< Katwa Nono Katwa 7 >
1 Nin nanin ku prist kudawe tirino Istifanu ku,”ilemone na ant alele din belu kite fe kiden are?
Basi, Kuhani Mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?”
2 Istifanus nin kawa, “Nua nanin a Yahudawa nin na didawe, lanzannin! Kutelle kudewe na tidin ruugye, wa zuru nin cifi bite Ibrahim na wa dutu nanya kusarin Mesopotamia, kafin adak kusarin ka gwirin Haran.
Naye Stefano akasema, “Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! Mungu alimtokea baba yetu Abrahamu alipokuwa kule Mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule Harani.
3 Kutelle nin woeo gye, cino mmin mone na uduku nan na iyayife, duku, udu mmin mona ima dursu fi.
Mungu alimwambia: Ondoka katika nchi yako; waache watu wa ukoo wako; nenda katika nchi nitakayokuonyesha!
4 Amini Abrahem tina acino mmim mone, na Chaldia, amini wa dak Uharan anin soo kikane. Nin kidung ucif me kuu, Kutelle nin belingye anuzu mmimn mone na sosinku.
Kwa hivyo, Abrahamu alihama nchi ya Kaldayo, akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu alimtoa tena Harani akaja kukaa katika nchi hii mnayokaa sasa.
5 Kubi kone Kutelle wadi asa naa Abraham mmin lisosin me ba. Vat nin nanin Kutelle su gye likawali ama nigye mming mona amasoku nin nisudu me, sa ligan. Nin nanin ma Abraham kubu kone awa dinin nin gono kana ama su ugadu me ba.
Mungu hakumpa hata sehemu moja ya nchi hii iwe mali yake; hata hivyo, alimwahidia kumpa nchi hii iwe yake na ya wazawa wake, ingawaje wakati huu hakuwa na mtoto.
6 Nin bung Kutelle belle Abraham, 'Isudu fe masuo kipin limara. ima suo kikane udu akus akalin anas, lisosin mine kikane lin ma yitu licin ari.
Mungu alimwambia hivi: Wazao wako watapelekwa katika nchi inayotawaliwa na watu wengine, na huko watafanywa watumwa na kutendewa vibaya kwa muda wa miaka mia nne.
7 Men ba nani ulada umugunta mine na itaa nono nin son, mba nin nutun min, nin kidun isudu fe madak ida usujaida [lidurun] nan mmin mone.
Lakini mimi nitalihukumu taifa hilo litakalowafanya watumwa. Kisha nitawatoa katika nchi hiyo ili waje kuniabudu mahali hapa.
8 Kutelle nin dokace Abraham, asu nono ni lime me[mboo] ukaciya, nanin anit ma yinu inin nono Kutelle ari, Nin mbung ame Abraham se gono lisame Ishaku, kube na Ishaku wa tii ayira kulir, [8days] Abraham su gye ubo[ukaciya] nin mbung ame Ishaku mara gono me lisame Yakubu, Yakubu yita ucif nono likure, alena aYahudawe din yici nanin akune na cif bit.
Halafu Mungu aliifanya tohara iwe ishara ya agano. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka, siku ya nane baada ya kuzaliwa. Na Isaka, vivyo hivyo, alimtahiri Yakobo. Naye Yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili vivyo hivyo.
9 Iyiru gono ki kune Yakube laza ayi bara ucifime wa yiru Yusufuku ataa gye kinnayi me. Inanin wa lewu gye nacara nanan kasau, inanin wa yiru gye udu Umasar, kikane amini suo unan licin. Vat nanin Kutelle mini na bung Yusufu ku.
“Wale mababu walimwonea wivu Yosefu, wakamuuza utumwani Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,
10 Amini wasugye ukariya kikana anit wani uwahala. Amini wa nigye uhikima kan, amini watii Firaun, ogo Masar, asu umong icine kitenen Yusufu. Nin nanin Firauna nin nin yira gye asu umulki nanya Masar nin yenju kuturan Firauna.
akamwokoa katika taabu zake zote. Mungu alimjalia fadhili na hekima mbele ya Farao, mfalme wa Misri, hata Farao akamweka awe mkuu wa ile nchi na nyumba ya kifalme.
