< 1 Hou Olelesu 21 >

1 Sa: ida: ne da Isala: ili fi ilima bidi hamosu ima: ne dawa: i galu. E da Da: ibidi ea asigi dawa: su ganodini hamobeba: le, Da: ibidi da Isala: ili fi dunu huluane idili dedemusa: dawa: i galu.
Adui akainuka dhidi ya Israeli na kumchochea Daudi kuhesabu Israeli.
2 Amaiba: le, Da: ibidi da dadi gagui wa: i ouligisudafa amo Youa: be, amola ea afoha ouligisu dunu huluane ilima amane sia: i, “Isala: ili fi huluane fadomane fasisa asili muni na: iyado soge bega: asili na: iyado bega: doaga: le amola dunu huluane idima. Na da ili idi dawa: mu hanai gala.”
Daudi akamwabia Yoabu na kwa wakuu wa Jeshi, “Nenda, wahesabu watu wa Israeli kutoka Beerisheba mpaka Dani na uniletee taarifa, ilinijue idadi yao.”
3 Be Youa: be da amane adole i, “Hina noga: idafa! Dia Hina Gode da Isala: ili dunu ilia idi amo bagalesili, bu afae da 100 ba: ma: ne hamomu da defea. Amola amo dafawane ba: ma: ne, di da esalumu da defea. Be di, hina noga: idafa, ninia fi huluane da wadela: le hamosa: besa: le, abuliba: le amo hamomusa: hanabela: ?”
Yoabu akasema, “Yahweh na afanya jeshi lake mara mia zaidi ya lilivyo. Lakini bwana wangu mfalme, kwani wote hawamtumikii bwana wangu? kwa nini bwana wangu anataka hili? Kwa nini ulete hatia kwa Israeli?”
4 Be Da: ibidi da Youa: be ea sia: i nabawane hamoma: ne logei. Youa: be da e fisili, Isala: ili dunu idimusa: asi. E da Isala: ili soge huluanedafa amo ganodini ahoanu, Yelusalemega buhagi.
Lakini neno la mfalme halikubadilika kwa Yoabu. Hivyo Yoabu akaondoka na kwenda Israeli yote. Kisha akarudi Yerusalemu.
5 E da hina bagadema amo dunu huluane amo da gegemusa: defele esalu, amo ilia idi ema sia: ne iasu. Ilia idi da Isala: ili dunu 1,100,000 agoane amola Yuda dunu 470,000 agoane.
Yoabu akatoa taarifa ya idadi ya jumla ya wanaume wa mapambano kwa Daudi. Kulikuwa ndani ya Israeli wanaume 1, 100, 000 walio beba upanga. Yuda peke yake kulikuwa na wanajeshi 470, 000.
6 Youa: be da hina bagade Da: ibidi ea hamoma: ne sia: i higa: iba: le, e da Lifai amola Bediamini fi dunu hame idili dedei.
Lakini Levi na Benjamini hawaku hesabiwa miongoni mwao, kwa kuwa amri ya mfalme ilimuudhi Yoabu.
7 Gode da amo hou hamoi hihini ba: i. Amaiba: le, e da Isala: ili fi ilima se iasu i.
Mungu alikwazika na hili tendo, akashambulia Israeli.
8 Da: ibidi da Godema amane sia: i, “Na da amo hamobeba: le, wadela: le bagadedafa hamoi. Dafawane! Na da gagaoui agoane hamoi dagoi. Na gogolema: ne olofoma.”
Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya hili. Sasa chukua hatia ya mtumishi wako, nimetenda kwa ujinga sana.”
9 Hina Gode da Ga: de (Da: ibidi ea balofede dunu) ema amane sia: i,
Yahweh akamwambia Gadi, nabii wa Daudi,
10 “Di Da: ibidima asili, amola ema Na da ilegesu udiana ema olelemu. Amo ilegesu hi da ilegesea, amo Na da ema hamomu.”
“Nenda useme kwa Daudi, “Hili ndilo Yahweh anasema: Ninakupa maamuzi matatu. Chagua moja wapo.”
