< 1 Hina 10 >

1 Siba sogega uda hina bagade da Soloumane ea gasa bagade hou nababeba: le, e da Yelusaleme moilai bai bagadega ema gasa bagadewane adoba: musa: misi.
Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Solomoni na uhusiano wake na jina la Bwana, akaja kumjaribu kwa maswali magumu.
2 E da ea fidisu dunu amola uda bagohame oule misi. Amola ga: mele amo da: iya da hedama: ne fodole nasu amola nina: hamomusa: noga: idafa igi amola gouli bagadedafa, amo e da oule misi. E da Soloumanema gousa: beba: le, e da ea asigi dawa: su defele, Soloumanema bagadewane adole ba: i.
Alifika Yerusalemu akiwa na msafara mkubwa sana: pamoja na ngamia waliobeba vikolezi, kiasi kikubwa cha dhahabu na vito vya thamani; alikuja kwa Solomoni na kuzungumza naye kuhusu yote ambayo alikuwa nayo moyoni mwake.
3 E da amo adole ba: su huluane defele bu adole i. Adole ba: su afaidafa e bu adole imunu hamedei da hamedafa galu.
Solomoni akamjibu maswali yake yote, hakukuwa na jambo lolote lililokuwa gumu kwa mfalme asiweze kumwelezea.
4 Siba sogega uda hina bagade da Soloumane ea bagade dawa: su nabi. E da hina bagade diasu ea gagui liligi, amo ba: i dagoi.
Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,
5 E da ha: i manu amo hina bagade diasu ea esalebe dunu ilia da nasu amola Soloumane ea eagene ouligisu dunu ilia diasu amola ea hawa: hamosu dunu ilia hamobe amola ilia afaididi salasu abula amola hawa: hamosu dunu amo da ea lolo nabe ganodini e fidi amola gobele salasu hou e da Debolo Diasuga hamoi, amo huluane ba: beba: le, Siba uda hina da baligili fofogadigi.
chakula kilichokuwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa, wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika hekalu la Bwana, alipatwa na mshangao.
6 E da hina bagade Soloumanema amane sia: i, “Na sogega esaloba, na da dia hou amola bagade dawa: su hou nabi dagoi. Na da wali ba: sa-amo huluane da dafawanedafa.
Akamwambia mfalme, “Taarifa niliyosikia kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu mafanikio na hekima yako ni kweli.
7 Be amo na da dafawaneyale hame dawa: beba: le, na da nisu amo ba: musa: , guiguda: misunusa: dawa: i. Be dia hou la: idi fonobahadi fawane na da nabi. Dia bagade dawa: su amola gaguiwane hou da nama adoi amo bagade baligisa.
Lakini sikuamini mambo haya hadi nilipokuja na kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam, sikuambiwa hata nusu yake; katika hekima na mali umezidi sana ile taarifa niliyoisikia.
8 Dia uda ilia da hahawane bagade esala. Amola dia hawa: hamosu dunu da eso huluane dili esalebeba: le amola dia sia: nabalebeba: le, ilia amola da hahawane bagade.
Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!
9 Dia Hina Godema nodoma! E da Dima hahawane bagade hou amo olelema: ne, di Isala: ili fi amo ouligima: ne ilegei. E da Isala: ili fi ilima eso huluane mae fisili asigimuba: le, e da di Ea sema noga: le ouligima: ne amola Isala: ili molole ouligima: ne, ilegei dagoi.”
Ahimidiwe Bwana Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe na kukuweka juu ya kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya upendo wake Bwana wa milele ajili ya Israeli, amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na uadilifu.”
10 Siba sogega uda hina bagade da hina bagade Soloumanema iasu liligi e da gaguli misi, amo ema i. Amo da gouli defei ‘dane’ biyaduyale gadenei amola hedama: ne fodole nasu amola nina: hamosu noga: idafa igi bagohame. Hedama: ne fodole nasu amo e da ema i da, eno dunu musa: ema iasu amo bagadewane baligi.
