< الأمثال 4 >
اسْتَمِعُوا أَيُّهَا الْبَنُونَ إِلَى إِرْشَادِ الأَبِ، وَأَصْغُوا لِتَكْتَسِبُوا الْفِطْنَةَ، | ١ 1 |
Wanangu, sikilizeni, fundisho la baba, na zingatieni ili mjue maana ya ufahamu.
فَإِنِّي أُقَدِّمُ لَكُمْ تَعْلِيماً صَالِحاً، فَلا تُهْمِلُوا شَرِيعَتِي. | ٢ 2 |
Mimi ninawapa mafundisho mazuri; msiyaache mafundisho yangu.
عِنْدَمَا كُنْتُ ابْناً لأَبِي، غَضّاً وَحِيداً لأُمِّي، | ٣ 3 |
Mimi nilikuwa mwana kwa baba yangu, mpole na mtoto pekee kwa mama yangu,
قَالَ لِي: «ادَّخِرْ فِي قَلْبِكَ كَلامِي، وَاحْفَظْ وَصَايَايَ فَتَحْيَا. | ٤ 4 |
baba alinifundisha akiniambia, “Moyo wako uzingatie sana maneno yangu; shika amri zangu nawe uishi.
لَا تَنْسَ وَلا تُعْرِضْ عَنْ أَقْوَالِ فَمِي، بَلْ تَلَقَّنِ الْحِكْمَةَ وَاقْتَنِ الْفِطْنَةَ. | ٥ 5 |
Jipatie hekima na ufahamu; usisahau na kuyakataa maneno ya kinywa changu;
لَا تَنْبِذْهَا فَتَحْفَظَكَ. أَحْبِبْهَا فَتَصُونَكَ. | ٦ 6 |
usiiache hekima nayo itakulinda; ipenda nayo itakuhifadhi salama.
بِدَايَةُ الْحِكْمَةِ أَنْ تَكْسَبَ حِكْمَةً، وَاقْتَنِ الْفِطْنَةَ وَلَوْ بَذَلْتَ كُلَّ مَا تَمْلِكُ. | ٧ 7 |
Hekima ni kitu cha muhimu sana, hivyo jipatie hekima na tumia namna zote kuweza kupata ufahamu.
مَجِّدْهَا فَتُمَجِّدَكَ، اعْتَنِقْهَا فَتُكْرِمَكَ. | ٨ 8 |
Tunza hekima nayo itakutukuza; ikumbatie nayo itakuheshimu.
تُتَوِّجُ رَأْسَكَ بِإِكْلِيلِ جَمَالٍ، وَتُنْعِمُ عَلَيْكَ بِتَاجِ بَهَاءٍ». | ٩ 9 |
Hekima itaweka kilemba cha heshima juu ya kichwa chako; itakupa taji zuri.
اسْتَمِعْ يَا ابْنِي وَتَقَبَّلْ أَقْوَالِي، لِتَطُولَ سِنُو حَيَاتِكَ. | ١٠ 10 |
Mwanangu, sikiliza, na kuzingatia maneno yangu, nawe utapata miaka mingi ya maisha yako.
قَدْ أَرْشَدْتُكَ إِلَى طَرِيقِ الْحِكْمَةِ، وَهَدَيْتُكَ فِي مَنَاهِجِ الاسْتِقَامَةِ. | ١١ 11 |
Ninakuelekeza katika njia ya hekima, nimekuongoza katika mapito yaliyonyooka.
عِنْدَمَا تَمْشِي لَا تَضِيقُ خَطْوَاتُكَ، وَحِينَ تَرْكُضُ لَا تَتَعَثَّرُ. | ١٢ 12 |
Unapotembea, hakuna atakayesimama katika njia yako na kama ukikimbia hutajikwaa.
تَمَسَّكْ بِالإِرْشَادِ وَلا تَطْرَحْهُ. صُنْهُ لأَنَّهُ حَيَاتُكَ. | ١٣ 13 |
Shika mwongozo wala usiuache, utakuongoza, maana ni uzima wako.
لَا تَدْخُلْ فِي سَبِيلِ الأَشْرَارِ وَلا تَنْهَجْ نَهْجَهُمْ. | ١٤ 14 |
Usifuate njia ya waovu wala usiende katika njia ya watendao uovu.
