< Matendo 20 >
1 Ile ghasia ya Efeso ilipokwisha tulia Paulo aliwaita pamoja wale waumini, akawatia moyo. Kisha akawaaga, akasafiri kwenda Makedonia.
Suksaknak a ngdüm law käna, Pawluh naw jumeikie atänga jah khü lü ngjuktha jah pe lü a jah ngtaipüi. Ani cun jah cehta lü Maketawniha citki.
2 Alipitia sehemu za nchi zile akiwatia watu moyo kwa maneno mengi. Halafu akafika Ugiriki.
A ceh sawa acuna hne cu khyang khawhah ngjuktha jah peki. Acun käna Akhacia cit lü,
3 ambako alikaa kwa miezi mitatu. Alipokuwa anajitayarisha kwenda Siria, aligundua kwamba Wayahudi walikuwa wanamfanyia mpango mbaya; hivyo aliamua kurudi kwa kupitia Makedonia.
acua khya kthum veki. Ani cun Siriaa cit khai ngtängki lüpi Judahe naw ami pawh vaia ceng u se, Maketawniha da nglat khaia ngtünki.
4 Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea, aliandamana naye; pia Aristarko na Sekundo kutoka Thesalonika, Gayo kutoka Derbe, Timotheo, Tukiko na Trofimo wa mkoa wa Asia.
Puruha cakpa Sapotah Beriha ka, Aristakhas ja Sekudah Thesalonikaha ka xawi, Kajas cun Derbea ka, Timoti, Taikikah ja Throphimah Asaha ka xawi, acune cun ani üng atänga veia cit hngakie.
5 Hao walitutangulia na kutungojea kule Troa.
Acunee cun ana cit ma u lü, Tarosa keimi jah na k'äihkie.
6 Sisi, baada ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu, tulipanda meli kutoka Filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule Troa. Huko tulikaa kwa muda wa juma moja.
Keimi cun hngen am kcaw muk pawi käna, Philipih üngka naw mlawng am cit u lü, amhnüp mhma üng Taros kami phaki; acua mhnüp khyüh kami veki.
7 Jumamosi jioni, tulikutana ili kumega mkate. Kwa vile Paulo alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliwahutubia watu na kuendelea kuongea nao hadi usiku wa manane.
Acunüng, mhnüp khyühnak mümlama bu ei yüm vaia kami ngcunki. Acunüng Pawluh cun a ngawi üng cit khaia bükia kyase, ami veia ngthu pyenki naw, mthan nglung cäpa a pyen.
8 Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
Kami ngcunnak khan ima meiim khawhah ami jah mdäi.
9 Kijana mmoja aitwaye Eutuko alikuwa ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea kuhutubu. Eutuko alianza kusinzia kidogokidogo na hatimaye usingizi ukambana, akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu. Wakamwokota amekwisha kufa.
Etukhuh ngming naki cawngpyang mat mkawt peia ngaw lü, a mik ku se ngam lü veki. Acunüng, Pawluha ngthu pyen thuk law se, ip tawng lü im athat kthumnak üngka naw mcea kya se akthia ami law be.
10 Lakini Paulo alishuka chini, akainama, akamkumbatia na kusema, “Msiwe na wasiwasi maana kuna uhai bado ndani yake.”
Acunüng, Pawluh kyumki naw, a khana ngbawk lü kawiki naw, “Käh ng’ä ua, xüng ham ve” a ti.
11 Kisha akapanda tena ghorofani, akamega mkate, akala. Aliendelea kuhubiri kwa muda mrefu hadi alfajiri, halafu akaondoka.
Pawluh kai be lü, muk bo lü eiki. Khaw athaih law lü nghngi a pyü law cäpa ngthu pyen lü, acun käna citki.
12 Wale watu walimchukua yule kijana nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.
Acunüng, cawngpyang cun akxünga ima cehpüi be u se aktäa ami mlung dim’yeki.
13 Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu.
