< 1 Hou Olelesu 26 >

1 Lifai fi Debolo Diasu sosodo aligisu dunu ilia dio amola hawa: hamosu ilegei da hagudu dedei diala. Gouladaide fi dunu Misielemaia (Gouli egefe amola A: isa: fe egaga fi dunu) amo egefelali fesuale da Segalaia (magobo mano), Yidaia: le, Sebadaia, Ya: daniele, Ila: me, Yihouha: ina: ne amola Eliounai.
Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu: Kutoka kwa wana wa Kora alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu.
2
Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,
3
Elamu wa tano Yehohanani wa sita na Eliehoenai wa saba.
4
Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
5 Gode da Oubede Idome ema hahawane dogolegele hamoi. E da ema dunu mano godoane i dagoi. Ilia dio da Siema: ia (magobo mano), Yihosaba: de, Youa, Sia: ga, Nida: niele, A:miele, Isaga amola Biuledai.
Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)
6 Oubede Idome egefe magobo Siema: ia egefelali gafeyale da Odinai, Lifa: iele, Oubede, Elesa: ibede, Ilaihiu amola Semagaia. Ilia da ilia fi ganodini mimogo dunu agoane ba: i. Ilaihiu amola Semagaia da baligiliwane medenegi dunu esalu.
Shemaya mwanawe pia alikuwa na wana, waliokuwa viongozi katika jamaa ya baba yao kwa sababu walikuwa watu wenye uwezo mkubwa.
7
Wana wa Shemaya ni: Othni, Refaeli, Obedi na Elizabadi; jamaa zake Elihu na Semakia walikuwa pia watu wenye uwezo.
8 Oubede Idome ea sosogo fi amoga dunu 62 noga: le adoba: i dunu da Debolo Diasu sosodo aligisu hawa: hamosu lai.
Hawa wote walikuwa wazao wa Obed-Edomu; wao na wana wao na jamaa zao walikuwa watu wenye uwezo pamoja na nguvu za kufanya kazi. Wazao wa Obed-Edomu jumla yao walikuwa sitini na wawili.
9 Misielemaia sosogo fi amoga dunu la: isi noga: le adoba: i dunu da amo hawa: hamomusa: misi.
Meshelemia alikuwa na wana na jamaa zake, waliokuwa watu wenye uwezo: jumla yao watu kumi na wanane.
10 Milalai fi dunu Housa, amo ea sosogo fi dunu galolisi agoane da Debolo sosodo aligisu hawa: hamosu. Housa egefelali da Hiligaia, Debalaia, Segalaia amola Similai (Similai da magobo hame, be amomane ea eda da e Milalai fi sosodo aligisu gilisisu amo ouligima: ne ilegei.)
Hosa, Mmerari, alikuwa na wana wafuatao: Shimri alikuwa mkuu wao (baba yake alikuwa amemweka yeye kuwa mkuu ijapokuwa hakuwa mzaliwa wa kwanza),
Hilkia wa pili, Tabalia wa tatu na Zekaria wa nne. Wana na jamaa za Hosa jumla yao walikuwa watu kumi na watatu.
12 Ilia da Debolo Diasu sosodo aligisu dunu, ilia sosogo fi defele momogi. Amola eno Lifai fi dunu defele, ilima Debolo Diasu ganodini hawa: hamoma: ne ilegei.
Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu hekaluni mwa Bwana kama jamaa zao walivyokuwa nazo.
13 Sosogo fi afae afae, ilia idi mae dawa: le, logo ga: su habo ouligima: ne ilegemusa: , ululuasu.
Kura zilipigwa kwa kila lango, kufuatana na jamaa zao, wakubwa kwa wadogo.
14 Ululuabeba: le, Sielemaia da gusudili logo ga: su ouligima: ne ilegei. Egefe Segalaia da ga (north) logo ga: su ouligima: ne ilegei. Segalaia da fada: i noga: le sia: ne iasu dunu.
