< До ефесян 2 >
1 І вас, що мертві були через ваші провини й гріхи,
Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,
2 в яких ви колись проживали за звича́єм віку цього́, за волею князя, що панує в повітрі, духа, що працює тепер у неслухня́них, (aiōn )
ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. (aiōn )
3 між якими й усі ми проживали колись у пожадливостях нашого тіла, як чинили волю тіла й думо́к, і з природи були дітьми́ гніву, як і інші, -
Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani, tukitimiza tamaa za asili yetu ya dhambi na kufuata tamaa zake na mawazo yake. Nasi kwa asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu mwingine yeyote.
4 Бог же, багатий на милосердя, через Свою превелику любов, що нею Він нас полюбив,
Lakini Mungu kwa upendo wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema,
5 і нас, що мертві були через прогріхи, оживив ра́зом із Христом, — спасені ви благода́ттю, -
hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa neema.
6 і ра́зом із Ним воскресив, і ра́зом із Ним посадив на небесних місцях у Христі Ісусі,
Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu,
7 щоб у наступних віках показати безмірне багатство благода́ті Своєї в до́брості до нас у Христі Ісусі. (aiōn )
ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn )
8 Бо спасені ви благода́ттю через віру, а це не від вас, то дар Божий,
Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani, wala si kwa matendo yenu mema. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu,
9 не від діл, щоб ніхто не хвалився.
si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.
10 Бо ми — Його тво́риво, ство́рені в Христі Ісусі на добрі діла, які Бог наперед приготува́в, щоб ми в них перебува́ли.
Kwa maana sisi ni kazi ya mikono ya Mungu, tulioumbwa katika Kristo Yesu, ili tupate kutenda matendo mema, ambayo Mungu alitangulia kuyaandaa tupate kuishi katika hayo.
11 Отож, пам'ятайте, що ви, колись тілом погани, що вас так звані рукотворно „обрізані“на тілі звуть „необрізаними“,
Kwa hiyo kumbukeni kwamba ninyi ambao hapo awali mlikuwa watu wa Mataifa kwa kuzaliwa na kuitwa “wasiotahiriwa” na wale wanaojiita “waliotahiriwa” (yaani tohara ifanyikayo katika mwili kwa mikono ya wanadamu),
12 що ви того ча́су були́ без Христа, відлучені від громади ізра́їльської, і чужі заповітам обі́тниці, не мавши надії й без Бога на світі.
kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa mbali na Kristo, mkiwa mmetengwa kutoka jumuiya ya Israeli, na mkiwa wageni katika yale maagano ya ahadi, nanyi mkiwa hamna tumaini wala Mungu duniani.
13 А тепер у Христі Ісусі ви, що колись далекі були́, стали близькі́ Христовою кров'ю.
Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanza mlikuwa mbali na Mungu, sasa mmeletwa karibu kwa njia ya damu ya Kristo.
14 Він бо наш мир, що вчинив із двох одне й зруйнував середи́нну перегороду, ворожнечу, Своїм тілом, -
Kwa maana yeye mwenyewe ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi tuliokuwa wawili, yaani, Wayahudi na watu wa Mataifa, tuwe wamoja kwa kuvunja kizuizi na kubomoa ule ukuta wa uadui uliokuwa kati yetu,
15 Він Своєю наукою знищив Зако́на заповідей, щоб з обох збудувати Собою одно́го ново́го чоловіка, мир чинивши,
kwa kuibatilisha ile sheria pamoja na amri zake na maagizo yake alipoutoa mwili wake, ili apate kufanya ndani yake mtu mmoja mpya badala ya hao wawili, hivyo akifanya amani,
16 і хрестом примирити із Богом обох в однім тілі, ворожнечу на ньому забивши.
naye katika mwili huu mmoja awapatanishe wote wawili na Mungu kupitia msalaba, ili kwa huo msalaba akaangamiza uadui wao.
17 І, прийшовши, „Він благовісти́в мир вам, далеким, і мир близьки́м“,
Alikuja na kuhubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na pia akahubiri amani kwao waliokuwa karibu.
18 бо обоє Ним маємо при́ступ у Дусі однім до Отця.
Kwa maana kwa kupitia kwake, sisi sote tunaweza kumkaribia Baba katika Roho mmoja.
19 Отже, ви вже не чужі й не прихо́дьки, а співгорожа́ни святим, і домашні для Бога,
Hivyo basi, ninyi sasa si wageni tena wala wapitaji, bali mmekuwa wenyeji pamoja na watakatifu na pia jamaa wa nyumbani mwake Mungu.
20 збудовані на основі апо́столів і пророків, де наріжним каменем є Сам Ісус Христос,
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni.
21 що на ньому вся буді́вля, улад побудована, росте в святий храм у Господі,
Ndani yake jengo lote limeshikamanishwa pamoja na kusimamishwa ili kuwa Hekalu takatifu katika Bwana.
22 що на ньому і ви ра́зом будуєтеся Духом на оселю Божу.
Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu anaishi ndani yake kwa njia ya Roho wake.