< 1 Hou Olelesu 3 >

1 Da: ibidi egefelali, Hibalone sogega lalelegei, ilia dio da: - A: manone da magobo mano, Da: ibidi idua Ahinoua: mema lalelegei. Ahinoua: me da Yeseliele uda galu. A: manone bagia, Da: niele da Da: ibidi idua eno, Gamele soge uda A: biga: ile ema lalelegei.
Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
2 Da: niele bagia, A:basalome da Ma: iaga (Gisie soge hina bagade Da: lamai amoea idiwi) ema lalelegei. Da: ibidi egefe biyadu ea dio da A: dounaidia. E da Da: ibidi idua eno amo Ha: gide ema lalelegei.
watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
3 Ea mano bi amo ea dio da Siefadaia. E da Abaida: le ema lalelegei. Amola Da: ibidi ea mano gafe ea dio da Idilia: me. E da Da: ibidi idua Egela ema lalelegei.
watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
4 Amo Da: ibidi ea mano gafeyale gala da Hibalone moilai bai bagadega lalelegei. Da: ibidi da ode fesuale amola oubi gafeyale gala, Hibalone moilai bai bagade ganodini, Yuda fi ouligisu. Da: ibidi da Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini esalu, Isala: ili fi ode33 agoanega ouligisu.
Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
5 E da Yelusaleme ganodini esaloba, egefelali amogawi lalelegei da Sia: miua, Sioubabe, Na: ida: ne, Soloumane (amo mano biyadu da A: miele idiwi amo Ba: desiba ema lalelegei), Ibaha, Elisiua, Ilifelede, Nouga, Nifege, Ya: ifia, Ilisiame, Ilaiada, Ilifelede - huluane da sesegeyale galu.
Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
6
Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
7
Noga, Nefegi, Yafia,
8
Elishama, na Elifeleti.
9 Amo mano huluane da Da: ibidi egefe galu. Amola e da mano eno amo ea gidisedagi udalali ilima lai. Amola amo dunu mano ilia dalusi da Da: ima.
Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
10 Soloumane egefe da Lihouboua: me. Amalu ea mano da agoane fifi asi. Abaidia, A:isa, Yihosiufa: de, Yihoula: me, A:ihasaia, Yihoua: se, A:masia, A:salaia, Youda: me, A:ha: se, Hesigaia, Ma: na: se, A:manone amola Yousaia.
Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
15 Yousaia egefelali da Youha: ina: ne (magobo), Yihoiagimi (amo bagia mano), Sedegaia amola Sia: lame (ufi mano).
Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
16 Yihoiagimi bagia hina bagade hamoi dunu da ea mano Yehoiagini amola Sedegaia. Yuda fi da Mugululi Asi. Amo fa: no hina bagade hamoi dunu da
Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
17 Amo da Sia: ladiele (Yehoiagini ea mano),
Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
18 Ma: lagaila: me, Bida: iya, Sina: sa, Yegamaia, Hosiama amola Nedabaia.
Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
19 Beda: iya egefela da Selababele amola Simiai. Selababele egefela da Misiala: me amola Ha: nanaia. Ela dalusi da Sieloumidi.
Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
20 Selababele egefelali eno da Hasiuba, Ohele, Belegaia, Ha: sadia amola Yiusia: be Hisede.
Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
21 Ha: nanaia egaga fifi misi da Beladaia, Yisa: ia amola Lifa: iya, Ana: ne, Oubadaia amola Sieganaia (amo dunu biyaduyale gala ilia mano).
Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
22 Sieganaia egaga fifi misi da Siema: iya amola egefelali, Ha: dase, Aiga: le, Balaia, Nialaia amola Sia: ifa: de. Gilisili da gafeyale mabu.
Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
23 Nialaia egefelali da Eliounai, Hisigaia amola A: seliga: me. Gilisili da osodayale mabu.
Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
24 Eliounai egefelali da Houdafaia, Ilaiasibi, Bila: ia, A:gabe, Youha: ina: ne, Dila: iya amola Ana: inai. Gilisili da fesuale mabu.
Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.

< 1 Hou Olelesu 3 >