Kura ya Lango la Mashariki ilimwangukia Shelemia. Kisha wakapiga kura kwa Zekaria mwanawe, aliyekuwa mshauri mwenye hekima, nayo kura ya Lango la Kaskazini ikamwangukia.
15 Oubede Idome da ga (south) logo ga: su ouligima: ne ilegei, amola egefelali da liligi legesu sesei amo ouligima: ne ilegei.
Kura ya Lango la Kusini ikamwangukia Obed-Edomu, nayo kura ya maghala ikawaangukia wanawe.
16 Asubimi amola Housa da guma: dini logo ga: su amola Sia: lesede Logo Ga: su (dabuagado logo ga: i dialebe ba: i) amo ouligima: ne ilegei. Ilia sosodo ouligisu hou da ilegei defele, afae hamone, eno hamoi.
Kura za Lango la Magharibi na Lango la Shalekethi kwenye barabara ya juu zikawaangukia Shupimu na Hosa. Zamu za walinzi ziligawanywa kwa usawa:
17 Eso huluane, sosodo aligisu dunu gafeyale da gusudili logo ga: su ouligilalebe ba: i. Sosodo aligisu dunu biyaduale da ga (north) logo ga: su ouligilalebe ba: i. Amola ga (south) amoga biyaduale ouligilalebe ba: i. Sosodo aligisu dunu aduna da liligi legesu sesei afae ouligilalebe ba: i, amola eno aduna da liligi legesu sesei eno amo ouligilalebe ba: i.
Kulikuwa na Walawi sita kila siku upande wa mashariki, wanne upande wa kaskazini, wanne upande wa kusini, na wawili wawili kwa mara moja kwenye ghala.
18 Guma: dini gagoi amoga sosodo aligisu dunu biyaduale da logo ouligilalebe amola eno aduna da logo ga: su ouligilalebe ba: i.
Kuhusu ukumbi kuelekea magharibi, kulikuwa na wanne barabarani na wawili kwenye ukumbi wenyewe.
19 Ilia da amo hawa: hamosu Goula amola Milalai fi elama ilegei.
Hii ndiyo iliyokuwa migawanyo ya mabawabu waliokuwa wazao wa Kora na wa Merari.
20 Lifai fi dunu eno da Debolo Diasu muni salasu sesei amola Godema imunusa: ilegei liligi ligisisu sesei, amo ouligima: ne ilegei dagoi ba: i.
Katika Walawi, Ahiya alikuwa mwangalizi wa hazina za nyumba ya Mungu na mwangalizi wa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu.
21 La: iada: ne (Gesiome egefe) egaga fifi misi sosogo afae da egefe Yihaielai ea sosogo fi.
Wazao wa Ladani, waliokuwa Wagershoni kupitia Ladani na waliokuwa viongozi wa jamaa za Ladani Mgershoni, walikuwa Yehieli,
22 La: iada: ne egefe aduna eno da Sida: me amola Youele. Ela da Debolo muni salasu sesei amola liligi ligisisu sesei huluane ouligima: ne ilegei.
wana wa Yehieli, wana wa Zethamu na wa nduguye Yoeli. Wao walikuwa waangalizi wa hazina za Hekalu la Bwana.
23 Ilia da A: mala: me, Isaha, Hibalone amola Asaiele iligaga fi dunu amo hawa: hamoma: ne ilegei.
Kutoka kwa wana wa Amramu, wana wa Ishari, wana wa Hebroni na wana wa Uzieli:
24 Mousese egefe Gesiome amo egaga fi dunu Sibiuele, e da Debolo Muni salasu sesei sosodo aligisu dunuma bisilua esalu. Ea fi dunu da,
Shebueli, mzao wa Gershomu mwana wa Mose, alikuwa afisa mwangalizi wa hazina.
25 Gesiome eya Elia: isa egefe da Liha: baia, Liha: baia egefe da Yisa: ia, Yisa: ia egefe da Youla: me, Youla: me egefe da Sigalai amola Sigalai egefe da Siloumidi.
Jamaa zake kutoka kwa Eliezeri, wanawe walikuwa: Rehabia, Yeshaya, Yoramu, Zikri na Shelomithi.