Naye akampa mfalme talanta 120 za dhahabu, kiasi kikubwa sana cha vikolezi na vito vya thamani. Haikuwahi kamwe kuletwa tena vikolezi vingi hivyo kuletwa kama vile malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni.
11 (Haila: me ea dusagai gilisi da Oufe sogega gouli bagade gaguli misi. Amola ilia da amoga ‘yunibe’ ifa amola nina: hamosu igi bagohamedafa gaguli misi.
(Meli za Hiramu zilileta dhahabu kutoka Ofiri; tena kutoka huko zilileta shehena kubwa ya miti ya msandali na vito vya thamani.
12 Soloumane da amo ‘yunibe’ ifa bouma: ne fele salasu Debolo diasu ganodini hahamoi. Amola amoga e da sani baidama amola ‘laia’ amo gesami hea: su dunu fidima: ne hahamoi. Amo ‘yunibe’ ifa da noga: idafa. Dunu da musa: agoai liligi Isala: ili amoga hame gaguli misi. Amola fa: no, agoai liligi da Isala: ili sogega hamedafa ba: i.)
Mfalme akatumia miti ya msandali kuwa nguzo ya Hekalu la Bwana na kwa jumba la kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha msandali hakijawahi kuingizwa au kuonekana humo tangu siku ile.)
13 Hina bagade Soloumane da Siba soge uda hina bagade ema ea adole ba: i liligi huluane ema i. Amola ea hou da sofe misi dunu huluane ilima bagade udigili hahawane iasu ianu. Amo huluane defele e da Siba hina bagade udama i. Amalalu, uda hina bagade amola ea hawa: hamosu dunu da Siba sogega buhagi.
Mfalme Solomoni akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotamani na kukiomba, kando na vile mfalme alivyokuwa amempa kwa ukarimu wake wa kifalme. Kisha malkia akaondoka na kurudi katika nchi yake, yeye na watumishi wake.
14 Ode huluane hina bagade Soloumane da gouli defei 20 ‘dane’ gadenene lasu.
Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,
15 Amola e da bidi lasu ouligisu dunugili su (‘da: gisi’) lai. E da bidi lasu hou hamobeba: le eno baligili gale lai. Amola e da Ala: ibia hina bagade ilima su lai, amola Isala: ili gilisisu soge bai ouligisu dunuma su lai.
mbali na mapato kutoka kwa wafanyabiashara na wachuuzi, na kutoka kwa wafalme wote wa Kiarabu na watawala wa nchi.
16 Soloumane da sia: beba: le, ilia da da: igene ga: su bagade 200 agoane hahamoi. Amo afae afaega ilia da gouli defei 6 gilougala: me agoane amoga dedebole legele gagai.
Mfalme Solomoni akatengeneza ngao kubwa 200 kwa dhahabu iliyofuliwa; kila ngao ilikuwa na dhahabu yenye uzito wa shekeli 600
17 Amolawane, e da da: igene ga: su fonobahadi 300 agoane hamone, ilima gouli defei 2 gilougala: me gadenene, amoga dedebole legele gagai. Ea sia: beba: le, ilia da amo da: igene ga: su huluane Lebanone Iwila Sesei amo ganodini sali.
Akatengeneza pia ngao ndogo 300 za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa na uzito wa mane tatu za dhahabu. Mfalme akaziweka katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni.
18 Amolawane, ea hamoma: ne sia: beba: le, ilia da fisu bagadedafa hamoi. Amo fisu la: ididili da ‘aifoli’ amoga dedeboi amola eno la: idi da gouli noga: idafa amoga dedeboi.
Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na kukifunika kwa dhahabu safi.
Kiti hicho kilikuwa na ngazi sita na egemeo la nyuma lilikuwa la mviringo kwa juu. Pande zote za kiti kulikuwa na mahali pa kuegemeza mikono, na simba wawili wakisimama kando ya hiyo mikono.
