< 1 Sa:miuele 6 >

1 Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da oubi fesuale agoane Filisidini soge ganodini dialu fa: no,
Sanduku la Bwana lilipokuwa limekaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba,
2 dunu ilia da gobele salasu dunu amola fefedoasu dunu ili misa: ne wele sia: i, amalu amane sia: i, “Ninia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili abuli hamoma: bela: ? Be ninia da hi dialua amoga iagasea, adila gilisili iagama: bela: ?
Wafilisti waliwaita makuhani wa Dagoni na waaguzi, na kuwaambia, “Tutafanya nini na hili Sanduku la Bwana? Tuambieni jinsi tutakavyolirudisha mahali pake.”
3 Ilia da bu adole i, “Be dilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili Isala: ili fi ilima iagasea, dafawanedafa su agoai dilia wadela: i hou dabe ima: ne Ema udigili iasu afae ima. Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da su amo da: iya hame legele da hamedafa iagamu. Agoane hamosea ninia se nabasu da gahegimu, amola Ea ninima se nabasu gebewane ianusu bai da nini ba: lu dawa: digimu.”
Wakajibu, “Kama mtalirudisha Sanduku la Mungu wa Israeli, msilirudishe mikono mitupu bali kwa vyovyote mpelekeeni sadaka ya hatia. Kisha mtaponywa, nanyi mtafahamu kwa nini mkono wake haujaondolewa kwenu.”
4 “Ninia da adi su legele iagama: bela: ?” Dunu ilia da adole boba: i. Ilia da adole i, “Filisidini hina bagade dunu biyale amo defele gouli hamoi momahoi biyale amola Filisidini hina bagade dunu defegagale gouliga hamoi ilogoso amane ima. Bai Hina Gode da amo se nabasu dili huluanema amola hina bagade dunu biyale amo huluane iagagai.
Wafilisti wakawauliza, “Ni sadaka gani ya hatia tutakayompelekea?” Wakajibu, “Majipu matano ya dhahabu na panya wa dhahabu watano, kulingana na idadi ya watawala wa Wafilisti, kwa sababu tauni iyo hiyo imewaua ninyi na watawala wenu.
5 Ilogoso amola momahoi olo da dilia soge wadela: lala. Amaiba: le, dilia amo liligi defele gouliga hamomu da defea. Amola Isala: ili Godema nodone dawa: digima. Amabela: ? E da se bagade dima, dilia ‘gode’ amola dilia sogema iaha, amo yolesima: bela: ?
Tengenezeni mifano ya majipu na ya panya wale wanaoharibu nchi yenu, nanyi mheshimuni Mungu wa Israeli. Labda ataondoa mkono wake kutoka kwenu na kwa miungu yenu na nchi yenu.
6 Dilia Idibidi hina bagade amola Idibidi dunu ilia hame nabasu hou defele maedafa hamoma. Mae gogolema, Gode da Idibidi dunu ilia dawa: su doulasili, Isala: ili da Idibidi yolesili asi amo.
Kwa nini ninyi mnafanya mioyo yenu migumu kama Wamisri na Farao walivyofanya? Je, alipowatendea kwa ukali, hawakuwaachia Waisraeli wakaenda zao?
7 Di da gaguli fula ahoasu gaheabolo hahamoma. Amola bulamagau aseme aduna, ela damana gomenesili afae hame hiougisi, gaguli fula ahoasu gaheabolo hahamoi amo lale, bulamagau aduna amo damana gomenesili, bulamagau elea mano ela ha: i manu diasu amoga bu sinidigili oule masa.
“Sasa basi, wekeni gari jipya la kukokotwa pamoja na ngʼombe wawili ambao wamezaa lakini ambao kamwe hawajafungwa nira. Fungieni hao ngʼombe hilo gari, lakini ondoeni ndama wao na mwaweke zizini.
