA juu ya mkokoteni, pamoja na lile kasha lililobeba panya wa dhahabu na yale maumbo ya majipu yao.
12 Bulamagau da Bedesiamese moilaiga doaga: musa: mae giadofalewane asi. Ilia da ahoa gogona: afia: i. Amalalu Filisidini hina bagade dunu biyale, ilia da fa: no bobogele asili, soge ole Bedesiamese amogainisi.
Hao ng'ombe waliondoka moja kwa moja kuelekea Beth Shemeshi. Walikwenda kwa kuifuata nija moja kuu, wakiteremka walipokuwa wakienda, na hwakugeuka upande wa kushoto au kulia. Viongozi wa Wafilisti walifuata kwa nyuma hadi mpaka wa Beth Shemeshi.
13 Bedesiamese dunu ilia da fagoa widi bugi amo failalebe ba: i. Ilia da fofogadigili gadoba: le gadoloba, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ba: i. Ilia da amo bu ba: beba: le, baligili bagade nodoi.
Nao watu wa Beth Shemeshi walikuwa wakivuna ngano yao katika bonde. Waliponyanyua macho yao juu na kuliona sanduku, wakafurahi.
14 Bulamagau da gaguli fula ahoasu hiougilala misini, Yosiua (Bedesiamese moilaiga esalebe dunu) amo ea osobo moilalegai gele bagade bega: amoi yolesi. Dunu ilia da asili, goaheiga gaguli fula ahoasu ifaga hahamoi amo heda: sini sali, amalu bulamagau aduna amo fane, Hina Godema Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele sali.
Huo mkokoteni ulifikia ndani ya shamba la Yoshua wa Beth Shemeshi na ukasimama hapo. Kulikuapo jiwe kubwa mahali hapo, wakatayarisha kuni kutokana na mkokoteni huo, na wakawatoa ng'ombe hao kama sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya BWANA.
15 Lifai dunu ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amola gouliga hahamoi liligi gagili eno amo ganodini sali amola gaguia gadole gele bagade da: iya amoga bugisi. Amalu Bedesiamese dunu ilia da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobei salasu amola eno gobele salasu Hina Godema hamoi.
Walawi walilitelemsha sanduku la BWANA chini pamoja na kasha lake lililoyatunza yale maumbo ya dhahabu, wakaweka vitu hivyo juu ya hilo jiwe kubwa. Watu wa Beth Shemeshi walitoa sadaka za kuteketezwa na kutoa dhabihu kwa BWANA siku iyo hiyo.
16 Filisidini hina bagade dunu biyale ilia da amo hamobe sosodolalu, amogalawane ili moilai bai bagade Egelonega buhagi.
Hao viongozi watano wa Wafilisti walipoona hayo, walirejea Ekroni siku iyo hiyo.
17 Filisidini hina bagade dunu da momahoi biyale amo defele gouliga hamoi biyale amo Godema iasi, amo da ilia wadela: i hou dabe lama: ne. Hina bagade dunu afae da moilai bai bagade fi afae afae ouligisa, amo da A: siedode, Ga: isa, A:siegelone, Ga: de amola Egelone, amo hina bagade dunu afae afae da momahoi afae defele iasi.
Haya ndiyo majipu ya dhahabu ambayo Wafilisti walirudisha kama sadaka ya hatia kwa BWANA: moja kwa ajili ya Ashdodi, moja kwa Gaza, moja kwa Ashkeloni, moja kwa Gathi, na moja kwa Ekroni.
18 Ilia da gouliga hamoi ilogoso fofonobo amolawane iasi, moilai fi biyale amo da Filisidini hina bagade da ouligi afae afae higagale gouliga hamoi iasi. Amo da dunu hawa: hamosu lai gagoi ganodini fi amola diasua fi gagoi hamega gadili esafulubi huluanedafa gouliga hamoi liligi higagale iasi. Ilia da gagili sali moilai amola hame gagili sali moilai ouligisu. Gele bagade Bedesiamese dunu Yosiua ea soge ganodini amo da: iya ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ligisi, amo gele da gebewane dana, wali amo hou olelema: ne diala.
Idadi ya wale panya wa dhahabu ilikuwa sawa na ile ya idadi ya miji yote ya Wafilisti inayomilikiwa na viongozi watano, kwa miji iliyojengewa maboma na vijiji vya mashambani. Lile jiwe kubwa, ambalo kando yake waliweka sanduku la BWANA, lipo kama ushuhuda hadi leo katika shamba la Yoshua Mbeth- Shemeshi.
19 Hina Gode da Bedesiamese dunu 70 agoane fane legei. Bai ilia Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ganodini udigili ba: beba: le. Amola dunu ilia da da: i diosu bagadewane nabalu, bai Gode da ilima dunu fane legesu amo se nabasu iba: le.
BWANA akawashambulia baadhi ya watu wa Bethi Shemeshi kwa sababu walichungulia ndani ya sanduku lake. Aliwaua watu sabini. Watu wakaomboleza, kwa sababu BWANA aliwapa watu pigo kubwa mno.
20 Amalalu Bedesiamese dunu da amane sia: i, “Nowa da Hadigidafa Hina Gode Ea midadi leloma: ne defele galoma: bela: ? Bai E da Hadigidafa. E da guiguda: mae esaloma: ne, ninia E habodili asunasima: bela: ?”
Watu wa Bethi Shemeshi wakasema, “Ni nani mwenye uwezo wa kushindana na BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na atampandia nani akitoka kwetu.”” Je, ni nani awezaye kusimama mbele ya BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na ni kwa nani ambako sanduku litaenda likitoka hapa.”
21 Ilia da sia: Gilia: de Yialimi dunuma agoane sia: si, “Filisidini dunu ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da buhagili gaguli misi diala. Dilia guigudu lala misa.”
Wakawatuma wajumbe kwenda kwa wenyeji wa Kiriath Yearimu, wakisema, “Wafilisti wamelirudisha sanduku la BWANA; teremkeni na mkalipeleke kwenu.”

< 1 Sa:miuele 6 >