20 Amo fisu da: iya heda: su fofa: gui da gafeyale ba: i. Fa: gu afae afae amo ea bidiga huluane da laione wa: me agoaila dedenesisi ba: i. Amo gilisili da laione agoaila fagoyale galu ba: i. Fisi baligiadili da bulamagau gawali ea dialuma agoaila dedenesisi ba: i. Amola fisu ea lobo ligisisu aduna la: idi gadili da laione agoaila dedenesisi ba: i. Fisu amo agoai da fifi asi gala huluane amo ganodini afae hamedafa ba: i.
Simba kumi na wawili walisimama kwenye ngazi sita, mmoja katika kila upande wa kila ngazi. Hakuna kitu kama hicho kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme mwingine wowote.
21 Soloumane ea hano nasu faigelei huluane da gouligamusu hahamoi. Amola gobele nasu liligi amola gasa: le nasu liligi huluane Lebanone Iwila Sesei amo ganodini dialu da gouligamusu hahamoi. Liligi afae da silifaga hame hahamoi. Bai Soloumane ea esalebe eso amoga, ilia da silifa bagade hame hanai galu.
Vikombe vyote vya Mfalme Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo siku za Solomoni.
22 Soloumane da dusagane gagai gilisisu amo da gilisili Haila: me ea dusagane gagai gilisisu, hano wayabo bagade ahoanu. Ode udiana gidigili, ea dusagane gagai gilisisu da gouli, silifa, ‘aifoli’ amola ‘magi’ ohe gaguiwane, ema buhagisu.
Mfalme alikuwa na meli nyingi za biashara baharini zilizokuwa zikiandamana na meli za Hiramu. Kwa mara moja kila miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe za ndovu na nyani wakubwa na wadogo.
23 Hina bagade Soloumane ea bagade dawa: su hou amola bagade gagui hou da osobo bagadega hina bagade huluane ilia hou baligi dagoi ba: i.
Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.
24 Amola fifi asi gala huluane da bagade dawa: su amo Gode da ema i, amo nabimusa: , ema misunu hanai galu.
Dunia yote ikatafuta kukutana na Solomoni ili kusikia hekima ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.
25 Ode huluane mae fisili, ilia da e ba: la momafulalu, bidi gagulimusu masu. Ilia da silifa, gouli, abula, gegesu liligi, hedama: ne fodole nasu, hosi amola ‘miule’ amo gagaguli mafia: su.
Mwaka baada ya mwaka, kila mmoja ambaye alikuja alileta zawadi: vyombo vya fedha na dhahabu, majoho, silaha na vikolezi, farasi na nyumbu.
26 Soloumane da gegemusa: gini, sa: liode 1,400 agoane amola dadi gagui dunu fila heda: ma: ne hosi 12,000 agoane gagadoi. Mogili e da Yelusaleme moilai bai bagadega dialoma: ne yolesi. Amola mogili e da moilai oda enoienoi amoga dialoma: ne yolesisi.
Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu.
27 Soloumane ea ouligibi ganodini, silifa da Yelusaleme moilai bai bagade ganodini bagadewane dialebeba: le, udigili gele agoai diafulubi ba: i. Amola dolo ifa da gilisidafaba: le, ‘sigamo’ udigili ifa Yuda agolo sogega lelefulubi ilia idi defele agoai ba: i.
Mfalme akafanya fedha kuwa kitu cha kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.
28 Hina bagade ea bidi lasu ouligisu dunu da Musa: li amola Silisia soge amoga hosi bidi lale, Isala: ili sogega oule misi.
Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.
29 Amola ilia da ‘sa: liode’ amo Idibidi sogega bidi lai. Ilia da Hidaide amola Silia hina bagade ilima hosi amola ‘sa: liode’ bidiga lama: ne legei. Bidi lasu defei da ‘sa: liode’ afae silifa fofaga: i 600 agoane amola hosi afae da silifa fofaga: i 150 agoane.
Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.

< 1 Hina 10 >