< المَزامِير 67 >

لِقَائِدِ الْمُنْشِدِينَ عَلَى الآلاتِ الْوَتَرِيَّةِ. لِيَتَرَأَّفِ اللهُ عَلَيْنَا وَلْيُبَارِكْنَا، وَلْيُضِئْ بِوَجْهِهِ عَلَيْنَا ١ 1
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo. Mungu aturehemu na kutubariki, na kutuangazia nuru za uso wake,
لِكَيْ يُعْرَفَ فِي الأَرْضِ طَرِيقُكَ، وَبَيْنَ جَمِيعِ الأُمَمِ خَلاصُكَ. ٢ 2
ili njia zako zijulikane duniani, wokovu wako katikati ya mataifa yote.
تَحْمَدُكَ الشُّعُوبُ يَا اللهُ، تَحْمَدُكَ الشُّعُوبُ كُلُّهَا. ٣ 3
Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.
تَفْرَحُ وَتَبْتَهِجُ الأُمَمُ لأَنَّكَ تَدِينُ الشُّعُوبَ بِالاسْتِقَامَةِ، وَتَهْدِي أُمَمَ الأَرْضِ. ٤ 4
Mataifa yote wafurahi na kuimba kwa shangwe, kwa kuwa unatawala watu kwa haki na kuongoza mataifa ya dunia.
تَحْمَدُكَ الشُّعُوبُ يَا اللهُ، تَحْمَدُكَ الشُّعُوبُ كُلُّهَا. ٥ 5
Ee Mungu, mataifa na wakusifu, mataifa yote na wakusifu.
أَعْطَتِ الأَرْضُ غَلَّتَهَا الْوَفِيرَةَ. ٦ 6
Ndipo nchi itatoa mazao yake, naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.
يُبَارِكُنَا اللهُ إِلَهُنَا، فَتَخَافُهُ كُلُّ أَقَاصِي الأَرْضِ. ٧ 7
Mungu atatubariki na miisho yote ya dunia itamcha yeye.

< المَزامِير 67 >