8 Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili lale, gaguli fula ahoasu amo da: iya ligisima. Amalu beba: le gouliga hahamoi liligi gagili eno amo ganodini salima. Amo gouliga hahamoi liligi da dilia wadela: i hou hamoi dabe susa. Amo bulamagau da hisu masa: ne fisidigima.
Chukueni hilo Sanduku la Bwana na mliweke juu ya gari la kukokotwa, na ndani ya kasha kando yake wekeni hivyo vitu vya dhahabu mnavyompelekea Bwana kama sadaka ya hatia. Lipelekeni,
9 Amalu bulamagau ea ahoabe habodi ahoabeyale sosodoma. Ela da Bedesiamese moilaiga ahoasea, amo da Isala: ili Gode Ea, ninima se dabe iaha dawa: mu. Be amane hamobe hame ba: sea, amo da Gode Ea ilegei hame, be hisu udigili doaga: i, ninia da dawa: mu.”
lakini liangalieni kwa makini. Iwapo litakwenda katika nchi yake lenyewe, kuelekea Beth-Shemeshi, basi tutajua kwamba Bwana ndiye alileta haya maafa makubwa juu yetu. Lakini kama halikwenda, basi tutajua kwamba haukuwa mkono wa Bwana uliotupiga na kwamba iliyotokea kwetu ni ajali.”
10 Ilia da hamoma: ne sia: i liligi huluane hamoi. Bulamagau aseme aduna lale, bulamagauga hiougisu hahamoi gaguli fula ahoasu lale, bulamagau damana gomenesi amalu bulamagau elea mano ela ha: i manu diasu amoga bu sinidigili oule asi.
Basi wakafanya hivyo. Wakachukua ngʼombe wawili wa aina hiyo, wakawafungia hilo gari la kukokotwa, nao ndama wao wakawekwa zizini.
11 Ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli fula ahoasu gelaba ganodini sali. Amola gouliga hahamoi momahoi amola ilogoso gagili eno ganodini sali, amo gilisili gaguli fula ahoasu gelaba sali.
Wakaliweka Sanduku la Bwana juu ya hilo gari la kukokotwa pamoja na lile kasha lenye ile mifano ya panya wa dhahabu na ya majipu ya dhahabu.
12 Bulamagau da Bedesiamese moilaiga doaga: musa: mae giadofalewane asi. Ilia da ahoa gogona: afia: i. Amalalu Filisidini hina bagade dunu biyale, ilia da fa: no bobogele asili, soge ole Bedesiamese amogainisi.
Kisha hao ngʼombe wakaenda moja kwa moja kuelekea Beth-Shemeshi, wakishuka bila kugeuka kuume au kushoto, huku wakilia njia yote. Watawala wa Wafilisti waliwafuata hao ngʼombe hadi mpakani mwa Beth-Shemeshi.
13 Bedesiamese dunu ilia da fagoa widi bugi amo failalebe ba: i. Ilia da fofogadigili gadoba: le gadoloba, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ba: i. Ilia da amo bu ba: beba: le, baligili bagade nodoi.
Wakati huu watu wa Beth-Shemeshi walikuwa wakivuna ngano yao huko bondeni, walipoinua macho yao na kuona lile Sanduku, wakafurahi kuliona.
14 Bulamagau da gaguli fula ahoasu hiougilala misini, Yosiua (Bedesiamese moilaiga esalebe dunu) amo ea osobo moilalegai gele bagade bega: amoi yolesi. Dunu ilia da asili, goaheiga gaguli fula ahoasu ifaga hahamoi amo heda: sini sali, amalu bulamagau aduna amo fane, Hina Godema Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele sali.
Lile gari la kukokotwa lilikuja mpaka kwenye shamba la Yoshua wa Beth-Shemeshi, nalo likasimama kando ya mwamba mkubwa. Watu wakapasua mbao za lile gari la kukokotwa na kutoa dhabihu wale ngʼombe kama sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.
15 Lifai dunu ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amola gouliga hahamoi liligi gagili eno amo ganodini sali amola gaguia gadole gele bagade da: iya amoga bugisi. Amalu Bedesiamese dunu ilia da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobei salasu amola eno gobele salasu Hina Godema hamoi.
