< 1 Hina 4 >

1 Soloumane da Isala: ili fi huluane ouligilalusu.
Basi Mfalme Solomoni akatawala Israeli yote.
2 Amola ea eagene hawa: hamosu dunu bagade da amo: - Gobele salasu ouligisu-A: salaia (Sa: idoge egefe)
Hawa ndio waliokuwa maafisa wake wakuu: Kuhani: Azaria mwana wa Sadoki;
3 Hina bagade ea dedesu dunu-Elihoulefe amola Ahaidia (ela da Siaisia ea mano) Dedene legei ouligisu dunu-Yihosiafa: de (Ahailade ea mano)
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;
4 Dadi gagui wa: i ouligisu dunu-Bina: ia (Yihoida egefe) Gobele Salasu dunu-Sa: idoge amola A: baia: da
Benaya mwana wa Yehoyada: jemadari mkuu wa jeshi; Sadoki na Abiathari: makuhani;
5 Soge afae afae ouligisu dunu ilia bai ouligisu dunu-A: salaia (Na: ida: ne ea egefe) Hina bagade fada: i sia: fidisu dunu-gobele salasu dunu Sa: iba: de (Na: ida: ne ea egefe)
Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya; Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;
6 Hina bagade diasu hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunu-Ahaisia Udigili hawa: hamosu dunu ilia ouligisu dunu-A: dounaila: me (A: bada egefe)
Ahishari: msimamizi wa jumba la kifalme; Adoniramu mwana wa Abda: msimamizi wa kazi za kulazimisha.
7 Soloumane da Isala: ili soge ganodini, sogebi ouligisu bai dunu fagoyale gala amo ilegei. Ilia hawa: hamosu da afae afae ode huluane ganodini, ilia oubi afaega hina bagade amola ea diasua esalebe dunu ilima ha: i manu, amo ilia dunu fi amoga lale iasu.
Pia Solomoni alikuwa na watawala kumi na wawili wa wilaya katika Israeli yote, walioleta mahitaji kwa mfalme na kwa watu wa nyumbani kwa mfalme. Kila mmoja alitoa chakula kwa mwezi mmoja katika mwaka.
8 Amo sogebi bai ouligisu dunu fagoyale amola ilia ouligi sogebi bai dio da haguduga dedei. Ouligisu Dunu Sogebi Bai Benehe - Ifala: ime agolo soge
Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;
9 Benedege - Ma: iga: se, Sia: ilibimi, Bede Simese, Ilone amola Bede Ha: ila: ne (huluane da moilai bai bagade).
Ben-Dekeri: katika Makasi, Shaalbimu, Beth-Shemeshi na Elon-Bethhanani;
10 Benehisidi - Alubode amola Sougo (moilai bai bagade) amola Hife soge huluane.
Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);
11 Benabinada: be (e da Soloumane ea uda mano Da: ifa: de lai dagoi) - Do soge huluane.
Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Solomoni);
12 Ba: iana (Ahailade egefe) - Da: ianage amola Megidou (moilale gagai bai bagade), Amola soge huluane amo da Bedesia: ne soge amola Sa: leda: ne moilaigadenene galu. Amo soge da Yeseliele moilai bai bagadega ga (south) asili, A:ibele Mihoula amola Yogomia: ime moilale gagai bai bagadega doaga: i.
Baana mwana wa Ahiludi: katika Taanaki na Megido, na katika Beth-Shani yote karibu na Sarethani chini ya Yezreeli, kuanzia Beth-Shani hadi Abel-Mehola kupita hadi Yokmeamu;
13 Benegiba - La: imode moilai bai bagade (Gilia: de soge ganodini) amola moilai Gilia: de soge ganodini amo Ya: ie fi da gagui. (Ya: ie da Ma: na: se ea fi). Amola moilai huluane Agobe sogebi (Ba: isia: ne soge ganodini) amo ganodini e ouligi. Ea ouligibi huluane da moilai bagade 60 agoane. Ilia da gasa bagade gagili sali amola ilia logo ga: su da balasega hamoi galiamo agoai liligi amoga ga: i.
Ben-Geberi: katika Ramoth-Gileadi (makao ya Yairi mwana wa Manase katika Gileadi ilikuwa miji yake, pamoja na wilaya ya Argobu katika Bashani na miji yake mikubwa sitini yenye kuzungukwa na kuta zenye makomeo ya shaba);
14 Ahinada: be (Idou egefe) - Ma: ihana: ime soge
Ahinadabu mwana wa Ido: katika Mahanaimu;
15 Ahima: ia: se (e da Soloumane uda mano eno amo Ba: sema: de lai) - Na: fadalai soge
Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Solomoni);
16 Ba: iana (Hiusiai egefe) - A: sie soge amola Bialode moilai
Baana mwana wa Hushai: katika Asheri na katika Bealothi;
17 Yihosiafa: de (Balua egefe) - Isaga soge
Yehoshafati mwana wa Parua: katika Isakari;
18 Simiai (Ila egefe) - Bediamini soge
Shimei mwana wa Ela: katika Benyamini;
19 Giba (Ulai egefe) - Gilia: de soge (musa: A:moulaide hina bagade Saihone amola Ba: isia: ne hina bagade Ogo da Gilia: de soge ouligisu) Amo dunu fagoyale gala afae afae da Isala: ili sogebi bai huluane ouligisu. Amola ilia da ouligisudafa hina dunu afae eno gala. E da Isala: ili soge huluane ouligi.
Geberi mwana wa Uri: katika Gileadi (nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani). Naye alikuwa ndiye mtawala pekee katika eneo hilo.
20 Yuda amola Isala: ili dunu ilia idi da sa: iboso gasei amo hano wayabo bagade bega: gala amo idi defele ba: su. Ilia da ha: i manu amola hano hahawane nanu, hahawane esalu.
Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.
21 Soloumane ea ouligisu ganodini, eno fi amo da Iufala: idisi Hano bega: asili Filisidini soge amola Idibidi alalo amoga doaga: le, amo fi huluane Soloumane da ouligi. Ilia da ema su ianu, ea esalusu huluane ganodini, ea sia: nabawane hamosu.
Mfalme Solomoni akatawala katika falme zote kuanzia Mto Frati hadi nchi ya Wafilisti, hadi kwenye mpaka wa Misri. Nchi hizi zilileta ushuru na zilikuwa chini ya Solomoni, siku zote za maisha yake.
Mahitaji ya Solomoni ya kila siku yalikuwa kori thelathini za unga laini, kori sitini za unga wa kawaida.
23 Eso huluane, eso afae afae amoga, Soloumane da ea diasua esalebe dunu ilia moma: ne, hagudu dedei liligi lai: - noga: idafa falaua- 5,000 lida agoane, gala: ine goudai-10,000 lida agoane, bulamagau (amo ilia da diasu ganodini alema: ne ha: i manu iasu)- 10, bulamagau amo da gisi bugi nana alei-20, sibi-100, amola ‘dia’ ohe, ‘gasele’, ‘lobage’ amola ‘gagala’.
Ngʼombe kumi wa zizini, ngʼombe ishirini wa malisho, kondoo na mbuzi mia moja, pamoja na ayala, paa, kulungu na kuku wazuri sana.
24 Soloumane da soge huluane amo da Iufala: idisi Hano guma: dini gala amo huluane ouligi. Ea soge da Difisa (hano degesu) amogainini guma: dini asili Ga: isa moilai bai bagadega doaga: i. Hina bagade huluane Iufala: idisi Hano amo guma: dini esalu da eha esalu. E amola ea na: iyado fi da olofole esalu.
Kwa kuwa Solomoni alitawala falme zote magharibi ya mto, kuanzia Tifsa hadi Gaza, naye akawa na amani pande zote.
25 E da esaloba, dunu fi huluane Yuda soge amola Isala: ili soge amo ganodini esalu da gaga: iba: le, hahawane esalu. Sosogo fi higagale da ilila: waini efe amola figi ifa defe gagai.
Wakati wa maisha ya Solomoni Yuda na Israeli, kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba, wakaishi salama kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake.
26 Soloumane da ‘sa: liode’ hosi ilia sesei 40,000 agoane galu, amola dadi gagui dunu ilia fila heda: ma: ne hosi 12,000 agoane galu.
Solomoni alikuwa na mabanda 4,000 ya magari ya vita, na farasi 12,000.
27 Ea sogebi bai ouligisu dunu fagoyale da higagale ea oubi ilegei amoga hina bagade amoma ha: i manu, e amola dunu huluane ea diasua esala defele moma: ne, ema i.
Maafisa wa eneo hilo, kila mmoja katika mwezi wake, walileta mahitaji kwa ajili ya Mfalme Solomoni na wote waliokula mezani mwa mfalme. Walihakikisha kuwa hakuna chochote kilichopungua.
28 Amola sogebi bai ouligisu dunu ilia da higagale, bali gala: ine amola gisi ilima ilegei defele, ‘sa: liode’ hosi amola hiougisu ohe ilia moma: ne iasu.
Pia walileta sehemu walizopangiwa za shayiri na majani kwa ajili ya farasi wavutao magari na farasi wengine mahali palipostahili.
29 Gode da Soloumanema asigi dawa: su bagadedafa amola ea dogo ganodini dawa: su bagade i. Ea asigi dawa: su da defemu hamedei ba: i.
Mungu akampa Solomoni hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.
30 Soloumane ea asigi dawa: su da bagadedafaba: le, gusudili bagade dawa: su dunu amola Idibidi bagade dawa: su dunu ilia dawa: su baligi dagoi.
Hekima ya Solomoni ilikuwa kubwa kuliko hekima ya watu wote wa Mashariki na kubwa kuliko hekima yote ya Misri.
31 Ea asigi dawa: su da dunu huluanedafa ilia asigi dawa: su amo baligi dagoi. Ea asigi dawa: su da Ida: ne (Eselahaide dunu) amola Ma: ihole egefelali (Hima: ne, Galagole amola Dada: ), amo dunu huluane ilia asigi dawa: su baligi dagoi. Dunu huluane e beba: le fifi asi da ea bagade dawa: su hou amo lalaba asi.
Alikuwa na hekima kuliko kila mwandishi, akiwemo Ethani Mwezrahi: kuliko Hemani, Kalkoli na Darda, wana wa Maholi. Umaarufu wake ukaenea kwa mataifa yote yaliyomzunguka.
32 E da malasu sia: 3,000 agoane hahamoi amola gesami 1,000 agoane baligili hahamoi.
Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005.
33 E da ifa amola ifalabo amoma gogosele sia: asi. E da Lebanone dolo ifa amola ‘hisobe’ amo da dobeaba: le heda: i amo ea hou gogosele sisa: asi. E da ohe fi, sio fi, hanome, goma: , sania enoenoi amola menabo fi huluane ilia hou gogosele sisa: asi.
Akaelezea maisha ya mimea kuanzia mwerezi wa Lebanoni hadi hisopo iotayo ukutani. Pia akafundisha kuhusu wanyama na ndege, wanyama wenye damu baridi, wakiwemo samaki.
34 Osobo bagade hina bagade ilia da ea hina bagade hou nababeba: le, amo sia: naba masa: ne, dunu ema asunasisi.
Watu wa mataifa yote wakaja kusikiliza hekima ya Solomoni, waliotumwa na wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamesikia juu ya hekima yake.

< 1 Hina 4 >