26 Siloumidi amola ea sosogo fi dunu, ilia da liligi amo hina bagade Da: ibidi, fi fada: i dunu, fi ouligisu dunu amola dadi gagui ouligisu dunu da Godema momodale ligiagale iasu, amo ouligisu.
Shelomithi na jamaa zake walikuwa waangalizi wa hazina zote za vitu vile vilivyowekwa wakfu na Mfalme Daudi, kwa viongozi wa jamaa waliokuwa majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, na kwa maafisa wengine wa jeshi.
27 Dadi gagui ouligisu dunu da gegenana lidi liligi mogili, ilia Debolo Diasua hawa: hamoma: ne modale ligiagalesi.
Baadhi ya nyara zilizotekwa vitani waliziweka wakfu kwa ajili ya ukarabati wa Hekalu la Bwana.
28 Siloumidi amola ea sosogo fi dunu, ilia da liligi huluane Debolo Diasua hawa: hamoma: ne modale ligiagalesi, amo ouligisu. Liligi eno, musa: balofede dunu Sa: miuele, hina bagade Solo, Ne egefe A: bena amola Seluaia egefe Youa: be, ilia da Godema imunusa: modale ligiagalesi. Siloumidi da amo liligi huluane ouligisu.
Kila kitu kilichokuwa kimewekwa wakfu na Samweli mwonaji, na Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Seruya, pamoja na vitu vingine vyote vilivyokuwa vimewekwa wakfu, vyote vilikuwa chini ya uangalizi wa Shelomithi na jamaa zake.
29 Isaha egaga fifi misi dunu mogili, amo Ginanaia amola egefelali, ilia da dedene legesu hou amola Isala: ili dunu sia: ga gegesu fofada: su hou, amo ouligima: ne ilegei.
Kutoka kwa wana wa Ishari: Kenania na wanawe walipewa kazi nje ya Hekalu kama maafisa na waamuzi juu ya Israeli.
30 Hibalone egaga fi misi dunu mogili, amo Ha: siabaia amola ea fi dunu 1,700 agoane, (huluane da mimogo dunu), ilia da Isala: ili soge amo da Yodane Hano guma: dini diala, amo ganodini Godema nodone sia: ne gadosu hou amola dunu fi ouligisu hou, amo huluane ouligima: ne ilegei.
Kutoka kwa wana wa Hebroni: Hashabia na jamaa zake, watu 1,700 wenye uwezo, waliwajibika katika Israeli magharibi ya Yordani kwa ajili ya kazi zote za Bwana na utumishi wa mfalme.
31 Hibalone egaga fifi misi dunu ilia ouligisu dunu da Yelaia. Hina bagade Da: ibidi ea ouligibi ode 40 amoga, ilia da Hibalone egaga fi ilia hou haboda: i. Ilia da Hibalone fi medenegi dadi gagui dunu amo Ya: ise moilai Gilia: de soge ganodini esalebe ba: i.
Kuhusu wana wa Hebroni, Yeria alikuwa mkuu wao kufuatana na orodha ya jamaa yao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi uchunguzi ulifanyika katika kumbukumbu, nao watu wenye uwezo miongoni mwa wana wa Hebroni wakapatikana huko Yazeri katika Gileadi.
32 Hina bagade Da: ibidi da Yelaia ea fi dunu 2,700 agoane ilegei. Ilia da Isala: ili soge amo da Yodane Ha: no gusudili diala, (amo soge da Liubene, Ga: de amola Gusudili Ma: na: se fi ilia soge) amo soge ganodini, Godema nodone sia: ne gadosu hou amola dunu fi Gamane ouligisu hou, amo huluane ouligima: ne ilegei ba: i.
Yeria alikuwa na jamaa ya watu 2,700 waliokuwa watu wenye uwezo na viongozi wa jamaa, naye Mfalme Daudi akawaweka kuangalia Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila Manase kuhusu kila jambo lililomhusu Mungu na shughuli za mfalme.

< 1 Hou Olelesu 26 >