< 1 Hina 16 >

1 Hina Gode da balofede dunu Yihiu (Hanainai egefe) ema e da Ba: iasiama amane sia: ma: ne sia: si,
Neno la BWANA lilimjia Yehu mwana wa Hanani kinyume cha Baasha, likisema,
2 “Di da dunu hamedei agoai ba: i. Be Na da di Na fi Isala: ili ouligima: ne ilegei. Be wali di da Yelouboua: me ea hamoi defele, Na fi wadela: le hamoma: ne oule asi dagoi. Ilia da wadela: le hamobeba: le, Na ougi hou da heda: sa.
Ingawa Nilikuinua kutoka kwenye mavumbi na kukufanya kuwa kiongozi wa watu wangu Israeli, Lakini umetembea katika njia za Yeroboamu na umewafanya watu wangu Israeli kufanya dhambi, ili kunikasirisha dhidi ya dhambi zao.
3 Amaiba: le, Na da Yelouboua: me ea sosogo fi amo wadela: lesi dagoi, amo defele Na da dia sosogo fi wadela: lesimu.
Tazama, Nitamfagia kabisa Baasha na familia yake na nitaifanya familia yako kama familia ya Yeroboamu mwana wa Nebati.
4 Dia sosogo fi afae da moilai ganodini bogosea da wa: mega mai dagoi ba: mu. Amola sogebi genebogelaga bogosea, buhibaga na dagoi ba: mu.”
Mbwa watamla yeyote ambaye anatoka kwa Baasha wanaofia mjini, na ndege wa angani watamla yeyote anayaefia shambani.”
5 Ba: iasia ea hamonanu huluane, amola ea gesa: i hamosu da “Isala: ili hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Lakini kwa mambo mengine yanayohusiana na Baasha, aliyofanya, na uwezo wake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
6 Ba: iasia da bogole, Desa moilai bai bagadega uli dogone sali. Egefe Ila da eda bagia, hina bagade hamoi.
Baasha akalala na mababu zake na akazikwa Tirza, na Ela mwanae akawa mfalme mahali pake.
7 Hina Gode Ea sia: sia: si, amo E da balofede Yihiu ea lafidili Ba: iasia amola ea sosogo fi ilima sia: i, bai Ba: iasia da Hina Godema wadela: le bagade hamobeba: le, agoane sia: i. E da hina bagade Yelouboua: me musa: hamosu defele wadela: le bagade hamobeba: le, Hina Gode da ema ougi galu. Be amo fawane hame. E amolawane Yelouboua: me ea sosogo fi huluane medole legeiba: le, Hina Gode da ougi ba: i.
Kwa kupitia nabii Yehu mwana wa Hanani neno la BWANA likaja kinyume na Baasha na familia yake, wote kwa sababu ya maovu yote aliyofanya machoni pa BWANA, akamghadhabisha kwa kazi ya mikono yake, kama familia ya Yeroboamu, na kwa sababu alikuwa ameiua familia yote ya Yeroboamu.
8 Yuda hina bagade A: isa da Yuda fi ode 26 agoane ouligilalu, Ila (Ba: iasia egefe) da Isala: ili ilia hina bagade hamoi. E da Desa moilaiga esala, ode aduna Isala: ili fi ouligilalu.
Katika mwaka wa kumi na sita wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akaanza kutawala juu ya Israeli kule Tirza; akatawala kwa miaka miwili.
9 Similai da hina bagade Ila ea ‘sa: liode’ wa: i mogili, la: idi ouligisu dunu ba: i. E da Ila medole legema: ne, sadoga sia: dalu ilegei. Eso afaega Desa moilaiga, Ila da dunu ea dio amo Asa (e da hina bagade diasu ouligisu) amo ea diasuga adini maiga feloai.
Mtumishi wake Zimri, mkuu wa nusu ya magari yake akatengeneza hila dhidi yake. Wakati huo Ela alikuwa Tirza, akinywa na kulewa kwenye nyumba ya Arza, ambaye alikuwa mkuu wa watumishi wa nyumbani huko Tirza.
10 Similai da amo diasu golili sa: ili, Ila medole legei. Amalalu, e da Ila bagia Isala: ili hina bagade hamoi. Amo hou da Yuda hina bagade A: isa ea Yuda fi ode 27 ouligilalu, ba: i.
Zimri akaiingia ndani, akamshambulia na kumwua, katika mwaka wa ishirini na saba wa Asa mfalme wa Yuda, naye akawa mfalme mahali pake.
11 Similai da hina bagade hamonoba, e da Ba: iasia ea sosogo fi amo ganodini dunumusu huluane medole lelegei. Amola Ba: iasia sosogo fi ilia sasamalali huluane medole legei.
Zimri alipoaanza kutawala, mara tu baada ya kukaa kwenye kiti cha enzi, akawaua wanafamilia wote wa Baasha. Hakumwacha mtoto hata mmoja wa kiume, hakuna hata wa ndugu yake wala wa rafiki zake.