11 Dana Yusufu wadin su kata kane, iduru kon kubi na umonli wasali nanya mmin Masar nin Kaana, Anit wa di tikanci kan. Kubi kone Yakubu nin nonome na iwa dinin ni mmonli ba
Kisha, kulizuka njaa kubwa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa. Babu zetu hawakuweza kupata chakula chochote.
12 Dana Yakubu lanza imonli lesu din Masar, amini wa tuu nuono me udu Umasarinan di seru imonli li, inanin wa duo idi seru imonli kitin Yusufu, inanin wa yinin Yusufu ku b, inanin wa kpilin kilari.
Basi, Yakobo alipopata habari kwamba huko Misri kulikuwa na nafaka, aliwatuma watoto wake, yaani babu zetu, waende huko Misri mara ya kwanza.
13 Kubi kona nuona Yusufu duo iseri ni monli unbe kikanere, anin benle nanin ame ari. Nin nanere Firauna nin yino an Yusufu a Yahudaweri, nin anit ale na idaa unuzu Kaana nuona mere.
Katika safari yao ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na Farao akaifahamu jamaa ya Yosefu.
14 Nanin nin kidun na Yusufu tuo nuona me kilari, inin benle ucif mine Yakubu Yusuf dinin us me nin iyalime idak Umasar ida suo k. Kubi kone Yakube nin nono me wadi akut kuzor nin kutochin
Yosefu alituma ujumbe kwa baba yake na jamaa yote, jumla watu sabini na tano, waje Misri.
15 Dana Yakubu lanza nani, ame nin lilari me yga udu Umasar. Nin kidun Yakube kuu kikane, nin na mong akune bit, nin nono me kuu kikane
Hivyo, Yakobo alikwenda Misri ambako yeye na babu zetu wengine walikufa.
16 Inanin wa yiru abi niwo mine idamu kutin bit kikane ikasa nanin kikana ucif bit Abraham naseru nanya kagbirin Shechem.
Miili yao ililetwa mpaka Shekemu, ikazikwa katika kaburi Abrahamu alilonunua kutoka kwa kabila la Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.
17 Akune bite taa gbardan kubi kona Kutelle wa dinin su utucu mine kiti na Msrawe, nafo na ana su Abraham ku ualkawali.
“Wakati ulipotimia Mungu aitimize ahadi aliyompa Abrahamu, idadi ya wale watu kule Misri ilikwisha ongezeka na kuwa kubwa zaidi.
18 Umong ugo da a suumulki Umasar, na ame yiru Yusufu ku ba na amere wabun nanin kubikona awadi mulkeba,
Mwishowe, mfalme mmoja ambaye hakumtambua Yosefu alianza kutawala huko Misri.
19 Ugo ne rusuzonanin kurun asu uzalamci kit na kune bite ana nin uwahalakang. Amini wa tii nanin itusu nono nibebene mine idas ni lari mine inan kuzu.
Alilifanyia taifa letu ukatili, akawatendea vibaya babu zetu kwa kuwalazimisha waweke nje watoto wao wachanga ili wafe.
20 Kubi konere iwa maru Musa k, Kutelle, nin yene gye gono ki gigimeri kan. Nin nanin acif me nashe gye nanya kilai nanya tipui ti tat
Mose alizaliwa wakati huo. Alikuwa mtoto mzuri sana. Alilelewa nyumbani kwa muda wa miezi mitatu,
21 Inanin wa ce ghe idas kilare, bara ushonon Ifirauna nan nin seghe ibiu kigawa, amini wa minghe nafo gono mere.
na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.
22 Iwa dursuza Muse ku vat ukoyo na ani Masarawe yiru mu, amini wa gunjo asu imong ezikiki kan
Mose alifundishwa mambo yote ya hekima ya Wamisri akawa mashuhuri kwa maneno na matendo.
23 In lonliri kubi kona Musa wa di akus akut kutochin, amini yina kibinai me ama di lisu anit me, a Israila
“Alipokuwa na umri wa miaka arobaini aliamua kwenda kuwaona ndugu zake Waisraeli.
24 Amini wa yene ku Masarawa di fuo ku Israila. Bara nanin amini wa tinin adi buno ku Israila, atina amolo ku Masarawe.
Huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa, na kulipiza kisasi, akamuua yule Mmisri.
25 Muse wa suso ku Israila maynnu Kutelle na tuu ghe ada bolu nanin nanya lichin Masaraware. Bara nani ne inin wa yinin ba.