Keimi cun mlawng am law u lü, Asiha kami cit khaia mlawng am kami na cit maki, acunüng Pawluh cun kami ngcum lawpüi vaia kami täng kyaw; a khaw am law khaia ngtängki.
14 Basi, alitukuta kule Aso, tukampandisha melini, tukaenda Mitulene.
Asiha jah na ngkhyum püi lü, ani kpan law lü Mituliniha kami citki.
15 Kutoka huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto.
Acunüng ka naw, mlawng am cit u lü, a ngawi üng Kioh kami phaki. A ngawi üng, Samoh pha u lü, a ngawi be tü üng Miletuh kami phaki.
16 Paulo alikuwa amekusudia kuendelea na safari kwa meli bila kupitia Efeso ili asikawie zaidi huko Asia. Alikuwa na haraka ya kufika Yerusalemu kwa sikukuu ya Pentekoste kama ingewezekana.
Pawluh cun Asaha khawvei a ve vai am täng lü, Ephet da cun mlawng am cit khaia bü kungkia kyaki, athawn theia kyak üng Jerusalema Pentikos mhnüp üng a pha vai ngsengeiki.
17 Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee wa Efeso wakutane naye.
Acunüng, Miletuh khaw üngka naw, Epheta khyang tüih lü, sangcim ngvaie a jah hmuh vaia a ja khüsak.
18 Walipofika kwake aliwaambia, “Mnajua jinsi nilivyotumia wakati wote pamoja nanyi tangu siku ile ya kwanza nilipofika Asia.
Acunüng, a veia ami pha law üng, Pawluh naw, “Asah hne ka pha law üng tün lü, atuh cäpa ihawkba ka kcün ka sumeiki tia nami ksingki.
19 Mnajua jinsi nilivyomtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote, kwa machozi na matatizo yaliyonipata kutokana na mipango ya hila ya Wayahudi.
Mdihmsuinak ja ka kphyutui baw lü Bawipaa mpya akba khut ka biki. Isetiakyaküng Judahe naw na hnim khai ami büa phäh kyaki.
20 Mnajua kwamba sikusita hata kidogo kuwahubiria hadharani na nyumbani mwenu na kuwafundisha chochote ambacho kingewasaidieni.
Nangmi am ka ning jah kuei vaia i pi am ka thupki tia nami ksingki ni, khyangea ksunga ja im naküt üng ka ning jah mthei khawiki.
21 Niliwaonya wote—Wayahudi kadhalika na watu wa mataifa, wamgeukie Mungu na kumwamini Bwana wetu Yesu.
Judahe ja khyangmjükceea veia pi Pamhnama veia nghlat law be u lü, mi Bawipa Jesuh ami jumei lawnak vaia ngthu ka pyen ni.
22 Sasa, sikilizeni! Mimi, nikiwa ninamtii Roho, nakwenda Yerusalemu bila kufahamu yatakayonipata huko.
Acunüng, atuha Ngmüimkhya Ngcim kcang na lü Jerusalem da ka cit khai, acua kei ia na pawh khaie am ksingei veng.
23 Ninachojua tu ni kwamba Roho Mtakatifu ananithibitishia katika kila mji kwamba vifungo na mateso ndivyo vinavyoningojea.
Ka cehnak hü mlüh naküta thawng jah mkhuimkhanak naw na k'äihki tia Ngmüimkhya ngcim naw na mthehki ni.
24 Lakini, siuthamini uhai wangu kuwa ni kitu sana kwangu. Nataka tu nikamilishe ule utume wangu na kumaliza ile kazi aliyonipa Bwana Yesu niifanye, yaani nitangaze Habari Njema ya neema ya Mungu.
Acunsepi, ka kcün sak hin ia am kya, isetiakyaküng thangkdaw tinaki Pamhnama bäkhäknak sang lü, Bawipa Jesuh naw a na peta khut ja mission cun ka mcän vai ni ka hlüei ta.
