< 1 Hou Olelesu 29 >

1 Hina bagade Da: ibidi da Isala: ili dunu gilisi, ilima amane sia: i, “Hina Gode da nagofe Soloumane amo Ea Debolo Diasu gaguma: ne ilegei dagoi. Be e da ayeligidafa amola buludui dunu. Hawa: hamomu da gasa bagadedafa. Bai amo Debolo da osobo bagade dunu ilia diasu hame, be Hina Gode Ea Debolo Diasudafa.
Mfalme Daudi akasema kwa kusanyiko lote, “Sulemani mwanangu, ambaye mwenyewe Mungu amemchagu, bado nimdogo na hana uzoefu, na jukumu ni kubwa. Maana hekalu sio kwa ajili ya watu bali la Mungu.
2 Na da gasa fili, gouli, silifa, balase, gula, ifa noga: i, igi noga: idafa, igi eno amola ‘mabolo’ igi, Debolo Diasu gagumusa: gilisi dagoi.
Hivyo nimefanya kwa ubora wangu kutoa kwa ajili ya hekalu la Mungu. Nina toa dhahabu kwa vitu vya kujengwa na dhahabu, fedha kwa vitu vya kujengwa na fedha, shaba kwa vitu vya kujengwa na shaba, nishati kwa vitu vya kujengwa na nishati, na mbao kwa vitu vya kujengwa na mbao. Pia nina toa mawe ya shohamu, mawe ya kupangwa, mawe ya upambaji wandani ya rangi mbali mbali - kila haina ya mawe ya thamani - na marimari kwa wingi.
3 Amola amo hou baligili, na da Gode Debolo Diasu amoma asigiba: le, na liligidafa amo silifa amola gouli hahawane udigili i.
Sasa, kwasababu ya mapenzi yangu kwa nyumba ya Mungu, Ninatoa hazina yangu binafsi ya dhahabu na fedha. Ninafanya hivi kwa nyongeza kwa yote niliyofanya katika hekalu takatifu:
4 Na da na liligidafa, amo gouli 90 danese amola silifa 220 danese, amo hahawane udigili i. Amo da Debolo dobea amola liligi amo medenegi hawa: hamosu dunu da fa: no hamomu, amo nina: hamoma: ne i dagoi. Amaiba: le, nowa eno dunu da mae hihini, Hina Godema bagadewane hahawane ima: bela: ?”
talanta za dhahabu elfu tatu kutoka Ofiri, na talanta elfu saba za fedha zilizotakasika, ili kufunika kuta za majengo.
5
Ninachangia dhahabu kwa vitu vya kujengwa na dhahabu, na fedha kwa vitu vya kujengwa na fedha, na kazi zote zinazotakiwa kufanywa na wajenzi. Nani mwingine anataka kuchangia kwa Yahweh leo na kujitoa kwake?”
6 Amalalu, sosogo fi ouligisu dunu, Isala: ili fi eagene ouligisu dunu, dadi gagui wa: i ouligisu dunu amola hina bagade ea soge amola liligi ouligisu dunu, ilia da Debolo Diasu gaguma: ne, amo liligi hahawane imunusa: agoane ilegele sia: i; gouli 160 danese, silifa 310 danese, balase 620 danese amola gula 3,400 danese.
Kisha sadaka za hiari zilitolewa na viongozi wa mababu wa familia zao, viongozi wa makabila ya Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, na waamuzi waliojuu ya kazi ya mfalme.
7
Walitoa kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu talanta elfu tano na darkoni elfu kumi za dhahabu, talanta elfu kumi za fedha, talanta elfu nane za fedha, na talanta za chuma 100, 000.
8 Dunu amo da igi noga: idafa gagui, ilia da amo Debolo Diasu muni salasu sesei amo ganodini ligisi. Lifai fi amola Gesione sosogo fi dunu ea dio amo Yihaiele da muni salasu sesei ouligi.
Haao walio na mawe ya thamani waliyatoa katika Hazina ya nyumba Yahweh, chini ya usimamizi wa Yehieli, mzao wa Gerishoni.
9 Isala: ili dunu da mae hihini, Hina Godema hahawane udigili i. Iasu liligi da bagadedafa, amola Isala: ili dunu da amo ba: beba: le, hahawane bagade ba: i. Hina bagade Da: ibidi amolawane da hahawane bagade ba: i.
Watu walifurahi kwa ajili ya hizi sadaka za hiari, kwasababu walitoa kwa moyo wao wote kwa Yahweh. Mfalme Daudi pia alifurahi sana.
10 Amogawi, Da: ibidi da dunu gilisisu ilia midadi, Hina Godema amane nodone sia: i, “Ninia aowa Ya: igobe ea Hina Gode! Dunu da eso huluane, mae fisili, Dima nodonanumu da defea.
