< 1 Hou Olelesu 4 >
1 Yuda egaga fifi misi da Bilese, Heselone, Gami, He amola Siouba: le.
Uzao wa Yuda ulikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri, na Shobali.
2 Siouba: le egefe da Lia: ia. Lia: ia egefe da Yaha: de. Yaha: de egefela da Ahiuma: i amola La: iha: de. Amo sosogo fi ilia fidafa da Soula: daide.
Shobali alikuwa baba wa Reaya. Reaya alikuwa baba wa Yahathi. Yahathi alikuwa baba wa Ahumai na Lahadi. Hawa walikuwa mababu wa koo za Wasorathi.
3 Ida: me egefelali da Yeseliele, Isima amola Idiba: sie. Ilia dalusi ea dio da Ha: silelebounai.
Hawa walikuwa mababu wa ukoo katika mji wa Etamu: Yezreeli, Ishma, na Idbashi. Babu yao alikuwa Haselelponi.
4 Beniuele egefe da Gido amola Isa egefe Hiusia. Amo huluane da He egaga fifi misi. He da Efala: da ea magobo mano galu. He egefe da Bedeleheme.
Penueli alikuwa babu wa koo katika mji wa Gedori. Ezeri alikuwa muanzilishi wa koo katika Husha. Hawa walikuwa uzao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi na muanzilishi wa Bethelehemu.
5 Degoua ea ada A: sie da uda aduna lai galu. Elea dio da Hila amola Na: iala.
Ashuri baba wa Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
6 Na: iala mano lalelegei da Ahiusa: me, Hife, Demeni amola Ha: iaha: isidalai.
Naara alimzalia Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahashtari. Hawa walikua wana wa Naara.
7 Hila egefelali da Silede, Souha, Idana: ne amola Gouse. Gouse egefelali da A: nabe, Soubiba amola Ahahele (Ha: ilame ea mano) amo ea sosogo fifi asi dialu.
Wana wa Hela walikua Serethi, Ishari, Ethnani,
na Kozi, alikua baba wa Anubu na Sobeba, na koo zilizotoka kwa Aharheli mwana wa Harumu.
9 Ya: ibese ea hou da noga: idafa amola yolalia hou baligi esalu. Ea: me da ema Ya: ibese dio asuli. E amane sia: i, “Na da e lalelegeloba, se nabi.”
Yabesi aliheshimika zaidi ya kaka zake. Mama yake alimuita Yabesi. Alisema, “Kwasababu nimemzaa katika huzuni.”
10 Ya: ibese da Isala: ili fi ilia Godema amane wele sia: i, “Gode! Nama hahawane dogolegele fidima! Amola na esalebe soge bagalesima! Na fidima! Na se nabasa: besa: le noga: le gaga: ma!” Amola Gode da ea adole ba: su defele fidi.
Yabesi akamuita Mungu wa Israeli na kusema, “Kama tu utanibariki mimi, ongeza mipaka yangu, na mkono wako ukuwa juu yangu. Ukifanya hivi utaninusuru na mabaya, ili kwamba niwe huru na huzuni!” Kwa hivyo Mungu akamjalia maombi yake.
11 Siuha eya amo Gelabe egefe da Mihe. Mihe egefe da Esiadone.
Kelubu kaka wa Shuha akawa baba wa Mehiri, aliyekuwa baba wa Eshtoni.
12 Esiadone egefelali da Bede Laifa, Basia amola Dihina. Dihina egefe da Ilana: iha: se. Amo dunu da Liga fi dunu.
Eshtoni akawa baba wa Beth-Rafa, Pasea, na Tehina, ambaye alianzisha mji wa Nahashi. Hawa ni wanaume walioishi Reka.
13 Gina: se egefela da Odeniele amola Sila: ia. Odeniele egefela da Ha: ida: de amola Mionoudai.
Wana wa Kenazi walikua Othinieli na Seraia. Wana wa Othinieli walikuwa Hathathi na Meonothai.
14 Mionoudai egefe da Ofala. Sila: ia egefe da Youa: be. Youa: be da Ge Halasimi moi lale fi. Ge Halasimi dawa: loma: ne da liligi hahamosu sogebi.
Meonothai akawa baba wa Ofara, na Seraia akawa baba wa Yohabu, mwanzilishi wa Ge Harashimu, ambao watu wake walikua wahunzi.
15 Yifane egefe Ga: ilebe amo egefelali da Ailiu, Ila amola Na: ia: me. Ila egefe da Gina: se.
Wana wa Kalebu mwana wa Yefune walikua Iru, Ele na Namu. Wana wa Ela alikua Kenazi.
