< 1 Sa:miuele 1 >

1 Goumi soge amoga Ifala: ime fifi lai dunu ilia da La: ima moilaiga fi dialu. Amogai dunu afae Elega: ina esalu. E da Yilouha: me ea mano, amola ea aowa da Ilaihu galu. Ea sosogo fi da Douhu fi amoga galu, be fidafa da Safe.
Kulikuwepo na mtu mmoja kutoka Rama, Msufi kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ambaye jina lake aliitwa Elikana mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu.
2 Elega: ina da uda aduna lai galu. Elea dio da Ha: na amola Binina. Binina da mano gilisi galu, be Ha: na da aligime esalu.
Alikuwa na wake wawili, mmoja aliitwa Hana na mwingine Penina. Penina alikuwa na watoto, lakini Hana hakuwa na mtoto.
3 Elega: ina da ode huluane Siailou moilaiga Hina Gode Bagadedafa Ema nodone sia: ne gadomusa: , amola gobele sala ahoasu. Amogawi, Ilai ea mano aduna amo Hofenai amola Finia: se da Hina Gode Ea gobele salasu ouligisu dunu esalu.
Kila mwaka mtu huyu alikwea kutoka mji wake ili kuabudu na kutoa dhabihu kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote huko Shilo, ambapo Hofni na Finehasi, wana wawili wa Eli, walikuwa makuhani wa Bwana.
4 Elega: ina da ea gobele salasu liligi ianoba, e da heda: sini na: iyadodi afae Bininama iasu, amola eno afae Binina ea manogili sagosu.
Kila mara ilipofika siku ya Elikana kutoa dhabihu, aliwapa mafungu Penina mkewe na wanawe wote pamoja na binti zake.
5 Elega: ina da Ha: na ema bagade asigisu, be amomane ema heda: sini afae afae fawane ianusu. Bai Hina Gode da Ha: na ema mano hame i.
Lakini alimpa Hana fungu maradufu kwa sababu alimpenda, ingawa Bwana alikuwa amemfunga tumbo.
6 Binina da Ha: na ema hame asigisu. E da Ha: na ema da: da: losu. Bai Hina Gode da Ha: na aligime hamonesi, e da Ha: nama da: da: losu.
Kwa sababu Bwana alikuwa amemfunga tumbo, mke mwenzake alikuwa anamchokoza ili kumuudhi.
7 Amanemusu hamonana ode bagohame gidigisa asi. Ilia da Hina Gode Ea diasuga ahoanoba, Binina da Ha: na da: i dioma: ne gadesu amola da: da: losu hamobeba: le, Ha: na bagadewane da: i dione amola disu amola ha: i manu gobei amoga hamedafa nasu.
Hili liliendelea mwaka baada ya mwaka. Kila mara Hana alipokwenda katika nyumba ya Bwana, mke mwenzake alikuwa akimkasirisha mpaka analia na kushindwa kula.
8 Be egoa Elega: ina da Ha: nama agoane adole ba: su, “Ha: na! Abuliba: le di da dinana amola ha: i manu gobei hame nahala: ? Abuliba: le di da eso huluane da: i dioiwane ba: sala: ? Di da nama asigi hou da dunu mano nabuane gala ilima asigi hou da hame baligiyale dawa: bela: ?”
Elikana mumewe akawa anamwambia, “Hana, kwa nini unalia? Kwa nini huli? Kwa nini kuvunjika moyo? Je, mimi si bora zaidi kwako kuliko watoto kumi?”
9 Eso afaega, Hina Gode Ea diasu Siailou moilaiga amo ganodini ha: i nanu fisiagale, Ha: na da wa: legadole, e da bagade da: i dione amola Hina Godema sia: ne gadosa ha: gidafa dinanu. Amogalu, gobele salasu ouligisu dunu Ilai da logo holei gadenenewane hi fisu fafai da: iya esalu.
