< Ufunuo 4 >
1 Baada ya mambo haya nilitazama, nikaona kuwa mlango ulikuwa umefunguliwa mbinguni. Ile sauti ya kwanza, ikizungumza nami kama tarumbeta, ikisema, “Njoo hapa, nitakuonesha yatakayotokea baada ya mambo haya.”
Potom vidjeh: i gle, vrata otvorena na nebu, i glas prvi koji èuh kao trubu gdje govori sa mnom, reèe: popni se amo, i pokazaæu ti šta æe biti za ovijem.
2 Mara moja nilikuwa katika Roho, niliona kulikuwa na kiti cha enzi kimewekwa mbinguni, na mtu amekikalia.
I odmah bih u duhu; i gle, prijesto stajaše na nebu, i na prijestolu sjeðaše neko.
3 Mmoja aliyekuwa amekikalia alionekana kama jiwe la yaspi na akiki. Kulikuwa na upinde wa mvua umekizunguka kiti cha enzi. Upinde wa mvua ulionekana kama zumaridi.
I onaj što sjeðaše bijaše po viðenju kao kamen jaspis i sard; i oko prijestola bješe duga po viðenju kao smaragd.
4 Kukizunguka kiti cha enzi kulikuwa na viti vya enzi vingine ishirini na vinne, na waliokaa kwenye viti vya enzi walikuwa wazee ishirini na wanne, wamevikwa mavazi meupe na taji za dhahabu vichwani mwao.
I oko prijestola bijahu dvadeset i èetiri prijestola; i na prijestolima vidjeh dvadeset i èetiri starješine gdje sjede, obuèene u bijele haljine, i imahu krune zlatne na glavama svojima.
5 Kutoka katika kiti cha enzi kulitoka miale ya radi, muungurumo na radi. Taa saba zilikuwa zikiwaka mbele ya kiti cha enzi, taa ambazo ni roho saba za Mungu.
I od prijestola izlažahu munje i gromovi i glasovi; i sedam žižaka ognjenijeh gorahu pred prijestolom, koje su sedam duhova Božijih.
6 Tena mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na bahari, iliyowazi kama kioo. Wote kuzunguka kiti cha enzi kulikuwa na wenye uhai wanne, waliojaa macho mbele na nyuma.
I pred prijestolom bijaše stakleno more, kao kristal; i nasred prijestola i oko prijestola èetiri životinje, pune oèiju sprijed i sastrag.
7 Kiumbe wa kwanza mwenye uhai alikuwa kama simba, kiumbe wa pili mwenye uhai alikuwa kama ndama, kiumbe wa tatu mwenye uhai alikuwa na uso kama wa mwanadamu, na yule mwenye uhai wa nne alikuwa kama tai apaaye.
I prva životinja bješe kao lav, i druga životinja kao tele, i treæa životinja imaše lice kao èovjek, i èetvrta životinja bješe kao orao kad leti.
8 Viumbe wenye uhai wanne kila mmoja alikuwa na mabawa sita, wamejaa macho juu na chini yake. Usiku na mchana hawakomi kusema, “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana Mungu, mtawala juu ya wote, aliyekuwepo, na aliyepo na atakayekuja.”
I svaka od èetiri životinje imaše po šest krila naokolo, i unutra puna oèiju, i mira ne imaju dan i noæ govoreæi: svet, svet, svet Gospod Bog svedržitelj, koji bješe, i koji jest, i koji æe doæi.
9 Kila wakati viumbe wenye uhai walipotoa utukufu, heshima, na kushukuru mbele za aliyekuwa ameketi kwenye hicho kiti cha enzi, yeye aishiye milele na daima, (aiōn )
I kad daše životinje slavu i èast i hvalu onome što sjeðaše na prijestolu, što živi va vijek vijeka, (aiōn )
10 wazee ishirini na wanne walisujudu wenyewe mbele yake aliyekikalia kiti cha enzi. Waliinama chini kwake aishiye milele na daima na kutupa chini taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema, (aiōn )
Padoše dvadeset i èetiri starješine pred onijem što sjeðaše na prijestolu, i pokloniše se onome što živi va vijek vijeka, i metnuše krune svoje pred prijestolom govoreæi: (aiōn )
11 “Wastahili wewe, Bwana wetu na Mungu wetu, kupokea utukufu na heshima na nguvu. Kwa kuwa uliviumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako, vilikuwepo na viliumbwa.”
Dostojan si, Gospode, da primiš slavu i èast i silu; jer si ti sazdao sve, i po volji tvojoj jest i stvoreno je.