< Nangen Nob Tomange 15 >
1 nubo kangembo yirau yahudiya cin bou Antakiya ri, ciin merang kebcebo nen, ki “Tano kom biye bo laro nawo werfun Musa ro tokkeri, mani ko fiya cerkati.”
Basi, watu wengine walifika Antiokia kutoka Yudea wakaanza kuwafundisha wale ndugu wakisema, “Kama hamtatahiriwa kufuatana na mapokeo ya Sheria ya Mose, hamtaweza kuokolewa.”
2 Wo dok Bulus kange Barnabas mor kobkangka kane ci. la cin cok Bulus kange Barnabas kange kangembo mre ce na cin ya Ursalima, cin wabkangi kange nobtomange bo, kange nubo durtinimbo dor meke wo.
Jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya Paulo na Barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa Paulo na Barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la Antiokia waende Yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
3 La nubo ku wabeu tom ci, cin cu mor finikiya kange Samariya la ciin yi cii yioka nubeko kumtacileu. ciin bou ki fuwor nerero dur fiye kebcebo wiye.
Basi, kanisa liliwaaga, nao walipokuwa wanapitia Foinike na Samaria waliwaeleza watu jinsi mataifa mengine yalivyomgeukia Mungu. Habari hizo zikawafurahisha sana ndugu hao wote.
4 Ki kwama wo ci bou mor Ursalima, nubo bi kurwabereu yoci kange nob tomangeebo, kange nubo durtinimbo, la cin yici dikero gwam wo kwama mani ki ci yeu.
Walipofika Yerusalemu walikaribishwa na kanisa, mitume na wazee; nao wakawapa taarifa juu ya yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao.
5 Di la nubo kangembo wone bilenke, wo ki more nob ding lingebeu, kweni tiri ciki, “Tamnyo a biye cinan lor, rina neci nyal ri naci bwangten werfuner Musa ro”.
Lakini waumini wengine waliokuwa wa kikundi cha Mafarisayo walisimama, wakasema, “Ni lazima watu wa mataifa mengine watahiriwe na kufundishwa kuifuata Sheria ya Mose.”
6 La nob bwangkabo kange nubo durko mweri wari naci to dike wor.
Basi, mitume na wazee walifanya mkutano maalum wa kuchunguza jambo hilo.
7 Bwiko kwob kanka ko duce ri, Bitrus kweni tii ri, la yi ciki “Kem bibo, kom nyimom ki kwama duce cumeu, kwama ck ni more kume, la nyimi nubo kumtacileu a nuwa fulen kerer certiye, naci ne bilenke.
Baada ya majadiliano marefu, Petro alisimama, akasema, “Ndugu zangu, ninyi mnafahamu kwamba hapo awali Mungu alipenda kunichagua mimi miongoni mwenu niihubiri Habari Njema, ili watu wa mataifa wapate kusikia na kuamini.
8 kwama wo nyimom mor nereu, la yici ki yuwa tangbe co wucakke ci nee cii na wo ci ne beu.
Naye Mungu anayejua mioyo ya watu, alithibitisha kwamba amewakubali kwa kuwapa nao Roho Mtakatifu kama alivyotupa sisi.
9 Ci tu bobo ki dimen kange ci la cin nirom ner cero ki belinke.
Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.
10 La nyori, ye bwi ko cuwa kwama, la kom yo nob bwanka bonen ten tu tum ti, wo tebbeb kaka'a bo dolbo tu kake?
Sasa basi, kwa nini kumjaribu Mungu kwa kuwatwika hao waumini mzigo ambao wala babu zetu, wala sisi hatukuweza kuubeba?
11 Dila bin ne bilenke ban fiya fuloka ki luma nere kwama na ci ken.
Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tunaokolewa kwa njia ya neema ya Bwana Yesu.”
12 Nubo gwam tam cinge kambo ci nuwa Barnabas ti kange Bulus yici yirom boti kange diker nyimankako wo kwama mani tiber nubo kumtancileu kange ceke.