(Alidhani kwamba Waisraeli wenzake wangeelewa kwamba Mungu angemtumia yeye kuwakomboa, lakini hawakuelewa hivyo.)
26 Nin kuiy, Muse yene ku Israila din fuo atimine. Amini wa cina ukosu nani, Anit, anin na biye li nwana a Israila! Bara yanghari idin fuo ani mine?
Kesho yake, aliwaona Waisraeli wawili wakipigana, akajaribu kuwapatanisha, akisema: Ninyi ni ndugu; kwa nini basi, kutendeana vibaya ninyi kwa ninyi?
27 Ame ulena awa lanza gwana me ukule turno Museku kusari ani benle ''aa ghari taa fi kulauya kiti bit!
Yule aliyekuwa anampiga mwenzake alimsukuma Mose kando akisema: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wa watu?
28 Udinin suu umoli nafo na una molu ku Masarawe ilenghe?
Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana?
29 Dana Musa lanza nanin atin na achino u Masarawe acoo udu mmin Midiniawa. Amini wa ti akus kikane. amini wa suu ilima kikan iwane mara ghe nono niba.
Baada ya kusikia hayo Mose alikimbia, akaenda kukaa katika nchi ya Midiani na huko akapata watoto wawili.
30 lon lir akus akuta nas nin kidun, Kutelle seeghe nanya gono kadura me udu kiti Musa. Ani see Musa ku nanya galtun kushoo kona kuwandin jujuki dawo nanya kushoo kukau ku popo likup.
“Miaka arobaini ilipotimia, malaika wa Bwana alimtokea Mose katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto kule jangwani karibu na mlima Sinai.
31 Dana Musa yene nanin asu umamaki, bara ula wadin lii kushe amana kushoo juju kidawo ba, dana ada kupopo kushoo anan yen, amini wa tini alanaza liwui Kutelle yichu ghe,
Mose alistaajabu sana kuona jambo hilo hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia sauti ya Bwana:
32 'Men Kutelleri ulena akunefe na zazu. Men Kutelle Abraham, Ishaku, nin Yakubu na ina zazu. Musa lanza fiu kan atina ketuzu. Alanza fiu yeju kushoo tutun.
Mimi ni Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo! Mose akatetemeka kwa hofu na wala hakuthubutu kutazama zaidi.
33 Nanin Kutelle woroghe akala akwatak me auro sa udin daukaki. Bara kika na uduku kiti kilauwari kinaniari.
Bwana akamwambia: Vua viatu vyako maana hapa unaposimama ni mahali patakatifu.
34 Imali yenu elemon na ann Masarawa di ni anit nin ti kanci. Ilanza aniti nin kubi kona idin ghilu. men daa ida bolu nanin nachara na Marawa. Nene fita, bara idin chinu utufi nanya Masar,
Nimeyaona mabaya wanayotendewa watu wangu kule Misri. Nimesikia kilio chao, nami nimekuja kuwaokoa. Basi sasa, nitakutuma Misri.
35 Musa amere wa bung nono Israila, ulena iwa narighe, inin woro, aa ahri na tifi un kulau kitibit! Musare Kutelle na tuu ghe asu umulki mine ani bolu nanin nanyaa lichin amere ule na gono kadura gye kushe walin ghe suu imene.
“Huyu Mose ndiye yule watu wa Israeli waliyemkataa waliposema: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wetu? Kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto, Mungu alimtuma Mose huyo awe kiongozi na mkombozi.
36 Musa amere wa nutun akunebite in Masar. aamini wa wasu imong eziki gbardan, nanya Masar bara ana dura Kutelle wa di nin ghe, kurawa kku shine nin akus akuta nas anit Israila nadi nanya kushoo.
Ndiye aliyewaongoza wale watu watoke Misri kwa kufanya miujiza na maajabu katika nchi ya Misri, katika bahari ya Shamu na jangwani kwa muda wa miaka arobaini.
37 Ule Musare na awa benli anit Israila, 'Ktelle maa dani nin mong nanya na nit mine asuo kuannabit nafo men.
Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: Mungu atawateulieni nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu ninyi wenyewe.
38 Ule unitere Musa na awadi nanya na Israila na awadi nanghinu nannya kushoo; amere gono kadure Kutelle wadi nin ghe likup Sinai. Amere Musa na Kutelle na nighetidokoki bite, amere ulena abelin akune bite tipipin tona unan kadure wa belin. Amere ulena ana seru tipipin Kutelle udu kiti bite dana tidin belu nari tusu lisosin linsali ligan udu kusari bit.