Daudi alimbariki Yahweh mbele ya kusanyiko lote. Alisema, “Na uabudiwe, Yahweh, Mungu wa Israeli babu wetu, milele na milele.
11 Hina Gode! Di da bagadedafa amola hadigidafa amola gasa bagadedafa! Liligi huluane Hebene ganodini amola osobo bagadega da Dia: fawane. Amola Di da fifi asi gala amola liligi huluane amoma Hina Bagade esala.
Kwako, Yahweh, kuna ukuu, nguvu, utukufu, ushindi, na enzi. Kwa kuwa yote yalio mbinguni na duniani ni yako. Kwako ni ufalme, Yahweh, na umetukuzwa kama mtawala juu ya vyote.
12 Liligi amola muni huluane da Dimadi maha. Di da Dia gasa bagadega, liligi huluane ouligisa. Di da osobo bagade dunu ilia hou gasa bagade hamonanoma: ne dawa:
Utajiri na heshima utoka kwako, unatawala juu ya watu wote. Mkononi mwako kuna nguvu na uwezo. Unao uweza na nguvu ya kuwafanya watu kuwa mkuu na kumpa uweza yeyote.
13 Ninia Gode! Wali ninia Dima nodosa amola Dia hadigidafa Dio amo nodone gaguia gadosa.
Kisha sasa, Mungu wetu, tunakushukuru na kusifu jina lako tukufu.
14 Be na amola na fi dunu da Dima bu imunu hamedei ba: sa. Bai ninia gagui liligi huluane amo Di da hidadea ninima hahawane udigili i. Amola ninia Dima iasu amo da Dia liligi fawane ninia Dima bu iaha.
Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani, tustahili kutoa kwa hiari hivi vitu? Kweli, vitu vyote vya toka kwako, na tumerudisha kwako vilivyo vyako.
15 Hina Gode! Di dawa: ! Ninia da ninia aowalali defele, mugululi asi dunu amola degabo misi dunu defele, osobo bagadega lala. Ninia esalebe eso da hedolowane alalolesisu baba defele ba: sa, amola ninia mae bogoma: ne hobeamu hamedei ba: sa.
Kwa kuwa sisi ni wageni na wasafiri mbele zako, mababu zetu wote walikuwa. Siku zetu katika dunia ni kama kivuli, na hakuna tumaini la kubaki duniani.
16 Ninia Hina Gode! Ninia Dia Hadigi Dio amoma nodonanumusa: , Debolo Diasu gagumusa: , amo liligi noga: idafa gilisi dagoi. Be Dia da hidadea amo liligi huluane ninima i, amo huluane da Dia: fawane.
Yahweh Mungu wetu, utajiri wote tulio kusanya kujenga hekalu kwa kuheshimu jina lako - watoka kwako na ni wako.
17 Na dawa: ! Di da dunu huluane ilia dogo amola asigi dawa: su adoba: sa. Di da moloidafa hamobe dunu hahawane ba: sa. Na da moloiwane amola mae hihini, amo liligi huluane Dima i dagoi. Amola na ba: loba, Dia fi dunu goeguda: gilisi, ilia da hahawane udigili iasu Dima gaguli misi.
Ninajua, Mungu wangu, unachunguza moyo na wapendezwa na unyofu. Kwangu mimi, kwa unyofu wa moyo wangu nimetoa kwa hiari vitu vyote, na sasa natazama kwa furaha watu walio hapa wakitoa tunu kwako.
18 Ninia aowalali A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe, ilia Hina Gode! Dia fi dunu ilia dogo ganodini Dima mae fisili bagadewane asigima: ne, amola dafawaneyale dawa: su hou noga: le lalegaguma: ne, Dia ilima gasa ima.
yahweh, Mungu wa Ibrahimu, Isaka, na Israeli - mababu zetu - hifadhi hili katika fikra za watu wako. Elekeza mioyo yao kwako.
19 Amola nagofe Soloumane da hanaiwane Dia hamoma: ne sia: be nabawane hamoma: ne amola Debolo Diasu amo na da ilegesu momagei, amo gaguma: ne, Dia ema gasa ima.”
Mjalie Sulemani mwanangu moyo wa shauku wakutii amri zako, shuhuda za agano lako, na maagizo yako, na kutekeleza mipango hii yote ya kujenga nyumba niliyoiandaa.”
20 Amalalu, Da: ibidi da dunu gilisi ilima amane hamoma: ne sia: i, “Dilia Hina Godema nodone sia: ma!” Amola dunu gilisi huluane da ilia aowalalia Hina Godema nodone wele sia: i. Amola ilia da osoba beguduli, Hina Gode amola hina bagade Da: ibidi elama nodoi.
