< 1 Ukorintiyawa 13 >
1 Nwa su uliru nin tilen nanit, sa nin tilen nnono kadura Kutellẹ, na nnin dini su ba, nba so nafo lileng gberere sa fidowon mbejulu.
Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele.
2 Asa ndi nin fillun anabci nin yiru kidegen kanga vat na kiyeshin. Andi ndi nin yinnu sa uyenu ulenge na uwasa ufiza akup. Andi na ndinin su ba na meng imonari ba.
Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu.
3 Asa nna vat nimon ile na ndi bara akimon, sa nni kidowo nighe ijuju, andi na ndi nin su ba ukpini imonku ba.
Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote.
4 Usu di nin nayi asheu, uyita nin lidu licine. Na usu dinin liyarin ba, sa ivet ba. Usu din fo figiri ba, na usu din tizu umucu litiba.
Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni.
5 Na udin dasu nin diru litiba, na udi nin su litiba, na udin lanzu kughullu ba, na udin cisu adu ananzang liburi ba.
Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
6 Na udin su liburi libo nan nya nimon inanzang ba, una din liburi libo nan nya kidegen.
hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.
7 Usu din nnonku kibinayi nin nimon vat, udin yinnu nin nimon vat, udi nin nayi akone kitene nimon vat, unin yita nin terru kibinayi nin nimon vat.
Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.
8 Usu di nin ligang ba. Andi annabci duku, iba katu, andi tilen tilen duku, tiba tiligan, andi uyiru duku, uma katu.
Upendo hauna kikomo kamwe. Kama kuna vipaji vya kutangaza ujumbe wa Mungu, hivyo vitatoweka siku moja; kama ni vipaji vya kusema lugha ngeni, vitakoma; kama kuna elimu, nayo itapita.
9 Bara uyiru bite di agir agir, anabci bite wang di agir agir,
Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.
10 Asa unan kulie nnin da, ilenge na idi agir agir ma katu.
Lakini kile kilicho kikamilifu kitakapofika, vyote visivyo vikamilifu vitatoweka.
11 Kubi kongo na nwa di gono, nwa liru nafo gono, nwa yenjize nafo gono, nwa kpiluzu nafo gono. Kubiko na nwa wasirin, nna sun adadu tinone.
Nilipokuwa mtoto mchanga nilisema kitoto, nilifahamu kitoto, nilifikiri kitoto. Lakini sasa, maadam mimi ni mtu mzima, mambo ya kitoto nimeyaacha.
12 Nene tidin yenju nan nya nimon nyeju ayeli nafo nan nya nsirti, lire tima yenju umuro nin muro. Nene uyiru nighe di kugir, lire uyiru nighe makulu nafo na mmal kulu uyinoe.
Tunachoona sasa ni kama tu sura hafifu katika kioo, lakini hapo baadaye tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye nitajua yote kikamilifu, kama vile Mungu anavyonijua mimi.
13 Imon itat ilelere nlawa, uyinnu sa uyenu, uciu nayi, nin su, vat nan nya nitatte imon idiyawe usuwari.
Sasa yanadumu haya matatu: imani, tumaini na upendo; lakini lililo kuu kupita yote ni upendo.