< 1 Hou Olelesu 5 >

1 Liubene da Ya: igobe ea magobo mano. (E da ea ada ea gidisedagi uda afae amo adole laiba: le, Ya: igobe da ea magobo mano nana lamu ilegei amo ema imunu bugi. Amo nana da Yousefe ea lai.
Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli (yeye alikuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa kuwa alikinajisi kitanda cha baba yake, haki zake za mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu mwana wa Israeli. Hivyo hakuorodheshwa kwenye orodha ya ukoo wao kulingana na haki yake ya kuzaliwa.
2 Yuda fi da gasa fili, eno fi huluane ouligima: ne, ouligisu dunu ilegei.)
Na ingawa Yuda alikuwa na nguvu zaidi ya ndugu zake wote, na mtawala alitoka kwake, haki za mzaliwa wa kwanza zilikuwa za Yosefu.)
3 Liubene da Ya: igobe ea magobo mano galu. Egefelali da Ha: inoge, Ba: liu, Heselone amola Gami.
Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli walikuwa: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.
4 Youele egaga fifi misi da Siema: ia, Siema: ia egefe Goge, Goge egefe Simiai,
Wazao wa Yoeli walikuwa: Shemaya mwanawe, Gogu mwanawe; Shimei mwanawe,
5 Simiai egefe Maiga, Maiga egefe Lia: ia, Lia: ia egefe Ba: ile amola
Mika mwanawe, Reaya mwanawe, Baali mwanawe,
6 Ba: ile egefe Biela. Asilia hina bagade Digala: de Bilisa da Biela mugululi asi. Biela da Liubenaide fi ouligisu esalu.
na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.
7 Ilia sosogo fifi asi da agoane dedene legei. Yiaiele da bisilua galu. Amalu Segalaia,
Jamaa zao kulingana na koo zao, walioorodheshwa kwa kufuata koo zao kama ifuatavyo: Yeieli aliyekuwa mkuu wao, Zekaria,
8 Youele egefe da Sima, Sima egefe da A: isa: se, A:isa: se egefe da Bila. Ilia da soge amo da Aloua moilai amola Nibou amola Ba: ile Mione moilaiga dogoa dialu fi dialu.
Bela mwana wa Azazi, mwana wa Shema, mwana wa Yoeli. Hao waliishi katika eneo kuanzia Aroeri mpaka Nebo na Baal-Meoni.
9 Eso maba gusudili, ilia soge amo da ahoana hafoga: i sogega asili, Iufala: idisi Hano amoga doaga: i, amo sogega fi dialu. Bai ilia ohe fi Gilia: de soge ganodini fofoi da bagohamedafa ba: i.
Kwa upande wa mashariki walienea hadi pembeni mwa jangwa linaloenea mpaka kwenye Mto Frati, kwa sababu mifugo yao ilikuwa imeongezeka huko Gileadi.
10 Solo ea Isala: ili soge ouligibi esoga, ilia da Hagalaide dunu doagala: lalu, hasali dagoi. Ilia da Gilia: de soge amoga gusudili soge huluane amo ganodini Hagalaide dunu ilia diasu huluane sugui amola amo ganodini fi dialu. Ga: de Egaga Fifi Misi
Wakati wa utawala wa Mfalme Sauli, walipigana vita dhidi ya Wahagari, wakaanguka kwa mikono yao, kisha wakaishi katika mahema ya Wahagari katika eneo lote la mashariki ya Gileadi.
11 Ga: de fi dunu da Liubene fi gadenene dafulili fi dialebe ba: i. Ilia da Ba: isia: ne soge ganodini esalu amola soge alalo da Sa: lega amoga dialebe ba: i.
Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, mpaka Saleka.
12 Youele da bisilua, amola ilibi bagia da Sia: fa: me. Amo fa: no, Ya: nai amola Sia: ifa: de da Ga: de fi Ba: isia: ne soge ganodini ouligisu.
Yoeli ndiye alikuwa mkuu wao, Shafamu wa pili, na wakafuata Yanai na Shafati, huko Bashani.
13 Ilia sosogo fi dunu da Maiga: le, Misiala: me, Siba, Youla: iai, Ya: iga: ne, Sia amola Ibe. Huluane da fesuale mabu.
Ndugu zao kulingana na koo zao walikuwa saba: Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, Zia na Eberi.
14 Amo huluane da A: biha: ile egefelali. A: biha: ile eda da Hiulai, Hiulai eda da Yaloua, Yaloua eda da Gilia: de, Gilia: de eda da Maiga: le, Maiga: le eda da Yisisia: iai, Yisisia: iai eda da Yadou amola Yadou eda da Base.
Hawa walikuwa ndio wana wa Abihaili mwana wa Huri, mwana wa Yaroa, mwana wa Gileadi, mwana wa Mikaeli, mwana wa Yeshishai, mwana wa Yahdo, mwana wa Buzi.
15 A: ihai (A: badaiele egefe amola Giunai ea aowa) e da ilia sosogo fi fada: i dunu esalu.
Ahi mwana wa Abdieli, mwana wa Guni, alikuwa ndiye kiongozi wa jamaa yao.
