< المَزامِير 134 >
تَرْنِيمَةُ الْمَصَاعِدِ هَيَّا بَارِكُوا الرَّبَّ يَا جَمِيعَ عَبِيدِهِ الْقَائِمِينَ عَلَى خِدْمَةِ بَيْتِهِ فِي اللَّيَالِي. | ١ 1 |
Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
ارْفَعُوا أَيْدِيَكُمْ نَحْوَ الْمَقْدِسِ وَبَارِكُوا الرَّبَّ. | ٢ 2 |
Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
يُبَارِكُكَ الرَّبُّ مِنْ صِهْيَوْنَ، صَانِعُ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضِ. | ٣ 3 |
Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.