Wakati watu wa Israeli walipokutana pamoja kule jangwani, Mose ndiye aliyekuwako huko pamoja nao. Alikuwa huko pamoja na babu zetu na yule malaika aliyeongea naye mlimani Sinai; ndiye aliyekabidhiwa yale maneno yaletayo uzima atupe sisi.
39 Vat nin nani akune bite wa nari lanzu Muse k, inani wa nari asuo nani udia mine, inani wa dinin suu i kpilin udu Masarawa.
“Lakini yeye ndiye babu zetu waliyemkataa kumsikiliza; walimsukuma kando, wakatamani kurudi Misri.
40 Bara nani inani wa beli yayame Haruna, 'kele nari kudodo kono kuma suo nari kutelle ayiru nari udu Umasar. Bara ame Muse na tiyiru yeri se ghe ba.
Walimwambia Aroni: Tutengenezee miungu itakayotuongoza njiani, maana hatujui yaliyompata Mose huyu aliyetuongoza kutoka Misri!
41 Inani wa kee kutelle kaluka. inani wa nakpiza tihadayu mine mbung kaluke inan zazin kudode, inani wa suu afu nin niwawa bara ilemong na inin kele.
Hapo ndipo walipojitengenezea sanamu ya ndama, wakaitambikia na kukifanyia sherehe kitu ambacho ni kazi ya mikono yao wenyewe.
42 Bara nani Kutelle tina chino ukelu nani. Amini chino nani isuu uwui, upoi nin niyin, kitene kitene kane usujaida. ulele di daidai nin tipipi too umong ku uan liru nuu Kutelle n yertin: Kutelle na belin, Anun anit Israila, kubi kona na iwa libun molsu ina nin nakpizu tihadaya mine nanya akus akut anas na iwadi nanya kushoo, inani wa nakpiza meghari ku tihadaye?
Lakini Mungu aliondoka kati yao, akawaacha waabudu nyota za anga, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii: Enyi watu wa Israeli! Si mimi mliyenitolea dhabihu na sadaka kwa muda wa miaka arobaini kule jangwani!
43 Bada nanin iwayiru kudaga udu niniti kona kuwa di nin aloli kutelle Molech inani wa suu ghe usujaida. Inan tutun iwa yiru usufa fiyin ulena iwa yichu ghe Rephan. alelere akunki alena iwa kiye inani wa suu manin usujaida na menba. bara nani ima tii ida yiru nilari pii udu kankagbiri dana kadi pii dana ka ta Ubabila.
Ninyi mlikibeba kibanda cha mungu Moloki, na sanamu ya nyota ya mungu wenu Refani. Sanamu mlizozifanya ndizo mlizoabudu. Kwa sababu hiyo nitakupeleka mateka mbali kupita Babuloni!
44 Kube na achif biteiwa di nanya kushoo, inani wa suu Kutelle ku usujaida nanya kudaga nafo awadi nanghinu. Inani wa kiye kudaga nafo na Kutelle na belin Muse ku. kuwa di nafo kona Muse wa yene kitene likupe.
Kule jangwani babu zetu walikuwa na lile hema lililoshuhudia kuweko kwa Mungu. Lilitengenezwa kama Mungu alivyomwambia Mose alifanye; nakala kamili ya kile alichoonyeshwa.
45 Udak kidun, ukon kunebit ayira kutent kone kubi kona Joshua wa dak nin ghinu nanya mminghe. Kubi konere iwa bolu mmin mone, kubi kona Kutelle wa nutun anite alena iwa di nanya mminmone, att nain inuzu. Bara nani Israila kifo mmin moneiman taa min mine, Kudanaghe wadi nanya mine ni duu ayiri ugo Dauda.
Kisha babu zetu walilipokezana wao kwa wao mpaka wakati wa Yoshua, walipoinyakua ile nchi kutoka kwa mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao. Hapo lilikaa mpaka nyakati za Daudi.
46 Duda taa ayi Kutelle man amini wa tirin Kutelle ku sa akeeghe kilari kika na ame nin vat anit Israila ima suu ghe sujaida.
Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa Yakobo.
