< 1 Sa:miuele 26 >

1 Sife dunu oda da Gibiaga Soloma misini amola Da: ibidi da Ha: sila Goumi (Yuda hafoga: i soge bega: ) amoga wamoaligili esala, amo olelei.
Hao Wazifu wakamwendea Sauli huko Gibea na kusema, “Je, Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kinachotazamana na Yeshimoni?”
2 Solo da bisili, Isala: ili dadi gagui noga: idafa 3,000 agoane oule asili, Sife hafoga: i soge amoga Da: ibidi hogola asi.
Hivyo Sauli akashuka kwenda katika Jangwa la Zifu, akiwa na watu wake 3,000 wa Israeli waliochaguliwa, kumsaka Daudi huko.
3 Ilia Ha: sila Goumi logoa awalia asi esalu. Da: ibidi da gebewane hafoga: i soge amogai esaloba, Solo da e hogola misi, amo dawa: digi.
Sauli akapiga kambi yake kando ya barabara juu ya kilima cha Hakila kinachotazamana na Yeshimoni, lakini Daudi alikuwa anaishi huko jangwani. Alipoona kuwa Sauli amemfuata huko,
4 Amaiba: le, Da: ibidi da desega ahoasu dunu asunasili, ilia da ba: loba, Solo da dafawane amoga esalebe ba: i.
Daudi akatuma wapelelezi na akapata habari kwa hakika kwamba Sauli alikuwa amewasili.
5 E da amogalu hedolowane asili, Solo amola ea dadi gagui ouligisu bisilua, A:bena (Ne egefe) ili dialebe amo ba: i. Solo da wa: i fia dogoa amoi golai dialoba, amola ea dadi gagui dunu da e sisiga: le didalai dialebe ba: i.
Ndipo Daudi akaondoka, akaenda hadi mahali Sauli alikuwa amepiga kambi. Akaona mahali Sauli na Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi, walipokuwa wamelala. Sauli alikuwa amelala ndani ya kambi, jeshi likiwa limemzunguka.
6 Amalalu, Da: ibidi da A: himelege (Hidaide dunu) amola Youa: be ea eya Abisia: i (ela ame da Selouaia) elama amane adole ba: i, “Aliga afae da nowa da ani Solo ea wa: i fia amoga masa: bela: ?” Abisia: i da, “Na masunu!” e amane sia: i.
Basi Daudi akamuuliza Ahimeleki Mhiti, na Abishai mwana wa Seruya, nduguye Yoabu, akisema, “Ni nani atakayeshuka pamoja nami kambini kwa Sauli?” Abishai akajibu, “Nitakwenda pamoja nawe.”
7 Amaiba: le, amogala gasia, Da: ibidi amola Abisia: i ela da Solo awali fia golili sa: ili ba: loba, Solo da mogoadafa golai dialebe ba: i. Solo ea goge agei dialuma bega: bugisili dialebe ba: i. A: bena amola ea dadi gagui dunu da Solo sisiga: le golaigia: i dialebe ba: i.
Hivyo Daudi na Abishai wakaenda kwenye jeshi wakati wa usiku, tazama Sauli, alikuwa amelala ndani ya kambi na mkuki wake umekitwa ardhini karibu na kichwa chake. Abneri na askari walikuwa wamelala kumzunguka Sauli.
8 Abisia: i da Da: ibidima amane sia: i, “Gode da dia ha lai dunu wali gasia dia lobo da: iya iasi. Wali, na da dia sia: sea, hina: goge agei amoga hina: sone badofale osobola gadenesimu. Na da adunane hame somu!”
Abishai akamwambia Daudi, “Leo Mungu amemtia adui yako mikononi mwako. Sasa niruhusu nimchome mpaka ardhini kwa pigo moja la mkuki wangu; sitamchoma mara mbili.”
9 Be Da: ibidi da amane sia: i, “Di da ema se maedafa ima: ma. Hina Gode da nowa da ea ilegei hina bagade ema se iasea, amo dunuma Hina Gode da dafawane se bagade imunu.”
Lakini Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize! Ni nani awezaye kutia mkono juu ya mpakwa mafuta wa Bwana na asiwe na hatia?”