Siku moja walipokuwa wamemaliza kula na kunywa huko Shilo, Hana alisimama. Wakati huo kuhani Eli alikuwa ameketi kwenye kiti pembeni mwa mwimo wa mlango wa Hekalu la Bwana.
Kwa uchungu wa rohoni Hana alilia sana na akamwomba Bwana.
11 Ha: na da Hina Godema amane ilegele sia: i, “Hina Gode Bagadedafa! Nama ba: ma! Na da Dia hawa: hamosu uda! Na da: i dioi ba: ma, amola na mae gogolema! Dia nagili mano ima! Amasea, amo mano na da Dima bu mogili gagale imunu, amalu ea dialuma hinabo hamedafa damunisimu.”
Naye akaweka nadhiri, akisema, “Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, laiti ungeangalia huzuni kuu ya mtumishi wako na kunikumbuka mimi, wala usimsahau mtumishi wako nawe ukampa mwana, basi huyo mwana nitamtoa kwa Bwana kwa siku zote za maisha yake, wala wembe hautapita kichwani mwake.”
12 Ha: na da agoane Hina Godema sia: ne gadosa aligili bagadewane sia: ne gadolalusu. Amola Ilai da Ha: na ea lafi sosodolalu.
Alipokuwa anaendelea kumwomba Bwana, Eli alichunguza kinywa chake.
13 Ha: na da sadoga sia: ne gadosu. Ea lafi da fafudalu be sia: da hame nabi. Amaiba: le, Ilai da amo uda adini nanu, feloabeyale dawa: lu,
Hana alikuwa akiomba moyoni mwake, midomo yake ikiwa inachezacheza lakini sauti haikusikika. Eli akafikiri alikuwa amelewa
14 amola Ha: nama amane sia: i, “Yolema! Adini nanu di dunu eno ilia ba: ma: ne mae hidama. Adini nanu yolesili, bu gahegima.”
naye akamwambia, “Utaendelea kulewa mpaka lini? Achilia mbali mvinyo wako.”
15 Ha: na da bu adole i, “Esega! Na da we adini maiga hame feloasa. Na da hiawini, na da: i dioi huluane Hina Godema olelelala.
Hana akajibu, “Si hivyo bwana wangu, mimi ni mwanamke mwenye huzuni kubwa. Mimi sijanywa mvinyo wala kileo, nilikuwa ninaumimina moyo wangu kwa Bwana.
16 Na da hamedei udayale mae dawa: ma. Na agoane sia: ne gadoi. Bai na bagade da: i dioiba: le fawane, agoane sia: ne gadoi.”
Usimdhanie mtumishi wako kuwa mwanamke mwovu; nimekuwa nikiomba hapa katika wingi wa uchungu mkuu na huzuni.”
17 Ilai da amane sia: i, “Hahawane masa! Amola Isala: ili Gode da dia hanai adole ba: i liligi dima imunu da defea.”
Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye Mungu wa Israeli na akujalie kile ulichomwomba.”
18 Ha: na da bu adole i, “Di da eso huluane nama asabole dawa: lumu da defea.” Amalalu, e da asili, ha: i nanu, ea da: i dioi fisi dagoi ba: i.
Hana akasema, “Mtumishi wako na apate kibali machoni pako.” Kisha akaondoka zake na kula chakula, wala uso wake haukuwa na huzuni tena.
19 Amalu, golale hahabedafa, Elega: ina amola ea sosogo huluane da wa: legadole, Hina Godema nodone sia: ne gadolalu, ili La: ima moilaiga buhagi. Elega: ina da idua Ha: nala gilisili golai, amola Hina Gode da Ha: na ea sia: ne gadoi adole ba: i defele ema i.
Kesho yake asubuhi na mapema waliamka wakaabudu mbele za Bwana na kisha wakarudi nyumbani kwao huko Rama. Elikana akakutana kimwili na mkewe Hana, naye Bwana akamkumbuka.
