< Tarih-tǝzkirǝ 2 4 >
1 Uzunluⱪi yigirmǝ gǝz, kǝngliki yigirmǝ gǝz, egizliki on gǝz kelidiƣan bir mis ⱪurbangaⱨ yasatti.
Vivile akatengeneza madhabahu ya shaba; urefu wake ulikuwa mikono ishirini, na upana wake ulikuwa mikono ishirini.
2 U mistin «dengiz» yasatti; uning xǝkli dügilǝk bolup, u girwikidin bu girwikigiqǝ on gǝz kelǝtti; egizliki bǝx gǝz, aylanmisi ottuz gǝz idi.
Pia akatengeneza bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa, mikono kumi kutoka ukingo hadi ukingo. Urefu wake kwenda juu ulikuwa mikono mitano, na bahari ilikuwa na mzunguko wa mikono thelatinini.
3 «Dengiz»ning sirtⱪi asta ⱪismi buⱪining xǝkli bilǝn qɵrüldürüp bezǝlgǝn bolup, buⱪilar ⱨǝrbir gǝzgǝ ondin, ikki ⱪatar ⱪilinip, mis «dengiz» bilǝn tǝng ⱪuyup qiⱪilƣanidi.
Chini ya kingo kuzunguka bahari kulikuwapo ng'ombe dume, kumi kila mkono,
4 Mis «dengiz»ni on ikki mis buⱪa kɵtürüp turatti; uning üqi ximalƣa, üqi ƣǝrbkǝ, üqi jǝnubⱪa, üqi xǝrⱪⱪǝ ⱪarap turatti. «dengiz» buⱪining dümbisigǝ yatⱪuzulƣan bolup, buⱪilarning ⱪuyruⱪi iqi tǝrǝptǝ idi.
Bahari ilisimama juu ya ng'ombe wa kulima kumi na wawili, watatu wakiangalia kaskazini, watatu wakiangalia magharibi, na watatu wakiangalia kusini, na watatu wakiangalia mashariki. Bahari iliwekwa juu yao, na robo ya sehemu zao za nyuma zote zilikuwa ndani.
5 Mis dengizning ⱪelinliⱪi bir alⱪan bolup, qɵrisi qinining girwikidǝk nilupǝr xǝklidǝ ⱪilinƣan, uningƣa üq ming bat su patatti.
Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi. Bahari ilikuwa na mabafu elfu tatu ya maji.
6 U yǝnǝ on «yuyux desi» yasitip, bǝxini mis dengizning ong tǝripigǝ, bǝxini sol tǝripigǝ ⱪoyƣuzdi; kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪlarƣa ixlitidiƣan buyum-ǝswablirining ⱨǝmmisi xu daslarda yuyulatti; «dengiz» bolsa kaⱨinlarning yuyunuxi üqün ixlitilǝtti.
Pia akatengeneza birika kumi kwa ajili ya kuoshea vitu; tano akaziweka mkono wa kulia, na tano akaziweka kushoto; vifaa vilivyotumika katika kufanayia sadaka za kuteketezwa zilipaswa kuoshwa ndani ya hizo birika. Bahari, vilevile ilikuwa kwa ajili ya makauhani kuoga humo.
7 U yǝnǝ bǝlgilǝngǝn xǝkildǝ on altun qiraƣdan yasitip muⱪǝddǝs jayning iqigǝ ornatti; uning bǝxini ong tǝrǝpkǝ, bǝxini sol tǝrǝpkǝ ⱪoydurdi.
Akatengeza vinara vya taa kumi vya dhahabu ambavyo vilitengenezwa kutokana na maelekezo ya jinsi vilivyopaswa kuwa; akaviweka hekaluni, vitanao mkno wa kulia, na vitano mkono wa kushoto.
8 Yǝnǝ on xirǝ yasitip muⱪǝddǝs jayning iqigǝ ⱪoyƣuzdi; uning bǝxini ong tǝrǝpkǝ, bǝxini sol tǝrǝpkǝ ⱪoyƣuzdi. U yǝnǝ yüz danǝ altun qinǝ yasatti.
Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kulia, na tano upande wa kushoto. Akatengeneza birika mia moja za dhahabu.
9 U yǝnǝ «kaⱨinlar ⱨoylisi», qong ⱨoyla wǝ qong ⱨoylining dǝrwazilirini yasatti wǝ dǝrwazilarning ⱨǝmmisini mis bilǝn ⱪaplatti.
Zaidi ya hayo akatengeneza mahakama ya makuhani na mahakama kuu, na milangu kwa ajili ya mahakama, akaifunika milango yake kwa shaba.
10 U mis «dengiz»ni ibadǝthanining ong tǝripigǝ, yǝni xǝrⱪiy jǝnub tǝripigǝ ⱪoyƣuzdi.
Akaiweka bahari upande wa kulia wa nyumba, masharika, ikielekea upande wa kusini.