10 Da: ibidi da eno sia: i, “Esalebe Hina Gode amo Ea Dioba: le, na dawa: , Solo ea bogosudafa eso da doaga: sea o e da gegesu ganodini fane legei dagoi ba: sea, Hina Gode Hifawane da e fane legei dagoi ba: mu.
Daudi akasema, “Hakika kama vile Bwana aishivyo, Bwana mwenyewe atampiga; au wakati wake utafika, naye atakufa, au atakwenda vitani na kuangamia.
11 Hina Gode Ea ilegei hina bagade dunu ema se ima: ne sia: mu na da higamu! Ania da Solo ea goge agei amola hano nasu faigelei lale, gaguli ahoa: di.”
Lakini Mungu na apishie mbali nisije nikainua mkono juu ya mpakwa mafuta wa Bwana. Sasa chukua huo mkuki na hilo gudulia la maji vilivyo karibu na kichwa chake, tuondoke.”
12 Amalalu, Da: ibidi da Solo ea goge agei amola hano nasu ganagu hina: dialuma bega: dialu amo lale, e amola Abisia: i ela da asi. Hina Gode da Solo amola ea dunuma nabunini golama: ne ilima i, amaiba: le ilia da nabunini golagia: iba: le, dunu afaega da wa: legadole elea amo hamobe hame nabi amola hame ba: i.
Hivyo Daudi akachukua huo mkuki na hilo gudulia la maji vilivyokuwa karibu na kichwa cha Sauli, nao wakaondoka. Hakuna yeyote aliyeona au kufahamu habari hii, wala hakuna hata mmoja aliyeamka usingizini. Wote walikuwa wamelala, kwa sababu Bwana alikuwa amewatia kwenye usingizi mzito.
13 Amalu Da: ibidi da na: iyado fago amo degele na: iyado agolo bia gadodafa e famu hamedeia gado aligili, Solo ea dadi gagui amola A: bena ilima amane wele sia: i,
Kisha Daudi akavuka upande mwingine na kusimama juu ya kilima mahali palipokuwa na nafasi pana kati yao.
14 “A: bena! Dia da na sia: nababela: ?” A: bena da amane sia: i, “Gomo da nowa hina bagade nedigima: ne wele sia: bela: ?”
Daudi akalipigia kelele jeshi na Abneri mwana wa Neri, akisema, “Je, Abneri, hutanijibu?” Abneri akajibu, “Nani wewe umwitaye mfalme?”
15 Da: ibidi da amane sia: i, “A: bena, di da Isala: ili ganodini ouligisu bagade dunu. Amaiba: le, di da abuliba: le di hina bagade amo dia hame gaga: bela: ? Wahawane dunu enoga da dia awalia wa: i fia gogai di ouligisu, go fane legemusa: misi galu.
Daudi akasema, “Wewe si ni mtu shujaa? Ni nani aliye kama wewe katika Israeli? Kwa nini basi hukumlinda mfalme bwana wako? Mtu mmoja alikuja kumwangamiza mfalme, bwana wako.
16 A: bena! Di da dia hawa: hamosu afae giadofai dagoi. Na da Esalebe Hina Gode Ea Dioba: le ilegesa. Dilia huluane bogoma: ne fofada: mu da defea. Bai dilia hina amo Hina Gode da hina bagade ilegei, amo dilia da noga: le hame gaga: i. Ba: ma! Hina bagade ea goge agei da habila: ? Ea hano buni ganagu hina: dialuma bega: dialu, amo da habila: ?”
Ulichokifanya si kizuri. Kwa hakika kama aishivyo Bwana, wewe na watu wako mnastahili kufa, kwa sababu hamkumlinda bwana wenu, mpakwa mafuta wa Bwana. Tazameni hapo mlipo. Uko wapi mkuki wa mfalme na gudulia la maji ambavyo vilikuwa karibu na kichwa chake?”
17 Solo da amo sia: i da Da: ibidi ea sia: galebeyale dawa: i. E amane adole ba: i, “Da: ibidi! Nagofe! Amo da dila: ?” “Ma! Hina bagade!” Da: ibidi da adole i.
Sauli akatambua sauti ya Daudi, na kusema, “Je, hiyo ni sauti yako, Daudi mwanangu?” Daudi akajibu, “Naam, hiyo ndiyo, bwana wangu mfalme.”