12 Amaiba: le Hina Gode da balofede dunu Yihiu ea lafidili Ba: iasiama sia: i amo defele, Similai da Ba: iasia ea sosogo fi huluane medole legei.
Kwa hiyo Zimri aliingamiza familia yote ya Baasha, kama alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA, ambalo lilinenwa kinyume na Baasha na nabii Yehu,
13 Bai ilia da wadela: i ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadobeba: le, amola ilia da Isala: ili fi dunu amo wadela: i hou hamoma: ne oule asi. Ba: iasia amola egefe Ila, elea da Isala: ili ilia Hina Gode Ea ougima: ne, agoane hamoi.
kwa dhambi zote za Baasha na za Ela mwanae ambazo walizifanya, ambazo kwazo waliisababisha Israeli kufanya dhambi, kiasi c ha kumghadhabisha BWANA, Mungu wa Israeli, kuzikasilikia sanamu zao.
14 Liligi huluane Ila ea hamoi da “Isala: ili hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kwa mambo mengine yanayohusiana na Ela, yote ambayo alifanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
15 Yuda hina bagade A: isa da ode 27 agoane Yuda fi ouligilalu, Similai da Desa moilaiga esala, Isala: ili fi eso fesuale fawane ouligi. Isala: ili dadi gagui wa: i da Gibidone moilai bai bagade, Filisidini soge ganodini, amo doagala: lebe ba: i.
Katika mwaka wa ishirini na saba wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri alitawala kwa siku saba tu kule Tirza. Jeshi likafanya kambi kule Gibethoni, ambao ni mji wa Wafilisti.
16 Ilia da Similai da Isala: ili hina bagade medoma: ne sadoga sia: sa: ili, e medole legei dagoi, amo nababeba: le, ilia esalusuadafa amoga ilia dadi gagui wa: i ouligisu Omelima Isala: ili hina bagade hamoma: ne ilegei.
Lile jeshi lililokuwa limeweka kambi kule lilisikika lilksema, “Zimri amepanga njama na amemwua mfalme.” Kwa hiyo siku hiyo hapo kambini, Israeli yote ikamtangaza Omri, mkuu wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli.
17 Omeli amola ea dadi gagui wa: i da Gibidone doagala: lalu yolesili, asili, Desa moilai doagala: i.
Omri akapanda kutoka Gibethoni na Israeli yote pamoja naye, nao wakauhusuru Tirza.
18 Similai da ba: loba, moilai mogi na: iyado hasalabeba: le, e da hina bagade diasu ganodini gagili sali sesei amogano golili sa: ili, hina bagade ea diasu ulagisilalu, amo lalu gona: su da: iya hina: bogola sa: i.
Kwa hiyoZimri alipoona kuwa mji umetekwa, akaingia kwenye ngome na akaivamia ikulu ya mfalme na kulichoma moto jengo lote pamoja na yeye; kwa hiyo akafa kwa moto.
19 E da Hina Godema bagadewane wadela: le hamoi. Amaiba: le, e da bogoi dagoi. Ea da Yelouboua: me defele, wadela: le hamoi amola Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne, oule asi. Amaiba: le, Hina Gode da ema hahawane hame ba: i.
Hii ilikuwa ni kwa sababu ya dhambi alizofanya kwa kufanya maovu mbele ya macho ya BWANA, kwa kutembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi ambazo alifanya, kiasi cha kuifanya Israeli wafanye dhambi.
20 Similai ea hou huluane amola e da Ila medoma: ne sadoga ilegele, Ila medole legei, amo da “Isala: ili hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Pia kwa mambo mengiine yanayomhusu Zimri, na fitina yake aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
21 Isala: ili dunu fi da dogoa mogi. Oda ilia da Dibini (Gina: de egefe) amo hina bagade hamoma: ne dawa: i, amola oda ilia da Omeli hanai.
Sasa watu wa Israeli walikuwa wamegawanyika katika makundi mawili. Nusu ya watu walimfuata Tibni mwana wa Ginathi, wakamfanya kuwa mfalme, na Nusu walimfufata Omri.
22 Amo sia: dalu fa: no, Omelima hanai dunu ilia baligi. Dibini da bogobeba: le, Omeli da hina bagade dunu hamoi.
Lakini watu waliomfuata Omri walikuwa na nguvu kuliko wale waliomfuata Tibni mwana wa Ginathi. Kwa hiyo Tibni akafa, na Omri akawa mfalme.
23 Amaiba: le, Yuda fi ilia hina bagade A: isa da Yuda fi ode31 ouligilalu, Omeli da Isala: ili hina bagade hamoi. E da ode fagoyale ouligilalu. Bisili ode gafeyale agoanega, e da Desa moilaiga esala, ouligilalu.