11 Ga: de da ema asili, Hina Gode Ea sia: i ema alofele i. E da Da: ibidima amane adole ba: i, “Di da adi ilegesala: ?
Hivyo Gadi akaenda kwa Daudi na kusema, “Yahweh anasema hivi, 'Chagua moja ya haya:
12 Dia soge amo ganodini ha: i ode udiana ilegema: bela: ? O oubi udiana amoga dia ha lai da di hasalabeba: le, di sefasimu, amo ilegema: bela: ? O eso udiana Hina Gode da Ea gegesu gobiheiga dima doagala: mu amola olo bagade dia sogega madelama: ne, Ea a: igele dunu asunasimu, amo ilegema: bela: ? Di dawa: lalu, nama adole ima. Amasea, na da Hina Godema alofele adole imunu.”
kati ya miaka mitatu ya ukame, miezi mitatu unakimbizwa na adui zako na kupatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa Yahweh, yani, pigo katika nchi, malaika wa Yahweh akiharibu nchi yote ya Israeli.' Hivyo sasa, amua jibu gani ni mpelekee yeye aliye nituma.”
13 Da: ibidi da bu adole i, “Na da bidi hamosu bagadedafa amoga sisiga: i. Be na da osobo bagade dunuga se nabimu higa: i. Hina Gode Hisu da ninima se imunu da defea. Bai e da asigisa, amola gogolema: ne olofosu dawa:”
Kisha Daudi akamwambia Gadi, “Nipo katika shida kubwa sana. Acha nianguke katika mikono ya Yahweh kuliko kuangukia mikono ya mwanadamu, sababu matendo yake ya rehema ni makubwa mno.”
14 Amaiba: le, Hina Gode da olo bagade Isala: ili dunuma iasi. Olo da amogala hahabe muni, Gode ea ilegei eso idi ganodini ba: i. Olo da Isala: ili soge bega: asili, la: idi bega: doaga: le, amola Isala: ili dunu 70,000 agoane da bogogia: i ba: i.
Hivyo Yahweh akatuma pigo Israeli, na watu elfu sabini wakafa.
15 Hina Gode da Ea a: igele dunu Yelusaleme wadela: lesimusa: asunasi. Be Hina Gode ea asigi dawa: su afadenene, da: i dione, a:igele dunuma sia: i, “Aligima! Bu mae wadela: lesima.” Amogalu, a:igele dunu da Yebiusaide dunu ea dio amo Alona ea widi dabasu sogebi amoga lelebe ba: i.
Mungu akatuma malaika Yerusalemu kuiharibu. Wakati alipo taka kuiharibu, Yahweh akatazama na kubadili nia yake kuhusu shambulio. Akasema kwa malaika wa uharibifu, “Imetosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Yahweh alikua amesimama eneo la kupeta la Orinani Myebusi.
16 Da: ibidi da a: igele ea gegesu gobihei gaguiwane, Yelusaleme gugunufinisimusa: , osobo gadodili hamefufua esalebe ba: i. Amalalu, Da: ibidi amola Isala: ili ouligisu dunu - huluane da eboboi abulaga ga: i- ilia da beguduli osoboga mi bugila sa: i.
Daudi akatazama juu na kuona malaika wa Yahweh amesimama kati ya nchi na mbingu, akiwa na upanga mkonono mwake akiuelekeza Yerusalemu. Kisha Daudi na wazee, wakiwa wamevaa magunia, wakalala chini uso ukiwa kwenye ardhi.
17 Da: ibidi da Hina Godema amane sia: i, “Gode! Na fawane da wadela: le hamoi. Na fawane da idili dedesu hamoma: ne sia: i. Amo hahani dunu da adi hamobela: ? Na Hina Gode! Di da na amola na sosogo ninima se imunu da defea galu. Be Dia fi dunu yolesima!”
Daudi akamwambia Mungu, “Sio mimi niliye amuru jeshi kuhesabiwa? Nimefanya hichi kitu kiovu. Lakini hawa kondoo, wamefanya nini? Yahweh Mungu wangu! Acha mkono wako unipige mimi na familia yangu, lakini usiache pigo iliendelee kubaki kwa watu wako.”
18 Hina Gode Ea a: igele dunu da ema sia: beba: le, Ga: de da Da: ibidima asili, amane sia: i, “Dia Alona ea widi dabasu amoga asili, Hina Godema gobele salimusa: , oloda gaguma.”
Hivyo malaika wa Yahweh akamuamuru Gadi kusema kwa Daudi, kwamba Daudi aende juu na kujenga madhabahu ya Yahweh katika eneo la kupeta la Oranani Myebusi.
19 Da: ibidi da Hina Gode Ea sia: Ga: demadi misi, amo nababeba: le, asi.
Daudi akaenda kama Gadi alivyo muelekeza cha kufanya kwa jina la Yahweh.
20 Widi dabasu sogega, Alona amola egefe biyaduyale da widi dabalelebe ba: i. Ilia da a: igele ba: beba: le, Alona egefelali da wamoaligimusa: hobea: i.