16 Yeha: lilele egefelali da Sife, Saifa, Dilia amola Asa: iliele.
Wana wa Yehaleli walikua Zifi, Zifa, Tiriya, na Azareli.
17 Isala egefelali da Yidahe, Milede, Ifia amola Ya: ilone. Milede idua afae ea lalelegei manoni da Milia: me, Sia: ma: iai amola Isiba: Isiba: egefe da Esiedimoua.
Wana wa Ezra walikua Yetheri, Meredi, Eferi, na Yaloni.
18 Milede idua eno (Yuda fi uda) ea lalelegei manolali da Ya: ilede (e da Gido moi lale fi) Hibe (e da Sougo moilale fi) amola Yigiudiele (e da Sanoua moi lale fi).
Mke wake Meredi wa Kimisri alimzalia Miriamu, Shamai, na Ishibahi, aliyekua baba wa Eshitemoa. Hawa walikua wana wa Bithia, binti wa Farao, ambaye Meredi alimuoa. Mke wa Kiyahudi wa Meredi alimzalia Yeredi, ambaye alikua baba wa Gedore; Heberi, aliyekua baba wa Soko; na Yekuthieli aliyekua baba wa Zanoa.
19 Houda: ia da Na: iha: me ea dalusi lai. Elagaga fi dunu da Gamaide fi (ilia da Giaila moilaiga esalu) amola Ma: igadaide fi (ilia da Esiedamoua moilaiga esalu) amane fifi misi.
Kati ya watoto wawili wa mke wa Hodia, dada wa Nahamu, mmoja wao kawa baba wa Keila Mgarimite. Mwingine alikua Eshitemoa Mmakathite.
20 Siaimone egefelali da A: manone, Lina, Bene Ha: ina: ne amola Dailone. Isiai egaga fifi misi da Souhede amola Bene Souhede.
Wana wa Shimoni walikua Amnoni, Rina, Beni Hanani, na Tilon. Wana wa Ishi walikua Zohethi na Beni Zoheti.
21 Yuda egefe Sila amo ea manolali da E (Liga ea eda), La: iada: (Malisia ea eda), abula amunasu dunu fi amo da Bede A: siebia sogega fifi lasu, Yougimi, dunu fi amo da Gosiba moilaiga esalu, Youa: sie (Moua: be soge ouligisu dunu) amola Sa: ila: fe (Yasiubailiheme soge ouligisu dunu). Amo sia: dedene legei da musa: hemonega dedei.
Uzao wa Shela mwana wa Yuda, Ulikua ni Eri baba wa Leka, Laada baba wa Maresha na koo za wafanyakazi wa kushona kule Beth Ashbea,
Yoakimu, Wanaume wa Kozeba, na Yoashi na Sarafi, waliokua na mali huko Moabu, lakini walirudi Bethlehemu. ( Maelezo haya yametoka kwenye nakala za zamani.)
23 Amo dunu ilia da osoboga hamoi ofodo amola eno liligi hahamosu dunu galu. Ilia da Nidaime amola Gedila moilaiga esalu. Ilia da amogawi, hina bagade ea hawa: hamonanu.
Baadhi ya watu hawa walikuwa ni wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera na wakawa wafanyakazi wa Mfalme.
24 Simiane egaga fifi misi da Nemiuele, Ya: imine, Ya: ilibi, Sela amola Siuale.
Uzao wa Simeoni ulikua Jamini, Jaribu, Zera, na Shauli.
25 Siuale egefe da Sia: lame. Sia: lame egefe da Mibisa: me. Mibisa: me egefe da Maisiama.
Shalumu alikua mwana wa Shauli, Mibisamu mwana wa Shalumu, na Mishima mwana wa Mibisamu.
26 Maisiama egaga fifi misi da egefe Ha: imiuele, Ha: imuele egefe Sa: ge amola Sa: ge egefe Simiai.
Ukoo wa Mishima ulikua Hamueli mwana wake, Zakuri mjukuu wake, na Shimei kitukuu chake.
27 Simiai da egefelali 16 galu amola uda mano gafeyale galu. Be yolalalia da mano bagahame galu. Amaiba: le, Yuda fi dunu idi da Simiane fi dunu idi amo baligi dagoi.
Shimei alikua na wana kumi na sita na mabinti sita. Kaka yake hakua na watoto wengi, Hivyo koo zao hazikuongezeka kwa idadi kubwa kama wato wa Yuda walivyoongezeka.
