< Warumi 2 >

1 Basi, rafiki, kama unawahukumu wengine, huwezi kamwe kujitetea haidhuru wewe ni nani. Kwa maana, kwa kuwahukumu wengine, unajilaani wewe mwenyewe kwa vile nawe unayafanya mambo yaleyale unayohukumu.
Na weu mwi manki taka fiti mo nii fir, mo nii wo ma bolang tiye, dirkero mwi ma warke dor kangere, kuwa nen mwki bwimo. Wori mo nii bolangeu mo ma dii ke cuwo ti.
2 Tunajua kwamba hukumu ya Mungu kwa wale wanaofanya mambo kama hayo ni hukumu ya haki.
Dila bin nyumom bolang kwamako bilenke, an bou yaru dor nobo marang dike wo tiye.
3 Lakini wewe, rafiki, unayewahukumu wale wanaofanya mambo kama hayo bali wewe pia unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu ya Mungu?
Dila ti yora, mo nii, wo ma bolang ti dor nobo ma dike wo tiye bwenno mo ki mai ken duwaleu. Mo toti ri mwan kam funer Kwamara?
4 Au labda unaudharau wema wake mkuu, uvumilivu wake na saburi yake, bila kutambua kwamba wema wake huo una shabaha ya kukuongoza upate kutubu?
Kakaa mwiki cuwekang luma ceko, wo bou ki tibranka warke ce, kange birom ne ce? Mo nyombo mwiki luma neceu ki nung na ya kinnen yiloka ka?
5 Lakini unao ugumu na ukaidi wa moyo, na hivyo unajilundikia adhabu kwa Siku ile ambayo ghadhabu ya Mungu na hukumu zake za haki vitadhihirishwa.
Wori kwici ka duwe mweko kange ner mwero man ki yiloka mo ki tang dor mwero nin funer, bi diye funere, kakuk cerkangka bolang wucakke Kwama.
6 Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
Can ya nobo dong dong dike nii mane.
7 Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uzima wa milele. (aiōnios g166)
ki nobo wuro ma nangen luma man ki kurongka, ciin fiya dor ciyero nin caklangka, bwayilen kange wucake, can ne ci dume diri. (aiōnios g166)
8 Lakini wale wengine wenye ubinafsi, wenye kukataa mambo ya haki na kufuata uovu, wataangukiwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Dila nobo cwi dor tiye, wuro ko ciyaka bilenke, ri la ciya kange bwini bilenkeu, funer kange kwenanka wo cilong cilonge an bo cii nen.
9 Mateso na maumivu yatampata binadamu yeyote atendaye uovu. Yatawapata Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
Kwama an yirau ki dikero bwir kange fir neret ki dume wo ma cile, ater ki Yahudawa ri nimde Helinawa.
10 Lakini Mungu atawapa utukufu, heshima na amani wale wanaotenda mema; Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
Dila caklanka kange bwayilen, kange fuwor neret ciyan yi kange nobo gwam wo ma nangen do keneu, ater ki Yahudawa nimde Helinawa.
11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
Wori Kwama kebo nii nanne.
12 Wale wanaotenda dhambi bila kuijua Sheria ya Mose wataangamia ingawaje hawajui Sheria. Na wale wanaotenda dhambi wakiwa wanaijua Sheria watahukumiwa kisheria.
Ki nobo gwam wo ma bwiranke kebo ki bolangeu, ciyan bwiya kebo ki bolang, ki nobo wuro ma bwiranke mor bolage a war cinen ki bolang
13 Mtu hafanywi kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuisikia Sheria, bali kwa kuitii Sheria.
Di kebo nobo nuwa bolangti nobo wucak kabum Kwama me, dila nobo ma dikero bolanka tokke ti ciya kaaka tiye.
14 Mathalan: watu wa mataifa mengine hawana Sheria ya Mose; lakini kila wanapotimiza matakwa ya Sheria wakiongozwa na dhamiri zao, wao wenyewe wanakuwa kipimo cha Sheria ingawa hawaijui Sheria.
Dila no nobo kumtacili wo nyombo bolange, dila ciin ma dike dong dong daten bolange ce nur yime ce, ciin kwom bolangko dorcer, bwen duwal bolang man dor cireu.
15 Mwenendo wao unaonyesha kwamba matakwa ya Sheria yameandikwa mioyoni mwao. Dhamiri zao zinashuhudia pia jambo hilo, maana fikira zao mara nyingine huwashtaki, na mara nyingine huwatetea.