16 Ga: de fi dunu da Gilia: de soge, Ba: isia: ne soge, la: ididili dialebe moilai amola Sia: lane ohe fi ilia ha: i nasu soge, amo ganodini fi dialu.
Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja na vijiji vilivyoizunguka, pia katika nchi yote ya malisho ya Sharoni kote walikoenea.
17 Amo fi dunu huluane, ilia dio da Yuda hina bagade Youda: ne amola Isala: ili hina bagade Yelouboua: me elea ouligibi esoga, dedene legei dialu.
Yote haya yaliwekwa katika kumbukumbu za ukoo wao wakati wa utawala wa Yothamu, mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
18 Liubene fi amola Ga: de fi amola Ma: na: se fi dogoa momogi fi, ilia dadi gagui dunu amo da gegemusa: momagei, ilia idi da 44,760 agoane. Ilia huluane da gasa bagade dunu. Ilia da da: igene gasu, gegesu gobihei amola oulali amo huluane amoga gegemusa: dawa: i. Ilia huluane da gegesu hou adoba: i dagoi.
Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walikuwa na watu mashujaa 44,760 waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya vita: watu wenye nguvu, hodari wa kutumia ngao na upanga, mashujaa wa kutumia upinde, waliokuwa tayari kwa ajili ya kazi hiyo.
19 Ilia da Ha: galaide, Yide, Na: ifisie amola Nouda: be, amo fi doagala: le, hasalasi.
Walipigana vita dhidi ya Wahagari, Yeturi, Nafishi na Nodabu.
20 Gode da ilia gegesu noga: le fidibiba: le, ilia da Ha: galaide fi dunu amola ilia fuli gala: su dunu huluane amo hasalasi. Bai ilia da gegesu ganodini, Godema wele sia: i. Ilia da Gode Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le, Gode da ilia sia: ne gadosu amo nabawane didili hamoi.
Walisaidiwa katika kupigana nao, Mungu akawatia Wahagari pamoja na wote walioungana nao mikononi mwao, kwa sababu walimlilia Mungu wakati wa vita. Alijibu maombi yao, kwa sababu walimtegemea.
21 Ilia da Ha: galaide fi ilia ohe fofoi huluane samogei dagoi. Ilia samogei da ga: mele 50,000 agoane, sibi 250,000 agoane amola dougi 2,000 agoane. Amola ilia da Ha: galaide dunu 100,000 agoane gagulaligili, hiouginana misi.
Walitwaa mifugo ya Wahagari: ngamia 50,000, kondoo 250,000, punda 2,000. Pia wakateka watu 100,000,
22 Amola ilia da eno Ha: galaide dunu bagohamedafa medole legei. Bai Gode da ilia gegesu noga: le fidi. Ilia amo soge lale fi amogainini ilia da mugululi asi ba: i.
na wengine wengi waliuawa kwa sababu vita vilikuwa ni vya Mungu. Nao waliendelea kuikalia nchi hiyo mpaka wakati wa uhamisho.
23 Ma: na: se sosogo fi dogoa mogi dunu da bagohame ba: i. Ilia da Ba: isia: ne, Ba: ile Hemone, Sine amola Hemone Goumi amo soge la: diga la: diga dogoa fifi lai.
Idadi ya nusu ya kabila la Manase walikuwa wengi sana, Wakakaa kuanzia Bashani hadi Baal-Hermoni, yaani mpaka Seniri na mlima Hermoni.
24 Ma: na: se sosogo fi amoga fada: i dunu da Ifia, Isiai, Ilaiele, A:saliele, Yelemaia, Houdafaia amola Yadiele. Ilia da nimi gesa: i dadi gagui dunu amola mimogo dunu galu. Ilia da Ma: na: se sosogo fi fada: i dunu esalu.
Hawa ndio waliokuwa viongozi wa jamaa za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yahdieli. Walikuwa askari shujaa watu maarufu, viongozi wa jamaa zao.
25 Be ilia da ilia aowalalia Godema baligi fa: su. Ilia da Ga: ina: ne sogega gusuba: i ahoanoba, Gode da Ga: ina: ne ogogosu ‘gode’ liligi amo gugunufinisi. Be ilia da amo mae dawa: le, bu amo ogogosu ‘gode’ ilima fa: no bobogei.
Lakini hawakuwa waaminifu kwa Mungu wa baba zao, nao wakafanya ukahaba kwa miungu ya mataifa, ambayo Mungu alikuwa ameyaangamiza mbele yao.
26 Amaiba: le, Isala: ili fi ilia Gode da Asilia soge hina bagade (Digala: de Bilisa) amo e da amo dunuma gegema: ne sesei. E da Liubene fi dunu, Ga: de fi dunu amola Ma: na: se fi dogoa mogi fi dunu huluane mugululi hiouginana asi. E da ili huluane Ha: ila, Ha: ibo, Hala amola Gousa: ne Hano, amo sogega hiougili asi. Ilia da wali amogawi fi diala.
Kwa hiyo Mungu wa Israeli akaiamsha roho ya Pulu, mfalme wa Ashuru (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-Pileseri), ambaye aliwachukua Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kwenda uhamishoni. Akawapeleka huko Hala, Habori, Hara na mto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.

< 1 Hou Olelesu 5 >