Kikundi chote kilikaa kimya, kikawasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza miujiza na maajabu ambayo Mungu alitenda kwa mikono yao kati ya watu wa mataifa mengine.
13 kambo diim tokka kere kori, Yakubu ciya ki “Kebmibo, ko nuwa ye.
Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: “Ndugu zangu, nisikilizeni!
14 Simon tok kambo kwama ki kaba ki lumanek tiikam nubo wo yim kumtacileu ri naci to dorcero nin nob more ce.
Simoni ameeleza jinsi Mungu hapo awali alivyojishughulisha na watu wa mataifa mengine, akachagua baadhi yao wawe watu wake.
15 Ke tinim nob tomangeb dukumero ciya kange wo, nawo mulangum meu.
Jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama Maandiko Matakatifu yasemavyo:
16 Bwiko dikero wo man yilau, ri man mutilo Dauda wi tak, wo yuram bitineu, man yila muti tiyak cekowi, nabi tiken ki cho.
Baada ya mambo haya nitarudi. Nitaijenga tena ile nyumba ya Daudi iliyoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kuijenga tena.
17 La nubo kumeu atin do kwama kange nubo kumta cileu gwam wo cico tiki dem mire.
Hapo watu wengine wote, watu wa mataifa yote niliowaita wawe wangu, watamtafuta Bwana.
18 wo cho dike kwama tokkeu, wo ma dikero buro nyumom nanduweu. (aiōn )
Ndivyo asemavyo Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale. (aiōn )
19 Nyori, mi tori bi nere nubo kumta cileu wo yilam kwama nineu dotange.
“Kwa hiyo, uamuzi wangu ni huu: tusiwataabishe watu wa mataifa wanomgeukia Mungu.
20 Dila kange cinen tam nyo ciya dubom fulendo kange buro tumbo, kange wo ka biciro bwiyam bwiya.
Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa najisi kwa kutambikiwa sanamu za miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu.
21 Wori ci tok ker ti mor werfun Musa mor cinan lor gwam ki kaltiro nanduweu la ciki kiyei mor bikur waber diye fobka gwam.
Kwa maana kwa muda mrefu maneno ya Mose yamekuwa yakihubiriwa katika kila mji na kusomwa katika masunagogi yote kila siku ya Sabato.”
22 La yor nob tomnagebonen kange nubo durko kange nubo bikur wabe ro nen gwammeu na ci chok Yahuza cwoti ki Barsabbas kange cila buro no nubo dor kebcebeu. la cin tom Antakiya kange Bulus Barnabas.
Mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Basi, wakamchagua Yuda aitwaye pia Barsaba, na Sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
23 cin mulangi ki kangcek fiye nob tomangebo, kange nubo durko, keb kumebo, ki kebnyebo wo no kumtacileu mor Antakiya, Siriya, Ciliciya, Yarume.
Wakawapa barua hii: “Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko Antiokia, Siria na Kilikia.
24 wori nyim nuwa kangem nubo ceri fou nyinen, kebo ki yomka nyek, la cin kwomcang kom ki keti ro kange kumen nereu.
Tumesikia kwamba watu wengine kutoka huku kwetu waliwavurugeni kwa maneno yao, wakaitia mioyo yenu katika wasiwasi. Lakini wamefanya hivyo bila ya idhini yoyote kutoka kwetu.
25 Nyitori yori kabo nyo wo nyane dume ne wine nanyi cok nubo kangem ri nanyi tomci kumen kange nubo nyi cui cuiyeu Barnabas kange Bulus.
Hivyo, tumeamua kwa pamoja kuwachagua watu kadhaa na kuwatuma kwenu pamoja na wapenzi wetu Barnaba na Paulo,
26 Nubo wo neken dume ceu ki Teluwer bek Yesu Kiriti.
ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
27 La nyin tom yakubu kange Silas wo, ayikom dike coti win ken ki mor kere ce.
Kwa hiyo, tunawatuma Yuda na Sila kwenu; hawa watawaambieni wao wenyewe haya tuliyoandika.