Walawi walilishusha Sanduku la Bwana, pamoja na lile kasha lililokuwa na vile vitu vya dhahabu na kuviweka juu ya ule mwamba mkubwa. Siku ile watu wa Beth-Shemeshi wakatoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu kwa Bwana.
16 Filisidini hina bagade dunu biyale ilia da amo hamobe sosodolalu, amogalawane ili moilai bai bagade Egelonega buhagi.
Wale watawala watano wa Wafilisti waliona haya yote, nao wakarudi siku ile ile mpaka Ekroni.
17 Filisidini hina bagade dunu da momahoi biyale amo defele gouliga hamoi biyale amo Godema iasi, amo da ilia wadela: i hou dabe lama: ne. Hina bagade dunu afae da moilai bai bagade fi afae afae ouligisa, amo da A: siedode, Ga: isa, A:siegelone, Ga: de amola Egelone, amo hina bagade dunu afae afae da momahoi afae defele iasi.
Haya ndiyo yale majipu ya dhahabu Wafilisti waliyotuma kama sadaka ya hatia kwa Bwana, moja kwa ajili ya Ashdodi, moja kwa Gaza, moja kwa Ashkeloni, moja kwa Gathi, na moja kwa Ekroni.
18 Ilia da gouliga hamoi ilogoso fofonobo amolawane iasi, moilai fi biyale amo da Filisidini hina bagade da ouligi afae afae higagale gouliga hamoi iasi. Amo da dunu hawa: hamosu lai gagoi ganodini fi amola diasua fi gagoi hamega gadili esafulubi huluanedafa gouliga hamoi liligi higagale iasi. Ilia da gagili sali moilai amola hame gagili sali moilai ouligisu. Gele bagade Bedesiamese dunu Yosiua ea soge ganodini amo da: iya ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ligisi, amo gele da gebewane dana, wali amo hou olelema: ne diala.
Nayo hesabu ya wale panya wa dhahabu ilikuwa kulingana na idadi ya miji ya Wafilisti ya watawala watano wa Wafilisti: miji yao iliyozungukwa na maboma, pamoja na vijiji vya miji hiyo. Ule mwamba mkubwa, ambao juu yake waliliweka lile Sanduku la Bwana, ni ushahidi hadi leo katika shamba la Yoshua wa Beth-Shemeshi.
19 Hina Gode da Bedesiamese dunu 70 agoane fane legei. Bai ilia Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ganodini udigili ba: beba: le. Amola dunu ilia da da: i diosu bagadewane nabalu, bai Gode da ilima dunu fane legesu amo se nabasu iba: le.
Lakini Mungu aliwapiga baadhi ya watu wa Beth-Shemeshi, akiwaua watu sabini miongoni mwao kwa sababu walichungulia ndani ya Sanduku la Bwana. Watu wakaomboleza kwa sababu ya pigo zito kutoka kwa Bwana,
20 Amalalu Bedesiamese dunu da amane sia: i, “Nowa da Hadigidafa Hina Gode Ea midadi leloma: ne defele galoma: bela: ? Bai E da Hadigidafa. E da guiguda: mae esaloma: ne, ninia E habodili asunasima: bela: ?”
nao watu wa Beth-Shemeshi wakauliza, “Ni nani awezaye kusimama mbele za Bwana, huyu Mungu aliye mtakatifu? Sanduku litapanda kwenda kwa nani kutoka hapa?”
21 Ilia da sia: Gilia: de Yialimi dunuma agoane sia: si, “Filisidini dunu ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili da buhagili gaguli misi diala. Dilia guigudu lala misa.”
Kisha wakatuma wajumbe kwa watu wa Kiriath-Yearimu, wakisema, “Wafilisti wamerudisha Sanduku la Bwana. Shukeni na mlipandishe huko kwenu.”

< 1 Sa:miuele 6 >