18 Amola e da eno amane sisia: asi, “Hina! Abuliba: le di da na, dia hawa: hamosu dunu amo sefasisala: ? Na da adi hamobela: ? Na da adi wadela: i hou hamobela: ?
Pia akaongeza, “Kwa nini bwana wangu anamfuatia mtumishi wake? Nimefanya nini, nalo kosa langu ni lipi nililolifanya niwe na hatia?
19 Hina noga: idafa! Na sia: be amo nabima! Di da Hina Gode Ea sia: nababeba: le, nama ha lai hamoi galeawane, Ema gobele salasu hamosea, E da Ea asigi dawa: su afadenemu. Be osobo bagade dunu ilia sia: nababeba: le, di da nama ha lai hamoi galea, Hina Gode da ilima gogosele gagabusu ilima aligimu da defea. Bai ilia hamoiba: le, na da Hina Gode Ea sogega sefasi dagoi ba: sa. Amola na da ga soge amo ganodini ogogosu ‘gode’, ilima nodone sia: ne gadosu logo fawane ba: sa.
Sasa mfalme bwana wangu na asikilize maneno ya mtumishi wake. Kama Bwana amekuchochea dhidi yangu, basi yeye na aipokee sadaka yangu. Lakini hata hivyo, kama ni wanadamu waliofanya hivyo, walaaniwe mbele za Bwana! Wao sasa wamenifukuza kutoka sehemu yangu katika urithi wa Bwana wangu wakisema, ‘Nenda ukatumikie miungu mingine.’
20 Ga sogega Hina Godema afafai dagoi amoga na fane legemu logo mae doasima. Na da hamedei dede agoane gala. Isala: ili hina bagade da abuliba: le na fane legema: ne mahabela: ? E da abuliba: le, ilia soge sio awela ahoabe amo defele, na awela ahoabela: ?”
Basi usiache damu yangu imwagike kwenye ardhi mbali na uso wa Bwana. Mfalme wa Israeli ametoka kutafuta kiroboto, kama vile mtu awindavyo kware katika milima.”
21 Solo da bu adole i, “Dafawane! Na da wadela: le hamoi dagoi. Da: ibidi! Nagofe! Buhagima! Na da dima se bu hame imunu. Bai di da wali gasia na esalusu gaga: i dagoi. Na da gagaoui agoane hamoi dagoi! Na da wadela: idafa hou hamoi dagoi.”
Ndipo Sauli akasema, “Nimetenda dhambi. Rudi, Daudi mwanangu. Kwa kuwa uliyahesabu maisha yangu kuwa ya thamani leo, sitajaribu kukudhuru tena. Hakika nimetenda kama mpumbavu na nimekosa sana.”
22 Da: ibidi da bu adole i, “Hina noga: idafa! Dia goge agei da goea! Dia dunu afaega amo lala misa: ne sia: ma.
Daudi akajibu, “Mkuki wa mfalme uko hapa. Mmoja wa vijana wako na avuke kuuchukua.
23 Hina Gode da nowa amo da mae yolesili, moloidafa hou hamosea, ema bidi noga: i iaha. E da wali eso di na lobo da: iya iasi, be E da di hina bagade ilegeiba: le, na da dima se hame i.
Bwana humlipa kila mtu kwa ajili ya haki yake na uaminifu wake. Bwana alikutia katika mikono yangu leo, lakini sikuinua mkono wangu juu ya mpakwa mafuta wa Bwana.
24 Na da wali eso dima asigiba: le, di hame fuga: i, amo defele Hina Gode da nama amanewane hamomu amola nama bidi hamosu huluane amoga gaga: mu da defea.”
Kwa hakika kama vile maisha yako yalivyokuwa ya thamani kwangu leo, vivyo hivyo maisha yangu na yawe na thamani kwa Bwana na kuniokoa kutoka taabu zote.”
25 Solo da Da: ibidima amane sia: i, “Nagofe! Gode da dima hahawane dogolegele hamomu da defea! Di da dia hamomu huluane amo ganodini didili hamomu.” Amaiba: le, Da: ibidi da yolesili asi, amola Solo da hi diasuga buhagi.
Ndipo Sauli akamwambia Daudi, “Mwanangu Daudi na ubarikiwe; utafanya mambo makubwa na hakika utashinda.” Basi Daudi akaenda zake, naye Sauli akarudi nyumbani.

< 1 Sa:miuele 26 >