25 “Nimekuwa nikienda huko na huko kati yenu nikiuhubiri Ufalme wa Mungu. Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena.
Acunüng, nangmi, Pamhnama pea mawng sang lü nami veia ka cit hüki. Tuh ta nangmi naw am nami na hmu be ti khai tia ka ksingki.
26 Hivyo, leo hii ninawathibitishieni rasmi kwamba ikijatokea akapotea mmoja wenu, mimi sina lawama yoyote.
Acunakyase, nami khyüha kyak üng keia mtaa am kya ve tia tungawi angtea ning jah mtheh veng.
27 Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu.
Pamhnama a ngjak'hlü naküt avan, nami veia am pyen hlü lü ka mji i am ve.
28 Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae.
Acunakyase, nami mät ja namimät mcei ua, Pamhnam naw a cakpa thisen am a khyäiha sangcim nami mcah khaia Ngmüimkhya Ngcim naw aning jah mceisaka tome cän pi jah mcei ua.
29 Nafahamu vizuri sana kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa mwitu wakali watawavamieni, na hawatakuwa na huruma kwa kundi hilo.
Ka ceh käna mhnge kyung he nami ksunga law u lü, ami naw tomee käh jah mpyenei khaie tia ka ksingki.
30 Hata kutoka miongoni mwenu watatokea watu ambao watasema mambo ya uongo ili kuwapotosha watu na kuwafanya wawafuate wao tu.
Namimät üngka khyang avange law u lü jumeikie jah mhlei lü ami jah läk vaia thawn law khaie.
31 Kwa hiyo, muwe macho mkikumbuka kwamba kwa muda wa miaka mitatu, usiku na mchana, sikuchoka kumwonya kila mmoja wenu kwa machozi.
Acunakyase, mcei ua; kum kthum ka kphyutui baw lü, amhnüp amthan ka ning jah mthei cän süm ua.
32 “Na sasa basi, ninawaweka ninyi chini ya ulinzi wa Mungu na ujumbe wa neema yake. Yeye anao uwezo wa kuwajenga ninyi na kuwawezesha mzipate zile baraka alizowawekea watu wake.
Tuhkbäih Pamhnama bäkhäknaka ngthu üng ka ning jah taki, acun naw ning jah sawngsa lü, ani naw Pamhnama dawkyanak a khyangea phäh a tak cun ning jah pe khai.
33 Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.
Ua xüi, ngui, suisak pi am hlüei khawi veng.
34 Mnajua ninyi wenyewe kwamba nimefanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe, ili kujipatia mahitaji yangu na ya wenzangu.
Kamät ja ka püiea hlükaw cun kamät bilo lü kami eiawki ti cun namimät naw nami ksingki.
35 Nimekuwa nikiwapeni daima mfano kwamba kwa kufanya kazi mithili hiyo tunapaswa kuwasaidia walio dhaifu, tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe: Heri zaidi kutoa kuliko kupokea.”
Acukba nangmi pi khüi u lü, Bawipa Jesuha ngthu nami sümnak am, ktha ngcekie nami jah kpüi vaia, anaküt ka binak am ka ning jah mdanki; amät Jesuh naw, ‘Yahnaka kthaka petmsawtnak üng jekyainak bawk ni” ti lü a pyen.
36 Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.
Acunüng, acukba ngthu a pyen law päng üng, ami mkhuk jah sümpüi lü ktaiyükie.
37 Wote walikuwa wanalia; wakamwaga kwa kumkumbatia na kumbusu.
Ami van kyap u lü, Pawluh cun kawi u lü aktäa mhnamkie.
38 Jambo lililowahuzunisha zaidi lilikuwa neno alilosema kwamba hawangemwona tena. Basi, wakamsindikiza hadi melini.
Ani am ami hmuh be ti vaia cun a pyena kyase ami mlung thüikiea kyaki. Acunüng, mlawnga venak cäpa cit u lü ami tha.