47 Bara nani Kutelle nin woro Dauda ku uson fere Sulaimanu ma keyi kilari kika na anit ma suu usujaida.
Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.
48 ''Bara nani, iyiru kitele katin likara koyan. Na awngya asuo kilari kana ani kiye ba. nafo na Ishaya una liru nuu Kutelle wa nyertin:
“Hata hivyo, Mungu Mkuu haishi katika nyumba zilizojengwa na binadamu; kama nabii asemavyo:
49 Kutelle woro ''kitene ukursiyi nighari, kutin tutun kiti patilu nin ghari musu kiyapin kilari imaa keyi mugha? Men litini ina kie imong vat kitene nin kutin.
Bwana asema: Mbingu ni kiti changu cha enzi na dunia ni kiti changu cha kuwekea miguu.
50 Bara anun anit ari iwaya kelai kilari kana men wanya isuu nanya kinin ba?
Ni nyumba ya namna gani basi mnayoweza kunijengea, na ni mahali gani nitakapopumzika? Vitu hivi vyote ni mimi nimevifanya, au sivyo?
51 Anun anit atimine di gagan kitime! idi nafo akune minere! iani naru Ufunu lauwe, nafo na ini suu!
“Enyi wakaidi wakuu! Mioyo na masikio yenu ni kama ya watu wa mataifa. Ninyi ni kama baba zenu. Siku zote mnampinga Roho Mtakatifu.
52 akune mine watii anan liru nuu Kutelle ti kanchi kan. Inani wa molu alena iwa beli ubelen dakin Kristi, amere ma chas ana nonko kibinai Kutelle man. Kristi une na malin dak! Amere ule na na ina kpilin nanan ni vira meinani na yisi imolughe!
Je, yuko nabii yeyote ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua hao Mungu aliowatuma watangaze kuja kwake yule Mwenye Haki. Na sasa, ninyi mmemsaliti, mkamuua.
53 Anughere anite na ina seru tidokoki Kutelle. Too tidokore Kutelle nani gono kadura me ani acif bite, vat nanma na ina durtu ti dokokeba.
Ninyi mliipokea ile Sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”
54 Kube na anan ma wucuwucu na Yahudawe nin saure lanza vat elemon na Istifanus benle, inani wa lanza ayii ka. Inani wa din talu na yini mine bara ilemong na Istifanu benle nanin!
Wale wazee wa Baraza waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira.
55 bara nani Ufunu ulau tin nonko kibinai Istifanus. Amini tii iyizime kitene kane atina ayene ikanan laa Kutelle. Amini wa yene Yesu ku yisin mbung chara ulime Kutelle.
Lakini Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa Mungu na Yesu amekaa upande wa kulia wa Mungu.
56 ''Yene,''aworo'' iyene kutenle puno, imini yene gono nit yisin kusari chara ulime Kutelle
Akasema, “Tazameni! Ninaona mbingu zimefunuliwa na Mwana wa Mtu amesimama upande wa kulia wa Mungu.”
57 Dana anan ma wucuwucu na Yahudawe nin usaura mine lanza. inani watii inteed kan. Inani wa tursu atuf mine ninna chara bara na iwa lanza ghe ba, sa umolukubi itinna imuna tii kiti me.
Hapo, watu wote katika kile kikao cha Baraza, wakapiga kelele na kuziba masikio yao kwa mikono yao. Kisha wakamrukia wote kwa pamoja,
58 Inani iwa wunun gh udu udas kagbire Urshalima tina tauzu ghe nin na tala. Anit alena iwa suu kinu kitene me itina kala alituk mine ichau kupopo ko kunyana lisamw Shawulu amini wa suu uhaa nalituk ke.
wakamtoa nje ya mji, wakampiga mawe. Wale mashahidi wakayaweka makoti yao chini ya ulinzi wa kijana mmoja jina lake Saulo.
59 Dana ilau ubun tauzu ghe nin natale, Stifanus taa nlira,''Ucikilari nin Yesu sere ifip nighe!
Waliendelea kumpiga mawe Stefano, huku akiwa anasali: “Bwana Yesu, ipokee roho yangu!”
60 Nin nani Stifanus tin na adeu kitin ani jartin, Cikilari, na uwa kifo nani kulapi kona ba! Nin kidun na benle nani, atina kuu.
Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: “Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii.” Baada ya kusema hivyo, akafa.