20 Amalu, Ha: na da abula agui esalu, dunu mano lalelegei. Ha: na da ea mano ea dio Sa: miuele asuli. Sa: miuele amo dawa: loma: ne da “Na da e lama: ne, Hina Godema adole ba: i.”
Hivyo wakati ulipotimia, Hana akapata mimba na akamzaa mwana. Hana akamwita jina lake Samweli, akasema, “Kwa kuwa nilimwomba kwa Bwana.”
21 Elega: ina amola ea sosogo fi ilia da odegamusu Siailou moilaiga Godema gobele sala ahoasu, be amo eso da doaga: iba: le, e da liligi eno ida: iwane galamusu Godema gobele salimusa: ilegei.
Wakati huyo mtu Elikana alipanda pamoja na jamaa yake yote kutoa dhabihu ya mwaka kwa Bwana na kutimiza nadhiri yake,
22 Be amo asi amoga Ha: na da hame asi. E da egoama amane sia: i, “Na mano da dodo nanu yolesea, na da Hina Gode Ea diasuga asula masunu. Amogai e da eso huluane esaloma: ne.”
Hana hakwenda. Alimwambia mume wake, “Baada ya mtoto kuachishwa kunyonya, nitamchukua na kumpeleka mbele za Bwana, naye ataishi huko wakati wote.”
23 Amalalu, Elega: ina da bu adole i, “Defea! Dia hanai habo da defea galea amo hamoma. Diasua esala, dodo nanusu yolesea fawane Gode Ea diasuga masa. Amola Hina Gode da dia ilegele mogili gagai sia: i amo dafawane hamomu da defea.” Amaiba: le, Ha: na da diasua esalu, mano ouligilalu.
Elikana mumewe akamwambia, “Fanya lile unaloona ni bora zaidi kwako. Ukae hapa mpaka utakapomwachisha kunyonya, Bwana na akujalie kutimiza nadhiri yako.” Hivyo huyo mwanamke akakaa nyumbani na kumnyonyesha mwanawe mpaka alipomwachisha kunyonya.
24 Ha: na da manoma dodo ianu yolei galu, e da Sa: miuele Siailou moilaiga oule asi. Amogai e da bulamagau gawali ode udiana gidigi adole amola agi10 gilogala: me agoane amola ohe gadofoga hamoi esaga waini hano dili sali amo gaguli asi.
Baada ya mtoto kuachishwa kunyonya, Hana akamchukua huyo mtoto, akiwa mdogo hivyo hivyo, pamoja na fahali wa miaka mitatu, efa ya unga na kiriba cha divai, naye akamleta mtoto kwenye nyumba ya Bwana huko Shilo.
25 Ili da bulamagau fane ligisilalu, mano amo oule Ilaima asi.
Walipokwisha kumchinja yule fahali, wakamleta mtoto kwa Eli,
26 Ha: na da Ilaima amane sia: i, “Ae esega! Dia da na dawa: bela: ? Na da uda musa: dia ba: i gui Hina Godema sia: ne gadosa lelebe ba: i.
naye Hana akamwambia Eli, “Hakika kama uishivyo, bwana wangu, mimi ndiye yule mama ambaye alisimama hapa karibu nawe akiomba kwa Bwana.
27 Na da goe mano nama ima: ne Hina Godema adole ba: lalu, amaiba: le E da nagili mano i amo wea.
Niliomba mtoto huyu, naye Bwana amenijalia kile nilichomwomba.
28 Amaiba: le, na da amo mano Hina Godema ia misi. Amalu ea fifi ahoanusu huluane da Hina Gode Hifawane da ouligilalumu,” Ha: na da amane sia: i. Amalu, ilia da goega gilisili Hina Godema nodone sia: ne gadoi.
Hivyo sasa ninamtoa kwa Bwana. Kwa maana maisha yake yote atakuwa ametolewa kwa Bwana.” Naye akamwabudu Bwana huko.

< 1 Sa:miuele 1 >