< 2 Wakorintho 3 >
1 Je, tunaanza tena kujipendekeza? Je, tunahitaji barua ya utambulisho kwenu, au kutoka kwenu, kama watu wengine?
Ba ter wabka dor berek tak ka? nyo cqwi bo warke kumen kaka nyinen na mo tangim nobembo matiyeu, kebo nya?
2 Ninyi wenyewe ni barua yetu; barua iliyoandikwa mioyoni mwetu kila mtu aione na kuisoma.
Kom ki bwikom kom warke nyeu mulangum mulange mor neere nye, wo nubo gwam nyumom la ti kiyei.
3 Ni dhahiri kwamba ninyi ni barua ya Kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. Barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu.
kom nungi kom warke fiye kristi wiyeu nan nangene nyero, mulangbo ki kwekwe, la mulangum ki yuwa tangbe kwamako ki dumeu. mulangbo dor teret, la dor neere nifirer.
4 Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
Won cho bikwan neerero nyo ciko mor Yesu kabum kwamam.
5 Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu:
Nya manki kange nyumanka dor nyere wo nay yi ti nyoka kange diker bou nyineneu nyomka nyeko ki na kwama nen.
6 maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima.
Kwama mani nyo yilam canga nyumangum nyumange, wo noro fwirko ce. Noro wo kebo mulangkako ce, la na yuwa tangbe ko ce ne dume tiye.
7 Sheria iliwekwa kwa kuandikwa juu ya vipande vya mawe. Ingawaje mwisho wake umekuwa kifo, utukufu wake ulikuwa mkuu mno hata wana wa Israeli wasiweze kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya mng'ao wake. Tena mng'ao huo ulikuwa wa muda tu. Basi, ikiwa huduma ya kile ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi hicho,
nangen do wo bou ki bware, mulang kin kwekwe dor terer. Bouki duktangkako wo Israilawa mania to Musa ti tikob cerue, won cho duktangkako diti diyeu.
8 basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.
La nagen duktangkako yuwa tangbe ko a yilam nyi?
9 Ikiwa basi, kulikuwa na utukufu katika huduma ile iliyoleta hukumu, ni wazi kwamba huduma ile iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu itakuwa na utukufu mkuu zaidi.
Na naweu do diti diyeu wiki duktangka ri, La nyi wo bilenkeroceu, a fiya duktangks tiye?
10 Sasa utukufu mkuu zaidi umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja hapo awali, ambao fahari yake imekwisha toweka.
Kwa neere man ki dike wo kwati bo to cho ki duktangka, la man ciko wuro nineu co duktangkako wo cum ceu.
11 Maana ikiwa kile kilichokuwa cha muda tu kilikuwa na utukufu wake, bila shaka kile chenye kudumu milele kitakuwa na utukufu mkuu zaidi.
La no wo cukeneu wiki duktangkari, la a fiya nyi wo naceu ki duktangka keu?
12 Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
La bon wiki yorneri weu bo wi ki bikwan bwir.
13 Sisi hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa ili watu wa Israeli wasiuone ule mwisho wa mng'ao uliokuwa unafifia.
Bo kebo na Musa wo cumom tikob ceb ki lalan kati israilawa to tikob cebo miblangti miblangeu. duktangkako wo cuti cuweu.
14 Lakini akili zao zilipumbazwa. Mpaka leo hii lisomwapo Agano la Kale, kifuniko hicho bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa tu mtu anapoungana na Kristo.
La neer ciyero kwamangum duwal na ci kiye noro carko ri yilam ko ciyam tikobeu, wi duwal kwalbo, la fiye Yesu ninen ki kwace a kwaltiye.
15 Naam, mpaka hivi leo kila isomwapo Sheria ya Mose akili zao huwa zimefunikwa.
Bwentano duwen na cin kiye Musa ri, yilan ko cumon neer ciyero.
16 Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.
La nii yilaken teluwe nindi, yilanko cuwon kwalum.
17 Hapa “Bwana” ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
Teluweu co yuwa tangbeko fiye yuwa tangbeko wiyeu cerkawi.
18 Basi, sisi sote ambao nyuso zetu hazikufunikwa, twaonyesha kama katika kioo, utukufu wa Bwana; tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake kwa utukufu mwingi zaidi. Hiyo ni kazi yake Roho wa Bwana.
Na wo gwam be, tikobo combo comeu bo to duktangka teluwe ko ti. Fulongum bo mor duktangkako cho win, ki yim duktangka kabako yaken ciko wuronin. na wo Teluwe nin co yuwa tangbekeu.