< Tito 1 >

1 Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo, kwa imani ya wateule wa Mungu na maarifa ya kweli iletayo utauwa.
Nene Pauli, mtangatila wa Chapanga na mtumi wa Yesu Kilisitu, nene nihaguliwi kutumwa kuyijenga sadika ya vandu vevahaguliwi na Chapanga yeniyi na kuvalongosa vaumanya na kutama wumi wa kumganisa Chapanga.
2 Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios g166)
Sadika yeniyi na umanya uwu vikutipela huvalila ya wumi wa magono goha gangali mwishu. Chapanga alagazili kutipela wumi hati kwakona mulima kuwumbwa. (aiōnios g166)
3 Kwa wakati muafaka, alilifunua neno lake katika ujumbe alionipa mimi kuhubiri. Ilinipasa kufanya hivi kwa amri ya Mungu mwokozi wetu.
Lukumbi lweluganikiwa pelwahikili. Akaligubukula muujumbi waki. Nene nagotoliwi ujumbi wenuwo niukokosa kulandana na malagizu ga Chapanga, Msangula witu.
4 Kwa Tito, mwana wa kweli katika imani yetu. Neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Yesu Kristo mwokozi wetu.
Nikuyandikila veve Tito, mwana vangu wa chakaka musadika yitu. Nikuganila ubwina na sadika kuhuma kwa Dadi Chapanga, na kwa Yesu Kilisitu, musangula witu.
5 Kwa sababu hii nalikuacha Krete, kwamba uyatengeneze mambo yote yaliyokuwa hayajakamilika na kuweka wazee wa kanisa kwa kila mji kama nilivyokuagiza.
Nakulekili ku Kilete muni uvika bwina mambu gala gegavi gakona kuvya bwina, na kuvahagula vagogo vilongosi va msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu mukila muji, ngati chenakulagazili,
6 Mzee wa kanisa lazima asiwe na lawama, mme wa mke mmoja, aliye na watoto waaminifu wasioshuhudiwa mabaya au wasio na nidhamu.
gogo chilongosi wa msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu iganikiwa avya mundu mwangali kuhoka, mweana mdala mmonga ndu, na vana vaki viganikiwa kuvya vevakumsadika Kilisitu, vangali kuvya na matendu gahakau na vangayidakila.
7 Ni muhimu kwa mwangalizi, kama msimamizi wa nyumba ya Mungu, asiwe na lawama. Asiwe mtu wa kelele au asiye jizuia. Lazima asiwe mwepesi wa hasira, asiwe mlevi, asiwe mtu wa kusababisha ugomvi, na asiwe mwenye tamaa.
Ndava muni gogo chilongosi wa msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu ndi myimila wa lihengu la Chapanga. Iganikiwa kuvya mundu angahoka na angameka angali ligoga amala chigaligali, angali luhonda angagana kupata mashonga.
8 Badala yake: awe mtu mkaribishaji, apendaye wema. Lazima awe mtu mwenye akili timamu, mwenye haki, mcha Mungu, anayejitawala mwenyewe.
Avya mundu mweikalibisa vayehe na mweigana mambu gabwina na avya mngolongondi na mweikita geigana Chapanga na avya mweajiwusili neju kwa Chapanga na mweihotola kujilongosa mwene.
9 Awezaye kusimamia mafundisho ya kweli yaliyofundishwa, ili aweze kuwatia moyo kwa mafundisho mazuri na awezaye kuwarekebisha wote wanaompinga.
Iganikiwa kukamula ujumbi wula weusadikiwa ngati chauwuliwa. Ndi cheihotola kuvapela vangi mtima kwa mawuliwu gegavi gachakaka na kuvahotola kugafiyula mabudilu ga vala vevakugabela mawuliwu ago.
10 Kwa kuwa kuna waasi wengi, hasa wale wa tohara. Maneno yao ni ya upuuzi. Wanadanganya na kuwaongoza watu katika upotovu.
Muni vavi vandu vamahele, neju vala vevihuma muchikundi cha Vayawudi ndi vevabwelili vevamsadika Kilisitu, ndi vanang'omo, na vakuvabudisa vangi kwa uyimu wavi.
11 Ni lazima kuwazuia watu kama hao. Wanafundisha yale wasiyopaswa kwa faida za aibu na kuharibu familia zote.
Ndi yiganikiwa kugagunisa malovi gavi, muni vakuvakita vandu vakotoka kuyuwangana mutamilu yamahele na kuvawula mambu gangaganikiwa kuwuliwa, vikita chenicho ndava ya mnogo uhakau wa kupata chiyonjokesu cha mashonga.
12 Mmoja wao, mtu mwenye busara, alisema, “Wakrete wana uongo usio na mwisho, wabaya na wanyama wa hatari, wavivu na walafi.”
Hati mmonga wavi wa vamlota vave ndi mewa Mkilete, ajovili, “Vakilete vijova udese magono goha, ngati hinyama hihakau, vahutulu na vakata!”
13 Haya maelezo ni ya kweli, kwa hiyo uwazuie kwa nguvu ili kwamba waweze kusema kweli katika imani.
Mambu ago geajovili ndi gachakaka, ndi uganikiwa uvaywangila neju, muni vahotola kuyima chakukangamala musadika ya chakaka.
14 Wewe usijihusishe na hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi au amri za watu, ambao hurudisha nyuma ukweli.
Vavawula kuleka kuyuwanila miluhumu ya Vayawudi yangali chindu amala mihilu yeyihuma kwa vandu vevabeli uchakaka.
15 Kwa wote walio safi, vitu vyote ni visafi. Lakini kwa wote walio wachafu na wasioamini, hakuna kilicho kisafi. Kwa kuwa mawazo yao na dhamira zao zimechafuliwa.
Chindu chochoha chanyambiswi kwa vandu vevanyambiswi palongolo ya Chapanga, nambu kawaka chochoha chechinyambiswi kwa vandu vahakau na vangamsadika Chapanga, muni maholo na mtima wavi wa kukumbuka kukita gabwina amala uhakau uhalibiki.
16 Wanakiri kumjua Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana. Wao ni waovu na wasiotii. Hawakuthibitishwa kwa tendo lolote jema.
Vandu ngati avo vijova kuvya vammanyili Chapanga, nambu kwa matendu gavi vakumbela. Vandu veviyomesa neju na viyuwana lepi la mundu, vihotola lepi kuhenga lihengu loloha la bwina.

< Tito 1 >