< 1 Hou Olelesu 24 >
1 Elane egaga fi da agoane galu. Elane egefelali da Na: ida: be, Abaihiu, Elia: isa amola Idama.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Na: ida: be amola Abaihiu da elea ada mae bogole, ela hidadea bogoi. Elagaga fi hameba: le, elea eya Elia: isa amola Idama da gobele salasu dunu hamoi.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 hina bagade Da: ibidi da Elane egaga fi ilima ilia hawa: hamosu defele momogili ilegei. Sa: idoge (Elia: isa egaga fi dunu) amola Ahimelege (Idama egaga fi dunu) ela da Da: ibidi fidi.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Da: ibidi da Elia: isa egaga fi dunu momogili, gilisisu gilisi agoane hamoi, amola Idama egaga fi dunu momogili, gilisisu godoane agoane hamoi. Bai Elia: isa egaga fi dunumusu ilia idi da Idama egaga fi dunumusu ilia idi baligi.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 Elia: isa amola Idama elagaga fi dunu mogili da Debolo Diasu ouligisu dunu amola Gode Ea hou ouligisu dunu esalu. Amaiba: le, ilia da ilia hawa: hamosu ilegema: ne, ululuasu.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Elia: isa amola Idama elagaga fi dunu huluane da afae afae ululuala heheda: fusu. Amalalu, Lifai sia: dedesu dunu Siemaia (Nida: niele egefe) da ilia dio dedene legei. Hina bagade Da: ibidi, ea eagene ouligisu dunu, gobele salasu dunu Sa: idoge, Abaia: da egefe Ahimelege amola gobele salasu sosogo fi amola Lifai fi ilia fada: i, amo huluane da ba: su dunu hamoi.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 Ilia da sosogo fi 24 ilima hawa: hamosu agoane ilegei. Yihoialibi da bisili ilegei. Amalu, Yedaia, Ha: ilime, Sioulimi, Ma: lagaia, Midiamini, Ha: gose, Abaidia, Yesua, Sieganaia, Ilaiasibi, Ya: igimi, Haba, Yisiebia: be, Biliga, Ime, Hise, A:fasisi, Bedahaia, Yihesigele, Ya: igini, Ga: imale, Dila: iya, Ma: iasia.
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 Amo dunu da ilia Debolo ganodini hawa: hamosu ilegei defele dedene legei ba: i. Ilia aowa Elane da Isala: ili Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i nababeba: le, amo hawa: hamoma: ne sia: i.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Lifai egaga fi ilia sosogo fada: i dunu amo ilia dio da hagudu dedei. Yehedia (Sibiuele egefe. E da A: mala: me egaga fi dunu.) Isihaia (Liha: baia egaga fi dunu) Ya: iha: de (Siloumode egefe. E da Isaha egaga fi dunu) Hibalone egefelali amo da Yilaia (magobo mano), A:malaia, Yaha: isiele amola Yega: mia: me. Sia: ime (Maiga egefe. E da Asaiele egaga fi dunu.) Segalaia (Maiga eya Isihaia amo egefe. E da Asaiele egaga fi dunu.) Malai, Miusiai amola Ya: iasaia (Milalai egaga fi dunu)
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Ya: iasaia egefelali da Siouha: me, Sa: ge amola Ibilai.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 Malai egefela da Elia: isa amola Gisia. Elia: isa da dunu mano hame galu. Be Gisa egefe afae fawane da Yilamiele.
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
30 Muisiai egefelali da Malai, Ide amola Yelimode. Amo huluane da Lifai egaga fifi misi.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Sosogo fi afae afae ilia fada: i dunu amola ea eya afae, da ilia fi dunu Elane egaga fi gobele salasu dunu ilia hamoi defele, ilia hawa: hamosu ilegema: ne, ululuasu. Hina bagade Da: ibidi, ea eagene ouligisu dunu, Sa: idoge, Ahimelege amola gobele salasu sosogo fi amola Lifai fi ilia fada: i dunu, amo huluane da amo ilegesu hou ba: su dunu hamoi.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.