< 1 Hou Olelesu 14 >

1 Daia soge hina bagade amo Haila: me, da Da: ibidima bidi lasu dunu asunasi. E da Da: ibidima dolo ifa bagohame i. Amola e da Da: ibidi fidima: ne, diasu gagusu dunu amola gelega diasu gagusu dunu ema asunasi.
Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, waashi na maseremala ili kumjengea jumba la kifalme.
2 Amaiba: le, Da: ibidi da amane dawa: i. Hina Gode da ema hina bagade hou hahamoi dagoi. Amola Hina Gode da Ea fi ilima asigiba: le, Da: ibidi e hina bagade hou amoga hasalima: ne amola bagade gagusu dunu fi esaloma: ne hamoi.
Naye Daudi akatambua kwamba Bwana amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na kwamba ufalme wake umetukuzwa kwa ajili ya Israeli, watu wake.
3 Da: ibidi da Yelusaleme moilai bai bagadega esala, udadafa enoenoia lai. Amola e da dunu mano amola, uda mano enoenoia lalelegei.
Huko Yerusalemu Daudi akaoa wake wengine zaidi na akawa baba wa wana na mabinti wengi.
4 E da Yelusaleme moilai bai bagadega esaloba, mano dedei goelali lalelelegei, ilia dio da Sia: miua, Sioubabe, Na: ida: ne, Soloumane, Ibaha, Elisiua, Eleba: ilede, Nouga, Nifege, Yafaia, Ilisiama, Bielaiada amola Ilifelede.
Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,
5
Ibihari, Elishua, Elpeleti,
6
Noga, Nefegi, Yafia,
7
Elishama, Beeliada na Elifeleti.
8 Filisidini dunu da Da: ibidi Isala: ili hina bagade hamoi, amo sia: nabi. Amaiba: le, ilia dadi gagui wa: i da Da: ibidi suguli lamusa: muni ahoanu. Da: ibidi da amo hou nababeba: le, ili disimusa: mogodigili asi.
Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli yote, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akatoka ili kwenda kukabiliana nao.
9 Filisidini dunu da Lifa: ime Fago amoga misini gesowai.
Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,
10 Da: ibidi da Hina Godema amane adole ba: i. “Na da Filisidini dunu doagala: ma: bela: ? Di da nama hasalasu hou ima: bela: ?” Hina Gode da ema bu adole i, “Defea! Doagala: ma! Na da dia ili hasalima: ne hamomu.”
Hivyo Daudi akamuuliza Mungu: “Je, niende kuwashambulia hao Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Bwana akamjibu, “Nenda, nitawatia mikononi mwako.”
11 Amaiba: le, Da: ibidi da Ba: ile Bila: isimi moilaiga asili, Filisidini dunu hasali dagoi. E amane sia: i, “Hina Gode da hano heda: le fugagala: be amo defele, na ha lai ilima osa: la heda: i dagoi.” Amaiba: le, ilia da amo sogebi amoga dio “Ba: ile Bila: isimi” asuli. (Amo dawa: loma: ne da “Hasalasu dawa: hina”)
Hivyo Daudi pamoja na watu wake wakakwea mpaka Baal-Perasimu, akawashinda huko. Akasema, “Kama maji yafurikavyo, Mungu amewafurikia adui zangu kwa kutumia mkono wangu.” Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Baal-Perasimu.
12 Filisidini dunu da hobea: iba: le, ilia da ilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ amo fisili, hobea: i. Da: ibidi amola ea dunu da amo gaguli asili, laluga gobele sali.
Wafilisti walikuwa wameacha miungu yao huko, Daudi akaamuru iteketezwe kwa moto.
13 Amalalu, Filisidini dunu da Lifa: ime Fagoga bu heda: le, amoga bu gesowale fi dagoi.
Kwa mara nyingine Wafilisti wakavamia lile bonde;
14 Da: ibidi da bu Hina Godema adole ba: i. Amola Hina Gode da ema bu amane adole i, “Guiguda: amoga ili mae doagala: ma! Be na: iyadodili asili, ‘bolosa: me’ ifa labo aliligi amo gadenene sogebi amoga doagala: musa: momagema.
hivyo Daudi akamuuliza Mungu tena, naye Mungu akamjibu, “Usiwapandie moja kwa moja, bali wazungukie na uwashambulie kutoka mbele ya hiyo miti ya miforosadi.
15 Di da ifa balu amoga mogodigisu emo goba gala: be nabasea, doagala: ma. Bai Na da dilima bisili, Filisidini dadi gagui wa: i amo hasalimusa: mogodigili hidadea asi ba: mu.”
Mara usikiapo sauti ya kwenda juu ya hiyo miti ya miforosadi, hapo ndipo utoke upigane vita, kwa sababu hiyo itaonyesha kwamba Mungu amekutangulia ili kupiga jeshi la Wafilisti.”
16 Da: ibidi da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. E da Filisidini dunu amo Giba moilaiga muni sefasili, Gida moilaiga sefasi dagoi.
Kwa hiyo Daudi akafanya kama alivyoagizwa na Mungu, wakalipiga jeshi la Wafilisti kuanzia Gibeoni hadi Gezeri.
17 Dunu huluane da Da: ibidi ea nimi bagade hou nabi dagoi. Amola Hina Gode da hamobeba: le, fifi asi huluane da eba: le beda: i.
Hivyo umaarufu wa Daudi ukaenea katika kila nchi, naye Bwana akayafanya mataifa yote kumwogopa Daudi.

< 1 Hou Olelesu 14 >