Daudi akasema kwa kusanyiko lote, “Sasa mbariki Yahweh Mungu wenu.” Kusanyiko lote likambariki Yahweh, Munug wa mababu zao, wakainamisha vichwa vyao na kumuabudu Yahweh na kusujudu mbele za mfalme.
21 Aya esoga, ilia da Hina Godema gobele salimusa: , ohe medole lelegele, dunu ilia moma: ne iligili i. Amola ilia da bulamagau 1,000, sibi gawali 1,000 amola sibi mano 1,000, amo medole lelegele, oloda da: iya gobele sasali. Ilia amolawane, da Godema imunusa: , waini hano gaguli misi.
Kwa siku iliyo fuata, wakatoa dhabiu kwa Yahweh na kumtolea sadaka ya kuteketeza. Walitoa sadaka ya ng'ombe elfu moja, kondoo elfu moja, na wana kondoo elfu moja, pamoja na sadaka zao za vinywaji na dhabihu tele kwa Israeli yote.
22 Amaiba: le, amo esoga, dunu huluane da Gode Ea midadi ha: i manu amola waini hano maiba: le, hahawane bagade ba: i. Ilia da Soloumane ema bu enowane hina bagade ilegele sia: i. Ilia da Hina Gode Ea Dioba: le, Soloumane ilia ouligisu dunu hamoma: ne, ea dialuma da: iya susuligi sogaga: la: le, e mogili gagai. Amola Sa: idoge ilia gobele salasu dunu mogili gai.
Siku ile, walikunywa na kula mbele za Yahweh kwa furaha tele. Walimfanya Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme mara ya pili, na kumpaka mafuta ya mamlaka ya Yahweh kuwa mfalme. Pia walimpaka Zadoki mafuta kuwa mfalme.
23 Amaiba: le, Soloumane da ea eda bagia, Isala: ili fi ilia hina bagade hamoi. E da hina bagade fi amo Hina Gode da hahamoi, amo ouligima: ne, hina bagade hamoi. Soloumane da didili hamosu hina bagade dunu galu. Amola Isala: ili fi dunu huluane da ea sia: nabawane hamosu.
Kisha Sulemani akaketi kwenye kiti cha enzi cha Yahweh kama mfalme baada ya Daudi baba yake. Alifanikiwa, na Israeli yote ikamtii.
24 Eagene ouligisu dunu, dadi gagui dunu amola Da: ibidi egefelali eno, ilia da Soloumanema mae hagale, hahawane madelagima: ne ilegele sia: i.
Viongozi wote, wanajeshi, na Mfalme Daudi wanae wakaonyesha utii kwa Mfalme Sulemani.
25 Hina Gode da hamobeba: le, Soloumane ea hadigi hou da eno Isala: ili ouligisu dunu ilia hadigi hou bagadewane baligi.
Yahweh alimheshimu sana Sulemani na kumkirimia nguvu kubwa kuliko mfalme yeyote aliyetangulia kabla yake Israeli.
26 Da: ibidi da ode 40 agoanega, Isala: ili fi ouligilalusu. E da Hibalonega esala, ode fesualega ouligilalu. Amola Yelusaleme moilai bai bagadega esala, ode33agoanega ouligilalu.
Daudi mwana wa Yese alitawala Israeli yote.
Daudi alikuwa mfalme wa Israeli kwa miaka arobaini. Alitawala kwa miaka saba Hebroni na miaka thelathini na tatu Yerusalemu.
28 E da da: idafa hamone bogoi. E da bagade gagui galu, amola dunu da ema nodosu. E bagia, egefe Soloumane da ea ouligisu sogebi lai dagoi.
Alikufa katika umri mzuri mkubwa, baada ya kufurahia maisha marefu, utajiri na heshima. Sulemani mwanae alitawala baada yake.
29 Hina bagade Da: ibidi ea ouligibi hou, e da muni ouligilalu asili ea bogosu, amo huluane da balofede dunu udiana, (Sa: miuele, Na: ida: ne amola Ga: de) amo ilia meloa dedei ganodini dedene legei.
Mafanikio ya mfalme Daudi yameandikwa katika historia ya Samweli nabii, katika historia ya Nathani nabii, na katika historia ya Gadi nabii.
30 Amo dedene legesu da ea ouligisu hou, ea gasa bagade hou, ema doaga: i hou amola Isala: ili amola Isala: ili sisiga: i hina bagade fi ilima doaga: i hou, amo huluane olelesa. Sia: ama dagoi
Yalio ekwa kwenye kumbukumbu ni matendo ya utawala wake, mafanikio yake na mambo yalio mdhuru, Israeli, na falme zote za nchi zingine.

< 1 Hou Olelesu 29 >