ابْتَعِدْ عَنْهُ وَلا تَعْبُرْ بِهِ. حِدْ عَنْهُ وَلا تَجْتَزْ فِيهِ. | ١٥ 15 |
Jiepushe nayo, usipite katika njia hiyo; geuka na upite njia nyingine.
فَإِنَّهُمْ لَا يَرْكَنُونَ إِلَى النَّوْمِ مَا لَمْ يُسِيئُوا، وَيُفَارِقُهُمُ النُّعَاسُ مَا لَمْ يُعْثِرُوا أَحَداً. | ١٦ 16 |
Maana hawawezi kulala mpaka wafanye ubaya na hupotewa na usingizi hadi wasababishe mtu kujikwaa.
لأَنَّهُمْ يَأْكُلُونَ خُبْزَ الشَّرِّ وَيَشْرَبُونَ خَمْرَ الظُّلْمِ. | ١٧ 17 |
Maana wao hula mkate wa uovu na hunywa divai ya vurugu.
أَمَّا سَبِيلُ الأَبْرَارِ فَكَنُورٍ مُتَلألِئٌ يَتَزَايَدُ إِشْرَاقُهُ إِلَى أَنْ يَكْتَمِلَ النَّهَارُ، | ١٨ 18 |
Bali njia ya mwenye kutenda haki ni kama mwanga ung'aao, huangaza zaidi na zaidi hadi mchana inapowasili kwa ukamilifu.
وَطَرِيقُ الأَشْرَارِ كَالظُّلْمَةِ الدَّاجِيَةِ لَا يُدْرِكُونَ مَا يَعْثُرُونَ بِهِ. | ١٩ 19 |
Njia ya waovu ni kama giza - hawajui ni kitu gani huwa wanajikwaa juu yake.
يَا ابْنِي أَصْغِ إِلَى كَلِمَاتِ حِكْمَتِي، وَأَرْهِفْ أُذُنَكَ إِلَى أَقْوَالِي. | ٢٠ 20 |
Mwanangu, zingatia maneno yangu; sikiliza kauli zangu.
لِتَظَلَّ مَاثِلَةً أَمَامَ عَيْنَيْكَ وَاحْتَفِظْ بِها فِي دَاخِلِ قَلْبِكَ، | ٢١ 21 |
Usiziache zikaondoka machoni pako; uzitunze katika moyo wako.
لأَنَّهَا حَيَاةٌ لِمَنْ يَعْثُرُ عَلَيْهَا، وَعَافِيَةٌ لِكُلِّ جَسَدِهِ. | ٢٢ 22 |
Maana maneno yangu ni uzima kwa wenye kuyapata na afya katika mwili wao.
فَوْقَ كُلِّ حِرْصٍ احْفَظْ قَلْبَكَ لأَنَّ مِنْهُ تَنْبَثِقُ الْحَيَاةُ. | ٢٣ 23 |
Ulinde salama moyo wako na uukinge kwa bidii zote; kwa kuwa katika moyo hububujika chemichemi za uzima.
انْزِعْ مِنْ فَمِكَ كُلَّ قَوْلٍ مُلْتَوٍ، وَأَبْعِدْ عَنْ شَفَتَيْكَ خَبِيثَ الْكَلامِ. | ٢٤ 24 |
Jiepushe na kauli za udanganyifu na ujiepushe na mazungumzo ya ufisadi.
حَدِّقْ بِاسْتِقَامَةٍ أَمَامَكَ، وَوَجِّهْ أَنْظَارَكَ إِلَى قُدَّامِكَ. | ٢٥ 25 |
Macho yako yatazame mbele kwa unyoofu na kwa uthabiti tazama mbele sawasawa.
تَبَيَّنْ مَوْقِعَ قَدَمِكَ، فَتَضْحَى جَمِيعُ طُرُقِكَ ثَابِتَةً. | ٢٦ 26 |
Usawazishe pito la mguu wako; na njia zako zote zitakuwa salama.
لَا تَحِدْ يَمِيناً أَوْ يَسَاراً، وَأَبْعِدْ رِجْلَكَ عَنْ مَسَالِكِ الشَّرِّ. | ٢٧ 27 |
Usigeuke upande wa kulia au kushoto; ondoa mguu wako mbali na uovu.