11 Ⱨuram yǝnǝ ⱪazan, kürǝk wǝ ⱪaqa-ⱪuqilarni ǝtküzdi. Ⱨuram xu tǝriⱪidǝ Sulayman padixaⱨ üqün Hudaning ɵyining barliⱪ ⱪurulux hizmitini püttürdi,
Huramu akayatengeza masufuria, majembe, na mabakuli ya kunyunyizia. Hivyo Huramu akamaliza kazi aliyofanya kwa ajili ya mfalme Selemani katika nyumba ya Mungu:
12 Yǝni ikki tüwrük, ikki tüwrükning üstidiki apⱪursiman ikki bax wǝ bu ikki baxni yepip turidiƣan ikki torni yasitip püttürdi.
zile nguzo mbili, taji mfano wa upinde zilizo kuwa juu ya zile nguzo mbili, na nyavu mbili za za mapambo zilizofunika zile taji mbili mfano wa upinde zilizokuwa juu ya zile nguzo.
13 Xu ikki tor üstigǝ ⱪayqilaxturulƣan tɵt yüz anarni yasatti; bir torda ikki ⱪatar anar bolup, tüwrük üstidiki apⱪursiman ikki baxni yepip turatti.
Alikuwa ametengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu za mapambo: safu mbili za makomamanga kwa kila wavu ili kufunika vimbe mbili zilizo kuwa juu ya nguzo.
14 U on das tǝgliki wǝ das tǝglikigǝ ⱪoyulidiƣan on «yuyux desi»ni,
Pia akavitengeneza vitako na mabirika juu ya kitako,
15 «mis dengiz» wǝ uning astidiki on ikki mis buⱪini yasatⱪuzdi.
bahari moja na wale ng'ombe kumi na wawili chini yake,
16 Ⱪazan, kürǝk, wilka-ilmǝklǝr, wǝ munasiwǝtlik barliⱪ ǝswablarni Ⱨuram-Abi Pǝrwǝrdigarning ɵyini dǝp Sulayman padixaⱨⱪa parⱪiraydiƣan mista yasitip bǝrdi.
pia masufuria, majembe, nyuma za nyama, na vyombo vingine vyote. Huramu mtaalamu akavifanya kwa ajili ya Mfalme Selemani, kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vya shaba iliyong'arishwa.
17 Padixaⱨ bularni Iordan tüzlǝnglikidǝ, Sukkot bilǝn Zǝrǝdataⱨ otturisida, [xu yǝrdiki] seƣiz layda ⱪelip yasap, ⱪuydurup qiⱪti.
Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda.
18 Sulayman yasatⱪuzƣan bu ǝswablarning sani intayin kɵp idi; kǝtkǝn misning eƣirliⱪini ɵlqǝp bolmaytti.
Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo vyote kwa wingi; kwa kweli, uzito wa shaba haukuweza kujulikana.
19 Sulayman yǝnǝ Hudaning ɵyi iqidiki barliⱪ ǝswablarni yasatti — yǝni altun huxbuygaⱨni, «tǝⱪdim nan» ⱪoyulidiƣan xirǝlǝrni
Selemani akazitengeza samani zote ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Mungu, pia madhabahu ya dhahabu, na meza ambazo juu yake mkate wa uwepo ulipaswa kuwekwa;
20 wǝ sap altunda ⱪilinƣan qiraƣdanlar bilǝn qiraƣlirini yasatⱪuzdi; bu qiraƣlar bǝlgilimǝ boyiqǝ iqki «kalamhana» aldida yandurux üqün boldi.
vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndani—hivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi;
21 U yǝnǝ qiraƣdanning gülliri, qiraƣ wǝ pilik ⱪayqilirining ⱨǝmmisini altundin ⱪildurdi (ular sap aldundin idi).
na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.
22 U yǝnǝ peqaⱪlar, tawaⱪlar, piyalǝ-ⱪaqa wǝ küldanlarning ⱨǝmmisini sap altundin ⱪildurdi. U ɵyning ixiklirini, yǝni iqidiki ǝng muⱪǝddǝs jayƣa kiridiƣan iqki ⱪatlima ixiklǝr wǝ ɵyning «muⱪǝddǝs jay»ining taxⱪiriⱪi ixiklirini altundin ⱪildurdi.
Pia mikasi ya taa, na mabakuli, vijiko, na vikaango vya sadaka za kuteketezwa vyote vilitengenezwa kwa dhahabu safi. Kuhusu mlanago wa kuingilia kwenye nyumba, milango yake ya ndani kwenye patakatifu pa patakatifu na milango ya nyumba, ambayo ni, ya hekalu, ilitengenezwa kwa dhahabu.