Omri alianza kutawala juu ya Israeli katika mwaka wa thelathini na moja wa Asa mfalme wa Yuda, naye akatawala miaka kumi na miwili. Alitawala akiwa Tirza kwa miaka sita.
24 Amalalu, e da Samelia agolo amo silifa fage 6,000 agoane amoga dunu ea dio amo Simia ema bidi lai. Omeli da amo agolo gagili salalu, amogai moilai gaheabolo gagui. E da musa: agolo gagui dunu Simia ea dio dabua, amoma Samelia dio asuli.
Akakinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa kilo 68 za fedha. Akajenga mji juu ya mlima na ule mji akauita Samaria, kwa sababu ya jina la Shemeri, mmiliki wa awali wa kile kilima.
25 Omeli da Hina Godema wadela: le hamoi da musa: Isala: ili hina bagade dunu huluane ilia wadela: i hou baligi.
Omri akafanya maovu mbele ya BWANA na akafanya yaliyo maovu zaidi kuliko wale waliokuwa kabla yake.
26 E da Yelouboua: me ea hou defele, Isala: ili Hina Gode ougima: ne, wadela: le bagade hamoi, amola Isala: ili fi wadela: le hamoma: ne oule asi.
Kwa kuwa alitembea katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake ambazo kwa hizo aliwaongoza Waisraeli kufanya dhambi, ili kumkasirisha BWANA, Mungu wa Israeli, ili kuwa na hasira juu ya sanamu zao za ubatili.
27 Hou huluane Omeli da hamonanusu, amola ea hamoi liligi huluane da “Isala: ili hina bagade ilia Hamonanu Meloa” amo ganodini dedene legei.
Kwa mambo mengine yanayomhusu Omri ambayo alfanya, na nguvu zake alizoonyesha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
28 Omeli da bogole, Samelia soge ganodini uli dogone sali. Amola egefe A: iha: be da eda bagia hina bagade hamoi.
Kwa hiyo Omri akalala na mababu zake na akazikwa Samaria na Ahabu mwanae akawa mfalme mahali pake.
29 Yuda hina bagade A: isa da Yuda soge ode 38 agoane ouligilalu, A:iha: be (Omeli egefe) da Isala: ili hina bagade hamoi. E da Samelia soge amo ganodini ode 22 agoane, Isala: ili ouligilalu.
Katika mwaka wa thelathiini na nane wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akaanza kutawala juu ya Israeli. Ahabu mwana wa Omri akatawala Israeli kule Samaria kwa miaka ishirini na mbili.
30 E da Hina Godema wadela: le hamoi, amo da musa: Isala: ili hina bagade ilia wadela: i hou huluane baligi dagoi.
Ahabu mwana wa Omri akafanya yaliyo maovu mbele ya BWANA, zaidi ya wote waliokuwa kabla yake.
31 E da Yelouboua: me ea wadela: i hou hamoi defele hamoi, amola amo baligi. E da baligiliwane wadela: i hamonanu asili, Yesebele (Saidone hina bagade Edeba: ile ea idiwi) amo lale, Ba: ile ogogosu ‘gode’ma nodone sia: ne gadosu.
Ikawa kidogo tu Ahabu ayaendee makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, kwa hiyo akamwoa Yezebeli binti wa Ethibaali, mfalme wa Wasidoni; akaenda akamwabudu baali na akamsujudia.
32 E da Samelia soge ganodini, Ba: ilema nodone sia: ne gadoma: ne, debolo diasu gaguli, Ba: ilema oloda hamone, amo debolo diasu ganodini sali.
Akamjengea madhabahu Baali, ambayo alikuwa ameijenga kule Samaria.
33 Amola e da ogogole uda ‘gode’ Asila agoaila hahamone, bugisi. E da Isala: ili Hina Gode Ea ougima: ne wadela: le hamoi, da musa: Isala: ili hina bagade Gode Ea ougima: ne wadela: i hou hamoi amo baligidafa.
Ahabu akatengeneza Ashera. Ahabu akafanya maovu zaidi kumghadhabisha BWANA, Mungu wa Isareli, akamkasirisha kuliko wafalme wote wa Israeli waliokuwa kabla yake.
34 Ea ouligilaloba, Bedele dunu Haiyele da Yeligou moilai bai bagade bu gagui. Hina Gode da Yosiua (Nane egefe) amo ea lafidili sia: i defele, Haiyele da Yeligou ea bai fa: loba, ea magobo mano Abaila: me fisi. Amola e da moilai gagoi logo ga: su hamonoba, ea ufi mano Sigabe fisi dagoi ba: i.
Katika siku zake Hieli Mbetheli aliijenga tena Yeriko. Akaijenga misingi ya mji kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza, naye akayajenga malango ya mji kwa kufiwa na mwanae mdogo Segebu, na walifanya hivi kwa sababu walitii neno la BWANA, ambalo alikuwa amelinena kwa kinywa cha Joshua mwana wa Nuni.

< 1 Hina 16 >