< Uruyan Yuhana 19 >

1 Vat ni leli imone nlanza liwui lidya fo anit gbardang kitene kani i woro, “njaah, utucchu uzazinu nin likara un Kutelle bit.
Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati wa watu wengi mbinguni ikisema, “Haleluya! Ukombozi, utukufu na nguvu ni mali yake Mungu wetu!
2 Usharaa me kidegen nin dert, ame in su u usharaa nkilaki udiya, ulenge na ananza uyi nin tikilaki me nnin dinon, ame na yiru utunu kitenen mmii na chin me, mooh na amere na gutun minin.”
Maana hukumu yake ni ya kweli na ya haki. Amemhukumu yule mzinzi mkuu ambaye alikuwa ameipotosha dunia kwa uzinzi wake. Amemwadhibu kwa sababu ya kumwaga damu ya watumishi wake!”
3 Kubi kun be i liri na, “Njaah nchingne nuzu kitime nin ligang saligang.” (aiōn g165)
Wakasema, “Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!” (aiōn g165)
4 Akune akut aba nin na nas nin nimon inas ichine inlai ino-o kutin izazina Kutelle ulenge nna awa sosin kutet me kun tigo-oo ibele uso nani njaah.”
Na wale wazee ishirini na wanne, na vile viumbe hai vinne, wakajitupa chini, wakamwabudu Mungu aliyeketi juu ya kiti cha enzi wakisema, “Amina! Asifiwe Mungu!”
5 Kube liwui nuzu kiti lisosiin me, a woro, “Zazina Kutelle bite, vat anun achin me, anun alenge na idin lanzu fieu me, vat adiya na nanlikare.”
Kisha kukatokea sauti kwenye kiti cha enzi: “Msifuni Mungu enyi watumishi wake wote, nyote mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.”
6 Kube nlanza imomoon na a gurno fo liwui nanit gbardan, fo ku chulun men gbardang fo liwui ntutuuzu, iworo njaah kiti ngo-o Kutelle bit, unan minu vat, adi vat.
Kisha nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa wa watu na sauti ya maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, “Haleluya! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo ni Mfalme!
7 Na tisu avu liburi libo-o ti zazinghe bara kubi nbuki niluma n Yisa ndaah, unan niluma me sosin nchaah me.”
Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa arusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari.
8 Ina ngne kubin shonu nimoon ikanang nin linin nsalin dinong (ulinin uchine unnare din dursu anit alua me).
Amepewa uwezo wa kujivalia nguo ya kitani safi, iliyotakata na yenye kung'aa!” (Nguo hiyo ya kitani safi ni matendo mema ya watu wa Mungu.)
9 Unan kadure wurei, “Yertine ilele: Anan mmariari di alenge na ina yichila ni udak mbuki niluma ngono Kutelle.” Akura awurei, “Ilele innare tigbulan kidegen Kutelle.”
Kisha malaika akaniambia, “Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo!” Tena akaniambia, “Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu.”
10 Nnonko kidowo ninghe nbun me nzazingne, anin belli aworo, “Na uwansu nani ba! Men wang kuchi -nari ligowe nin fi nan nuana fe alenge na ikifo ligbulan nshaida Yissa, zazina Kutelle, Ushaidna Yissa unnare Uruhu nbelin nbun.”
Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, “Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii.”
11 In nin yene kitene kani puun, nan nyene, nyene kabarik kabo-o ulenge na awa di kitene kanin idin yichu ngne unan yinnu sa uyenu nin kidegen, Adin su usharaa dert anin nutuzuno kidegen.
Kisha nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpanda farasi wake aliitwa “Mwaminifu” na “Kweli”. Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki.
12 Iyizi me din kasu fo ula, litime wa di nin nitik tigo, Awadi nin lisa na iwa yertin kidowe me na umon yiru ba se ame.
Macho yake ni kama mwali wa moto, na alikuwa amevaa taji nyingi kichwani. Alikuwa ameandikwa jina ambalo hakuna mtu alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe.
13 Awa shon kultuk me na iwa shintin nyan mmii, lisa me idin yichu ligbulan Kutelle.
Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu.”
14 Asoja kitene ka ne wa din durtu ngne nin nibark ni bo-o, i wa shon tilinen tichine, abo-o pau ayita lau.
Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na walikuwa wamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi.
15 Nnuzun nnuu me liltang nli wa nuzu likeze nmin-nmin, aba min nani nin chara likara aduluani nin nanu nayi Kutelle, Amin nani nin tigo me vat.
Upanga mkali hutoka kinywani mwake, na kwa upanga huo atawashinda mataifa. Yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua divai katika chombo cha kukamulia zabibu za ghadhabu kuu ya Mungu Mwenye Uwezo.
16 Ayertine kultuk me nin kuta me lisa yita ku, UGO NA GO NIN CHIKILARI NA CHIKILARI.
Juu ya vazi lake, na juu ya mguu wake, alikuwa ameandikwa jina: “Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.”
17 IN yene gono kadura yisin nwui, ayicila anyin na idii kitene kane nin liwui lidya, “Dan, ida zuro ligowe bara ubuki Kutelle.
Kisha nikamwona malaika mmoja amesimama katika jua. Akapaaza sauti na kuwaambia ndege wote waliokuwa wanaruka juu angani, “Njoni! Kusanyikeni pamoja kwa karamu kuu ya Mungu.
18 Dan ida li inawa na go, inawa ni didya likum, inawa na nan likara, inawa ni barke na nan ngnaji ni nin, nan ni nawa na nit vat, nan nachin nin nan sali linin, adi dya nya mine na nan likare.”
Njoni mkaitafune miili ya wafalme, ya majemadari, ya watu wenye nguvu, ya farasi na wapanda farasi wao; njoni mkaitafune miili ya watu wote: walio huru na watumwa, wadogo na wakubwa.”
19 In yine kumunche nan na go nye-e nan na soja mine, iba kele kidowo udu likum nin lenge na ngna kabarke nin na soja me.
Kisha nikaona yule mnyama pamoja na mfalme wa dunia na askari wao wamekusanyika pamoja kusudi wapigane na yule aliyekuwa ameketi juu ya farasi, pamoja na jeshi lake.
20 Kumuche na iwaa kifo ngne ligowe nin na nan kadura kinuu me alenge na isu liduu imus lin me, nin leli kulappe nbun me. Nin kuni kulappe arusuzo ale na iwa seru ulamba me inin nchil me. Awa ban mine iturunnan nya nlan ukang ujujuzu unanzan. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
21 Ngisin mine iwa moluani nin litang nla ule na uwa nuzu nnuu nle na awa di kitene kabarke, vat na yin le abi mine.
Majeshi yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda farasi. Ndege wote wakajishibisha kwa nyama zao.

< Uruyan Yuhana 19 >