< 1 Timoti 5 >
1 Ko care nii dur nin tor, nyori ki ken co namwi con tee. Bi beyo kom tuci na yitub kimeb
Usimkemee mwanamume mzee. Bali mtiye moyo kama baba yako. Uwatiye moyo vijana wa kiume kana kwamba ni ndugu zako.
2 Natubo durko, namwi neb kimeb, natubo bi duwartini namwi kor biwutob kimeb, mor wucakke.
Uwatiye moyo wanawake wazee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako kwa usafi wote.
3 Ki ne dur natub kwalebo nin, wo ki cuwom natub kwalebeu.
Waheshimu wajane, wale walio wajane kweli kweli.
4 No nawiye kwale wi ki bi bei kange tenkwanub ri, ciya merang neka durek mor luwe ce buri. Ciya yaa teb cibo, wori wo yori kabo Kwama nin.
Lakini kama mjane ana watoto au wajukuu, waache kwanza wajifunze kuonesha heshima kwa watu wa nyumbani mwao wenyewe. Waache wawalipe wazazi wao mema, kwa kuwa hii inapendeza mbele za Mungu.
5 Dila nawiye kwale ki bi cuwomeu ciin dob co ki kwace. Cin yo nercero Kwama nin. Ci ya ti ki kini dilo ceu kume kange kakuk.
Lakini mjane kweli kweli ni yule aliyeachwa peke yake. Naye huweka tegemeo lake kwa Mungu. Siku zote hudumu katika sala na maombi usiku na mchana.
6 La nawiye wo yim mor nuwaka lumakeu bwiyam, bwentano ciki dume ri.
Hata hivyo, mwanamke yule aishiye kwa anasa amekufa, ingawaje yu hai.
7 Ki yi cii kero buro, naci yilare diker bi torek.
Na uyahubiri haya mambo ili kwamba wasiwe na lawama.
8 No nii nebo nebo naniyak cek dikero cii cwitiye kaka buro mor lo ceu ri kanangum bilenke, la cin la nii wo nyombo Kwama.
Ila kama mtu asipowatunza ndugu zake, hususani wale walioko nyumbani mwake, ameikana imani na ni mmbaya kuliko mtu asiye amini.
9 Ki tu nawiye, nawiye kwale no ci labo coro kwi nukkun di, nawiye bwece wiine.
Basi mwanamke aandikishwe kwenye orodha kama mjane akiwa na umri usiopungua miaka sitini, na ni mke wa mume mmoja.
10 Nawiye ka nyumom co ki maka dikero keneu, kangeri toka bi beyek, kaka ci yuwa fabub ti, kaka cin nirom na nob Kwamab, kaka cin tikang nubo nuwam twirau, kaka wo yo maka dikero ken kabeu.
Lazima awe amejulikana kwa matendo mema, ikiwa ni kwamba amewajali watoto, au ameshakuwa mkarimu kwa wageni, au ameosha miguu ya waaminio, au alimesaidia ambao wamekuwa wakiteswa, au alijitoa kwa kazi yeyote njema.
11 La natub kwale bi duwartini, be ko kiye cire mor tangnum cem bo nin. No cii nuwa kuru bwiye lam Almaciya ri, ci cwiti naci nam.
Lakini kwa wale wajane vijana, kataa kuwaandikisha kwenye orodha ya wajane. Kwa kuwa wakiingia kwenye matamanio ya kimwili dhidi ya Kristo, wanataka kuolewa.
12 Ki nure wuro di, ciin bo dorcero nin ki bwiran ke, wori ciin kurongum neka dorek ciko ki kabau.
Kwa njia hii huingia kwenye hatia kwa kuwa huvunja kujitoa kwao kwa awali.
13 Nyo takeu ciin merang twabwi, wori citi bwelangi luwe, luwe. Kebo ka twabwi takeu, cii tokang dikero wo datenbo cii tokeu.
Na pia huingia kwenye mazoea ya uvivu. Wao huzunguka nyumba kwa nyumba. Si tu kwamba ni wavivu, bali pia huwa wasengenyaji na na wenye kuingilia mambo ya wengine. Wao husema mambo wasiyopaswa kuyasema.
14 Nyori mi witi natub kwalebo bi duwartini a nam naci bo bi bei, ciya tam lociyo, na ci nere nii kiye nure na kwobkangken bo bwi.
Kwa hiyo mimi nataka wanawake vijana waolewe, wazae watoto, wasimamie nyumba zao, ili kutokumpa adui nafasi ya kutushitaki kwa kufanya dhambi.
15 Kangembo yila ken bwe kelkele nin.
Kwa sababu baadhi yao wameshamgeukia Shetani.
16 No nawiye kange bwangten Kwama tiye wi ki natub kwaleb di, ca tikang cii, nyori katin ciya tutum fiye nobo bwang Kwama nin tiye, nyori naci tikang buro natub kwaleb ki cuwo meu.
Kama mwanamke yeyote aaminiye ana wajane, basi na awasaidie, ili kanisa lisilemewe, ili liweze kuwasaidia wale walio wajane kweli kweli.
17 Ki ne nubo durko wo ma liyar yorau durko dacinen teneu, na nubo buro manangenti ki kere kange mor merangka.
Basi wazee wale watawalao vyema wahesabiwe kuwa wamestahili heshima maradufu, hasa wale wanaojishughulisha na kufundisha neno la Mungu.
18 Ker Kwamaro toki “dok re duka cur nen ner no manangen canger tiri,” nii manangenneu daten a neco mukti nangene ceu.
Kwa kuwa maandiko yanasema, “Usimfumbe ng'ombe kinywa apulapo nafaka,” na “Mfanya kazi anastahili mshahara wake.”
19 Ki ywore kiyange dor nii durek no nob warkeu labo yob kaka taar di.
Usipokee mashitaka dhidi ya mzee isipokuwa kuna mashahidi wawili au watatu.
20 Kom mwe nob bwirangke nuwe nube gwam, nyori tangni ceu an cwa tai.
Waonye wakosaji mbele ya watu wote ili wengine waliobaki labda wataogopa.
21 Mi nekom werfun ti kabum Kwama kange Kiritti Yecu kange nob tomange Kwama wucake cii coke, kom tam dikero wo ma dok kimeneu kebo ki cwika duwe, kom ma diker kebo wo ma cwiti kone.
Nakuagiza kwa dhati mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu, na malaika wateule, kwamba uzitunze maagizo haya bila ubaguzi wowote, na kwamba usifanye jambo lolote kwa upendeleo.
22 Kom yore kang wulom-wulom dor niir, kom tikan re bwirang ke kange nii kange. tam bwi mweu wucak.
Usimwekee mtu yeyote mikono haraka. Usishiriki dhambi ya mtu mwingine. Yakupasa kujitunza mwenyewe uwe usafi.
23 Ma mwa no mwem tim tak, la no nyombo bi duwar ker fwerek mwek kange twira mweko kir-kireu.
Hakupasi kunywa maji pekee. Badala yake, unywe mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo na magonjwa yako ya mara kwa mara.
24 Bwirangke kange nobe nyimom wumom yanglang, la an yaken kaa cii fiye warka. Dila Kangem bwira kerembo bwang ten ki bwi.
Dhambi za baadhi ya watu hujulikana kwa uwazi, na huwatangulia hukumuni. Lakini baadhi ya dhambi hufuata baadaye.
25 Nyo tak, kange nangedo kenko nyimom wumom-wume, la kangembo mani a yuranti.
Vivyo hivyo, baadhi ya kazi njema hujulikana kwa uwazi, lakini hata zingine hazitafichika.