Ki wo, ciin nungi dikero bolanko cwi tiyeu mulangum mulange mor nere ce. Diker mor nere ciye macinen warke ti, dume ne ceu ken neci warketi kange kwa nere ciyeko kua cii kaka tikang ci dor cero nin
16 Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo.
kange Kwama nin. Wuro an bwi bidiye Kwama a ma bolang dike yurangum yurange wo nobo ce gwam, dor fulen keret Yecu Almasiya.
17 Na wewe, je? Wewe mwenyewe unajiita Myahudi; unaitumainia Sheria na kujivunia kuwa wa Mungu;
Bwen duwal mo co dor mweroti Bayahude la mo yim dor bolange mwi kwilangti ki ki Kwama,
18 kwa njia ya Sheria unajua matakwa ya Mungu na unaweza kuchagua jambo jema;
ri mo nyumom dike co cwitiye, di mon ciya kange dike dong donge wori cin merang mwen mor bolange;
19 wewe unajiona kuwa kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walio gizani;
Bwen no mon ciya moki bwimwi mo nii tika kabak fugmanin ri, filang fiye nobo wo mor kumtacili,
20 unajiona kuwa mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa wale wasiokomaa bado. Unayo katika Sheria picha kamili ya elimu na ukweli.
wo ywel kule tini tiye, nii merangka bi beiyo bi duwatini, la kom wi ki nyomka kange wo bilenke ce mor bolange la wo ke yim kimem bo nyi?
21 Basi, wewe unawafundisha wengine; kwa nini hujifundishi wewe mwenyewe? Unawahubiria wengine wasiibe, lakini kumbe wewe mwenyewe unaiba.
Kom nobo merang kangembo nin tiyeu, kom merangbo dor kimero nina? kom wo kom ma bi weretti kom ki a kure kwiyeu, kom ku kui tiya?
22 Unasema: “Msizini,” na huku wewe unazini; unachukia sanamu za miungu hali wewe unajitajirisha kwa kuiba katika nyumba za miungu.
Kom wo ko tokti kom ki kange a mare kayaka, kom ma kayatum tiya? Kom wo kom ko fulen neu, kom ku kui ti bikur wabe ra?
23 Kwa kujigamba ati unayo Sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja Sheria unamdharau Mungu?
Kom nubo wo ma bilangtum ti kange kungka duwe ki bolangeu, kom ma Kwama nin bangtu ti ki bwini bwanka bolange ka?
24 Kama vile Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Watu wa mataifa mengine wamelikufuru jina la Mungu kwa sababu yenu ninyi Wayahudi!”
La “den Kwama ro fiyabo neka durek nubo kumtacili nin ki ker kumer,” nawo kweri cii mulange.
25 Kutahiriwa kwako kutakuwa na maana kama ukiitii Sheria. Lakini kama unaivunja Sheria, basi, ni afadhali ungalibaki bila kutahiriwa.
Nyo biyeka te lareu wiki mwem fiye kom wiye tano kom bwangten bolangko ri, tano kom yilam nobo mani bwangten bolangko tiyeri, biyeka te lau yilam bwini biyeka te larek.
26 Kama mtu wa mataifa mengine ambaye hakutahiriwa akitimiza matakwa ya Sheria, hakika atafikiriwa kana kwamba ametahiriwa.
Tano, nii biye bo te la'u bwangten dikero bolangko cwitiye ri, ma ni ba tuu nii biyebo te la ce ti na nii wo biyem te la ka?
27 Watu wa mataifa mengine watakuhukumu wewe Myahudi kama ukiivunja Sheria, ingawaje unayo maandishi ya Sheria na umetahiriwa, hali wao wanaitii Sheria ingawa hawakutahiriwa.
Nii wo biyebo te la ce bwiyeu, di bwangten bolangeu mani a dolti makimen bolang kom nobo biyem te la ra? Wori kom wiki bolangko mulangum mulangeu kange biyeka te la, di duwal kom bwangten bo bolangko!
28 Ndiyo kusema, si kila anayeonekana kwa nje kuwa Myahudi ni Myahudi wa kweli, wala mtu hawi Myahudi wa kweli ati kwa kuwa ametahiriwa kimwili.
Wori ci kebo Bayahudi kale; kaka nii biyem te laak wo diker bwiyereu.
29 Myahudi wa kweli ni yule aliye Myahudi kwa ndani, yaani yule ambaye ametahiriwa moyoni. Hili ni jambo la Roho, na si jambo la maandishi ya Sheria. Mtu wa namna hiyo anapata sifa, si kutoka kwa watu, bali kutoka kwa Mungu.
Dila cin Bayahudi mor, nyo tak ri biyeka te laa ceko nawo mor nere, kange yuwa tangbe ri kebo bifumer. Nii wo caklanka ceko mania bou fiye nubo wiye, dila abou fiye Kwama wiye.

< Warumi 2 >