< 1 Hou Olelesu 25 >

1 Hina bagade Da: ibidi amola Lifai fi ilia fada: i dunu, ilia da Lifai sosogo fi amo A: isa: fe, Hima: ne amola Yediudane amo Godema nodone sia: ne gadosu gilisisu ouligima: ne ilegei. Ilia da Gode Ea sia: olelema: ne ilegei. Amola ilia da sia: olelesea, sani baidama amola giga: mesa duduna ahoanebe ba: mu galu. Godema nodone sia: ne gadosu ouligisu dunu ilia dio amola ilia hawa: hamosu ilegei da hagudu dedei diala: -
Daudi na viongozi wa wafanyakazi wa hema la kuabudia walichaguliwa kwa kazi baadhi walikuwa wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni. Wanaume hawa walitabiri kwa vinubi, vifaa vya uzi, na upatu. Hii ni orodha ya wanaume walioifanya hii kazi:
2 A: isa: fe egefelali biyaduale amo da Sa: ge, Yousefe, Nedanaia amola A: salila. Ilia ouligisu dunu da A: isa: fe. Da: ibidi da hamoma: ne sia: noba, A:isa: fe da Gode Ea sia: olelelalu.
Kutoka wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu, chini ya mwongozo wa Asafu, ambaye alitabiri chini ya uwangalizi wa mfalme.
3 Yediudane egefelali gafeyale da Gedalaia, Silai, Yisa: ia, Simiai, Ha: siabaia amola Ma: didaia. Ilia da ilia eda ea sia: nabawane, Gode Ea sia: olelelalu, amola gesa: mi hea: le, Hina Godema nodonanu. Ilia gesami hea: sa gilisili, sani baidama dubi nabi.
Kutoka wana wa Yeduthuni: Gedalia, Zeri, Yeshaia, Shimei, Hashabia, na Matithia, sita kwa ujumla, chini ya mwongozo wa baba yao Yeduthuni, ambaye alipiga kinubi kwa kutoa shukurani na kumsifu Yahweh.
4 Hima: ne egefelali genesi ilia dio da Bagaia, Ma: danaia, Asaiele, Sibiuele, Yelimode, Ha: nanaia, Hana: inai, Ilaida, Gida: ladai, Louma: madisi, Yosiabiga: sia, Ma: loudai, Houdie amola Maha: isiode.
Kutoka wana wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na yerimothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti Ezeri, yoshibekasha, Mallothi, Hothiri, na Mahaziothi.
5 Gode da Ea ilegele sia: i defele, hina bagade ea balofede dunu Hima: ne e gasa fili hamoma: ne, amo dunu mano genesi amola uda mano udiana ema i.
Hawa wote walikuwa wana wa Hemani mfalme wa manabii. Mungu alimpa Hemani wana kumi na nne na mabinti watatu kwa ajili ya kumpa heshima.
6 Hima: ne egefe huluane da ilia eda sia: nababeba: le, giga: mesa amola sani baidama amo Debolo nodone sia: ne gadosu amola gesami hea: su fidimusa: dusu. A: sa: fe, Yediudane amola Hima: ne, ilia da hina bagade Da: ibidi ea hamoma: ne sia: i defele hamosu.
Hawa wote walikuwa chini ya mwongozo wa baba yao. Walikuwa ni waimbaji katika nyumba ya Yahweh, pamoja na upatu na vifaa vya uzi walivyohudumu katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya uwangalizi wa mfalme.
7 Amo dunu 24 agoane da medenegi dunu ba: i. Amola Lifai fi dunu ilima gilisi, huluane da 288 agoane, ilia da dusu liligi dawa: ma: ne, ado boba: i dagoi.
Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288.
8 Dunu huluane, ayeligi amola da: i hamoi, medenegi dunu amola buludui dunu, huluane ilia ilegei hawa: hamosu dawa: ma: ne, ululuasu.
Walirusha kura kwa majukumu yao, wote sawa, sawa kwa vijana na kwa wazee, kwa walimua na kwa wanafunzi.
9 Amo dunu 288 agoane da ilia sosogo fi defele, gilisisu 24 agoane hamoma: ne, momogi ba: i. Gilisisu afae afae ilia idi da fagoane ba: i amola gilisisu afae afaega, ouligisu dunu esalebe ba: i. Ilia da agoane hawa: hamosu. A: isa: fe sosogo fi dunu Yousefe da bisili hawa: hamosu. Amalu Gedalaia, Sa: ge, Isilai, Nedanaia, Bagaia, A:salela, Yisa: ia, Ma: danaia, Simiai, Asaiele, Ha: siabaia, Siuba: iele, Ma: didaia, Yelimode, Ha: nanaia, Yosiabiga: sia, Ha: nani, Ma: loudi, Ilaiada, Houdie, Gida: lidai, Maha: isiode, Louma: madisi.
Sasa kuhusu wana wa Asafu: kura ya kwanza iliangukia katika familia ya Yusufu; ya pili iliangukia katika familia ya Gedalia, idadi ya watu kumi na mbili;
ya tatu iliangukia kwa Zakuri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya nne iliangukia kwa Izri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya tano iliangukia kwa Nethania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya sita iliangukia kwa Bukia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya saba iliangukia kwa Yesharela, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya nane iliangukia kwa Yeshaia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya tisa iliangukia kwa Matania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi iliangukia kwa Shimei, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na moja iliangukia kwa Azareli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na mbili iliangukia kwa Hashabia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na tatu iliangukia kwa Shubaeli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na nne iliangukia kwa Matithia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na tano iliangukia kwa Yeromothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na sita iliangukia kwa Hanania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na saba iliangukia kwa Yoshibekasha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na nane iliangukia kwa Hanani, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya kumi na tisa iliangukia kwa Malothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya ishirini iliangukia kwa Eliatha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya ishirini na moja iliangukia kwa Hothiri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya ishirini na mbili iliangukia kwa Gidalti, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya ishirini na tatu iliangukia kwa Mahaziothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
ya ishirini na nne iliangukia kwa Romamti Eza, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili.

< 1 Hou Olelesu 25 >