< 1 Hou Olelesu 3 >
1 Da: ibidi egefelali, Hibalone sogega lalelegei, ilia dio da: - A: manone da magobo mano, Da: ibidi idua Ahinoua: mema lalelegei. Ahinoua: me da Yeseliele uda galu. A: manone bagia, Da: niele da Da: ibidi idua eno, Gamele soge uda A: biga: ile ema lalelegei.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
2 Da: niele bagia, A:basalome da Ma: iaga (Gisie soge hina bagade Da: lamai amoea idiwi) ema lalelegei. Da: ibidi egefe biyadu ea dio da A: dounaidia. E da Da: ibidi idua eno amo Ha: gide ema lalelegei.
wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
3 Ea mano bi amo ea dio da Siefadaia. E da Abaida: le ema lalelegei. Amola Da: ibidi ea mano gafe ea dio da Idilia: me. E da Da: ibidi idua Egela ema lalelegei.
wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
4 Amo Da: ibidi ea mano gafeyale gala da Hibalone moilai bai bagadega lalelegei. Da: ibidi da ode fesuale amola oubi gafeyale gala, Hibalone moilai bai bagade ganodini, Yuda fi ouligisu. Da: ibidi da Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini esalu, Isala: ili fi ode33 agoanega ouligisu.
Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
5 E da Yelusaleme ganodini esaloba, egefelali amogawi lalelegei da Sia: miua, Sioubabe, Na: ida: ne, Soloumane (amo mano biyadu da A: miele idiwi amo Ba: desiba ema lalelegei), Ibaha, Elisiua, Ilifelede, Nouga, Nifege, Ya: ifia, Ilisiame, Ilaiada, Ilifelede - huluane da sesegeyale galu.
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
9 Amo mano huluane da Da: ibidi egefe galu. Amola e da mano eno amo ea gidisedagi udalali ilima lai. Amola amo dunu mano ilia dalusi da Da: ima.
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
10 Soloumane egefe da Lihouboua: me. Amalu ea mano da agoane fifi asi. Abaidia, A:isa, Yihosiufa: de, Yihoula: me, A:ihasaia, Yihoua: se, A:masia, A:salaia, Youda: me, A:ha: se, Hesigaia, Ma: na: se, A:manone amola Yousaia.
Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
15 Yousaia egefelali da Youha: ina: ne (magobo), Yihoiagimi (amo bagia mano), Sedegaia amola Sia: lame (ufi mano).
Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
16 Yihoiagimi bagia hina bagade hamoi dunu da ea mano Yehoiagini amola Sedegaia. Yuda fi da Mugululi Asi. Amo fa: no hina bagade hamoi dunu da
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
17 Amo da Sia: ladiele (Yehoiagini ea mano),
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
18 Ma: lagaila: me, Bida: iya, Sina: sa, Yegamaia, Hosiama amola Nedabaia.
Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
19 Beda: iya egefela da Selababele amola Simiai. Selababele egefela da Misiala: me amola Ha: nanaia. Ela dalusi da Sieloumidi.
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
20 Selababele egefelali eno da Hasiuba, Ohele, Belegaia, Ha: sadia amola Yiusia: be Hisede.
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
21 Ha: nanaia egaga fifi misi da Beladaia, Yisa: ia amola Lifa: iya, Ana: ne, Oubadaia amola Sieganaia (amo dunu biyaduyale gala ilia mano).
Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
22 Sieganaia egaga fifi misi da Siema: iya amola egefelali, Ha: dase, Aiga: le, Balaia, Nialaia amola Sia: ifa: de. Gilisili da gafeyale mabu.
Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
23 Nialaia egefelali da Eliounai, Hisigaia amola A: seliga: me. Gilisili da osodayale mabu.
Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
24 Eliounai egefelali da Houdafaia, Ilaiasibi, Bila: ia, A:gabe, Youha: ina: ne, Dila: iya amola Ana: inai. Gilisili da fesuale mabu.
Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.