Wakati Orinani akipepeta ngano, aligeuka na kumuona malaika. Yeye na wana wake wanne wakajificha.
21 Alona da hina bagade manebe ba: beba: le, e da dabasu soge fisili, beguduli osoboga mi bugila sa: i.
Wakati Daudi alipo kuja kwa Orinani, Orinani akatazama na kumuona Daudi. Aliacha eneo la kupeta na akamuinamia Daudi uso wake ukiwa kwenye ardhi.
22 Da: ibidi da ema amane sia: i, “Dia widi dabasu sogebi nama bidi lama! Bai amogawi amo olo hedofama: ne, na da Hina Godema oloda hamomusa: misi. Na da amo sogebi ea bidi defele dima imunu.”
Kisha Daudi akasema kwa Orinani, “Niuzie hili eneo la kupeta, iliniweze kumjenga Yahweh madhabahu. Nitalipa gharama yote, ili pigo liondolewe kwa watu.”
23 Alona da amane sia: i, “Defea, hina noga: idafa! Lama! Amola dia hanaiga Hina Godema gobele salima. Amola na bulamagau di oloda da: iya gobele salimusa: lama. Ilia ‘youge’ amola dabasu ifa amo lalu didima: ne lama. Na da amo huluane udigili dima iaha.”
Orinani wakwambia Daudi, “Chukuwa kama lako, bwana wangu mfalme. Fanya nalo linalo kupendeza. Tazama, nitakupa ng'ombe kwa sadaka ya kuteketeza, vifaa vya kupeta kwa ajili ya mbao, na ngano kwa sadaka ya mbegu; nitakupa yote wewe.”
24 Be hina bagade da bu adole i, “Hame mabu! Na da amo liligi ea bidi defele dima imunu. Liligi amo na da bidi mae iawane udigili lai, amo na da na Hina Godema hame gobele salimu.”
Mfalme Daudi akamwambia Orinani, “Hapana, nina sisitiza kununua kwa bei yote. Sitachukua kilicho chako na kutoa kama sadaka ya kuteketeza kwa Yahweh kama haitanighramu chochote.”
25 Amola, e da widi dabasu sogebi, amo gouli fage 600 agoanega bidi lai.
Hivyo Daudi akalipa shekeli mia sita ya dhahabu kwa hilo eneo.
26 Amalalu, Da: ibidi da Hina Godema oloda gaguli, amola amo da: iya Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Gilisili Olofele Iasu hamosu. Da: ibidi da Hina Godema sia: ne gadoi amola Hina Gode da Da: ibidi ea sia: ne gadosu nababeba: le, dabe adole i. E da muagadodili, lalu amo gobele salasu liligi gobele salimusa: iasi.
Daudi akajenga madhabahu ya Yahweh pale na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za ushirika. Akamuita Yahweh, aliye mjibu kwa moto kutoka mbinguni kwenye madhabahu ya sadaka za kuteketezwa.
27 Hina Gode da Ea a: igele dunuma, ea gegesu gobihei bu salima: ne sia: i.
Kisha Yahweh akampa agizo malaika, na malaika akarudisha upanga kwenye mfuko wake.
28 Amo hou ba: beba: le, Hina Gode da ea sia: ne gadosu amoma dabe adole i, Da: ibidi da ba: i dagoi. Amaiba: le, e da Alona widi dadabisu sogebiga oloda da: iya, gobele salasu.
Daudi alipo ona kuwa Yahweh amemjibu kwenye eneo la kupeta la Orinani Myebusi, alitoa dhabihu pale pale kwa wakati huo.
29 Amo esoga, Hina Gode Ea Abula Diasu (Mousese da amo hafoga: i sogega hamoi) amola oloda amoga ilia da gobele salasu, amo da Gibione sia: ne gadosu sogebiga dialebe ba: i.
Sasa kwa wakati huo, hema la kuabudia la Yahweh, ambalo Musa alilitengeneza nyikani, na madhabahu ya sadaka za kuteketezwa, zilikuwa sehemu ya juu huko Gibeoni.
30 Be Da: ibidi da Godema nodone sia: ne gadomusa: , Gibione soge amoga masunu hamedei ba: i. Bai e da Hina Gode Ea a: igele dunu ea gegesu gobiheiba: le beda: i galu.
Walakini, Daudi hakuweza kwenda huko kumuliza Mungu muelekeo, kwa kuwa alikuwa anaogopa upanga wa malaika wa Yahweh.

< 1 Hou Olelesu 21 >