28 - Ilia moilai bai bagade ganodini esalu dio da Biasiba, Molada, Ha: isa Siuale, Biliha, Iseme, Doula: de, Bediuele, Homa, Sigela: ge, Bede Magabode, Ha: isa Susimi, Bede Bilai amola Sia: iala: ime. Ilia da amo moilai bai bagadega esalu amogainini Da: ibidi ili ouligi.
Waliishi Beasheba, Molada, na Hazari Shuali.
Pia waliishi Bilha, Ezemu, Toladi,
Bethueli, Horma, Zikilagi,
Bethi Markabothi, Hazari Susimi, Bethi Biri, na Shaaraimu. Hii ilikua miji yao mpaka utawala wa Daudi.
32 Ilia esalebe soge sisiga: le fifi lai da Ida: me, A:ini, Limone, Dagene, A:sia: ne (gilisili da moilai biyale galu), amola moilai fonobahadi eno ili sisiga: i, fifi ahoanu, Ba: ialade moilaiga doaga: i. Amo huluane da ilia ha: ini fi soge galu. Amola ilia fi dunu ilia dio huluane dedene momagele legei dialu.
Vijiji vyao vitano vilikua Etamu, Aini, Tocheni, na Ashani,
pamoja na mipaka ya vijiji kwa umbali wa Baali. Haya yalikua makazi yao, na walitunza kumbukumbu za uzao wao.
34 Dunu amo da ilia sosogo fi ilima ouligibi esalu da Misiouba: be, Ya: melege, Yousia (A: masia mano), Youele, Yihiu (Yihiu ea eda da Yosiabaia, Yosiabaia ea eda da Sila: ia amola Siila: ia ea eda da A: isiele), Eliounai, Ya: iagouba, Yesiouha: ia, Asa: ia, A:idiele, Yesimaiele, Bena: ia amola Sisa (Sisa ea eda da Sifai, Sifai eda da A: lone, A:lone eda da Yeda: ia, Yeda: ia eda da Simili, Simili eda da Siema: ia.)
Viongozi wa ukoo walikua Meshobabu, Yamileki, Yoshahi mwana wa Amazia,
Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraia mwana wa Asieli,
Elioenai, Yaakoba, Yeshohaia, Asaia, Adieli, Yesimieli, Benaia,
na Ziza mwana wa Shifi mwana wa Aloni mwana wa Yedaia mwana wa Shimiri mwana wa Shemaia.
38 Dunu dio dabuagado dedei da ilia sosogo fi ouligisu. Ilia sosogo fi da dunu bagade fi.
Hawa walio orodheshwa kwa majina walikua viongozi wa koo zao, na koo zao ziliongezeka sana.
39 Ilia da Gila moilai bai bagade bega: asili, fagoa eso maba gusu amodili, ilia ohe fi ha: i manu soge amo hogola asi.
Walienda karibu na Gedori, mashariki mwa bonde, kutafuta malisho ya mifugo yao.
40 Ilia da nasegagi soge noga: idafa ba: i. Soge da bagade amola lugului dialebe ba: i. Amo sogega musa: Ha: maide fi dunu da fifi lasu.
Walipata malisho mengi na mazuri. Nchi ilikua tambarare, tulivu na ya amani. Wahamu waliishi hapo awali.
41 Dunu amo ilia dio da dabuagado dedei, ilia da Yuda hina bagade Hesigaia ea ouligisu eso amo galu misi. Ilia da Ha: maide amola Miunaide fi dunu ilima doagala: le, gugunufinisi dagoi. Wali amo fi dunu da hamedafa esala. Amalalu, ilia da amo soge lale, ilia ohe fi oule fi.
Hao walio orodheshwa hapo kwa majina walikuja katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda, na wakashambulia makazi ya Wahamu na Wameuni, ambao pia walikua hapo. Waliwaangamiza kabisa na kuishi hapo sababu walipata malisho kwa ajili ya mifugo yao.
42 Amola Simiane fi dunu 500 agoane (ilia ouligisu dunu da Isiai egefelali amo Beladaia, Nialaia, Lifa: ia amola Asaiele) ilia da dunu amo da Sie goumi sogega esalu, amo doagala: i.
Wanaume mia tano wa kabila la Simeoni walienda katika mlima Seiri, na viongozi wao Pelatia, Nearia, Refaia, na Uzieli, wana wa Ishi.
43 Ilia da A: ma: legaide dunu amo da hobea: i, ili fane legei dagoi. Amola ilia da amogaiwane fifi ahoanu.
Waliwashinda wakimbizi wa Waamaleki waliobakia, na wakaishi hapo hadi siku hii.