28 Wori yori kabo yuwa tangbe kwamakonen kang nyo ri, nyi yo kumen deben do dur wo la dikero wo tam a bwang tenneu.
Basi, Roho Mtakatifu na sisi tumekubali tusiwatwike mzigo zaidi ya mambo haya muhimu:
29 Di kom dubom dike cii neken bibwiteu, noka bwiyale, woka biciro bwiyam bwiyau, kange buroka. No kom dubom dikero buro ri, kan yi kwamer.
Msile vyakula vilivyotambikiwa sanamu; msinywe damu; msile nyama ya mnyama aliyenyongwa; na mjiepushe na uasherati. Mtakuwa mmefanya vema kama mkiepa kufanya mambo hayo. Wasalaam!”
30 La ciin kambo ci yalammeri, yirau antakiya, kambo ci mweru nubo duce wariyeri, ciin neken cii mulangkako.
Baada ya kuwaaga, hao wajumbe walielekea Antiokia ambako waliita mkutano wa waumini, wakawapa hiyo barua.
31 Ki bwikob kiyekako ri, ciin bilangi ki bikwan nere ro.
Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.
32 yahuza kange wo nob tomangeb dukumek takeu ne nubo bi kwan neret ki keti duce, ri la cin fiya bi kwan.
Yuda na Sila, ambao nao walikuwa manabii, walizungumza na hao ndugu kwa muda mrefu wakiwatia moyo na kuwaimarisha.
33 kambo ci darang kume tini wiyeri, ciin yoken cii ki fuwor neret nubo co nen, na ci yilaken nubo tomou ciye nen.
Baada ya kukaa huko kwa muda fulani, ndugu wa Antiokia waliwaaga wakiwatakia amani, kisha wakarudi kwa wale waliokuwa wamewatuma.
34 Dila cila tori yori kabo ci tim wi.
Lakini Sila aliamua kubaki.
35 Dila Bulus kange Barnabas tim Antakiya (kang tangum kebcebo duce) ci ki merang cinen ti ri, ci tok ker kwamaro ti.
Paulo na Barnaba walibaki huko Antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la Bwana, pamoja na watu wengine wengi.
36 Kambo kume tini ri Bulus yi Barnabas ki' na weu “bi yila nabi yarum kebbebo mor Cinanloro gwam wo ni tok ker kwamareu, nabi to keno ci mati nyi ri”.
Baada ya siku kadhaa, Paulo alimwambia Barnaba, “Turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la Bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea.”
37 Barnabas cui naci tu Yahaya cii cuo ti ki Markus ce kange ci.
Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.
38 Dila Bulus kwabi ri, ki yorbo cia tu Markus, wo dubom cii mor Bamfiliya ri yabo kab tak kange ci nagen do nineu.
Lakini Paulo hakupendelea kumchukua Marko, ambaye awali aliwaacha kule Pamfulia na kukataa kushiriki katika kazi yao.
39 La kwob kangkako dou tiber cer, la bou ki yal kanka bwitici, Barnabas tu Markus kane co la yab mwmbo ciin yaken kuburus.
Basi kukatokea ubishi mkali kati yao, na wakaachana. Barnaba akamchukua Marko, wakapanda meli kwenda Kupro.
40 Dila Bulus cok cica can ciin cu, bwiko dulo ko kebcebo kwocinen, neken cii kang luma kwama.
Naye Paulo akamchagua Sila, na baada ya ndugu wa mahali hapo kumweka chini ya ulinzi wa neema ya Bwana, akaondoka.
41 La cin yaken mor Syria kange Cilicia, ci nee nubo bikur wabere bikwan neret ti.
Katika safari hiyo alipitia Siria na Kilikia akiyaimarisha makanisa.