< Ufunuo 2 >

1 “Kwa malaika wa kanisa la Efeso andika: 'Haya ni maneno ya yule anayeshikilia zile nyota saba katika mkono wake wa kuume. Yeye atembeaye kati ya vinara vya dhahabu vya taa saba asema hivi, “
“Umyandikila mtumu wa kunani kwa Chapanga mweiyimalila msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu va Efeso kula.” “Wenuwu ndi ujumbi wewihuma kwa yula mweikamula ndondo saba muchiwoko chaki cha kulyela na mweigenda pagati ya vibokoselu saba zezitenganizwi kwa zahabu.
2 '“Najua ambacho umetenda na bidii yako ya kazi na uvumilivu wako thabiti, na kwamba huwezi kuhusiana nao walio waovu, na umewajaribu wote wanaojiita kuwa mitume na kumbe siyo, na wameonekana kuwa waongo.
Nigamanyili matendu gaku goha, nimanyili kukangamala kwaku na kunihengela. Nimanyili kuvya wihotola lepi kuvayidakila vandu vahakau. Uvalingili vala vevakujikemela vene vamitumi na kumbi lepi vamitumi, wamwene uvamanyili kuvya venavo vadese.
3 Najua una subira na uvumilivu, na umepitia mengi kwa sababu ya jina langu, na haujachoka bado.
Veve ndi usindimili, ung'aiswi ndava ya liina langu, nambu utotokili lepi.
4 Lakini hili ndilo nililonalo dhidi yako, umeuacha upendo wako wa kwanza.
Nambu nivii na lijambu limonga kukuvavala veve: Veve uniganili lepi nene amala mwiganana lepi kavili hinu ngati kutumbula.
5 Kwa hiyo kumbuka ulipoanguka, ukatubu na kufanya matendo uliyofanya tangu mwanzo. Usipotubu, nitakuja kwako na kukiondoa kinara chako kutoka mahali pake.
Hinu, uhololelayi chawavi kwakona uyagili lepi, unga'namukila Chapanga na kuleka uhakau ngati chawavi kadeni. Ngati lepi yati nibwela kwaku na kuwusa chibokoselu kuhuma pandu paki.
6 Lakini wewe una hili, unachukia yale ambayo Wanikolai wameyatenda, ambayo hata mimi nayachukia.
Nambu nihekelela ndava ya chindu ichi chimonga: Veve ukugayomela matendu gala gevihenga Wanikolai ngati chenikugayomela nene.”
7 Kama una sikio, sikiliza yale ambayo Roho anayaambia makanisa. Na kwa yeye ashindaye nitampa kibali cha kula kutoka katika mti wa uzima ulio katika paradiso ya Mungu.'
Mweavi na makutu ga kuyuwana na ayuwanayi, hinu ndi ayuwana gala Mpungu Msopi geakuvajovela misambi ya vandu vevakumsadika Kilisitu! “Mweihotola yati nikumpela kulya matunda ga mkongo wa wumi weuvi Paladiso mugati ya lidimba la Chapanga kunani.”
8 “Kwa malaika wa kanisa la Smirna andika: 'Haya ni maneno ya yule ambaye ni mwanzo na mwisho ambaye alikufa na kuwa hai tena:
“Muyandikila mtumu va kunani kwa Chapanga mweiyimalila msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu va Simulina.” “Wenuwu ndi ujumbi kuhuma mweavi wa kutumbula na mwishu, mweafwili na hinu avi mumi kavili.
9 '“Nayajua mateso yako na umasikini wako (lakini wewe ni tajiri), na uongo wa wale wanaojiita ni wayahudi (lakini siyo - wao ni sinagogi la Shetani).
Nimannyili mang'ahiso gako mewawa nimanyili ungangu waku! Nambu kujova chakaka veve una vindu vyamahele, nimannyili chevakukuliga vala vevakujikemela Vayawudi nambu Vayawudi lepi vachakaka, ndi msambi weulongoswa na Setani.
10 Usiogope mateso yatakayokupata. Tazama! Ibilisi anataka kuwatupa baadhi yenu gerezani ili mpate kujaribiwa, na mtateseka kwa siku kumi. Iweni waaminifu hadi kufa, na nitawapa taji ya uzima.
Ukoto kuyogopa mambu gegakukolela. Yuwanila! Setani igana kuvalinga kwa kuvasopa vangi vinu muchifungu, ndi nyenye yati mung'aika kwa magono kumi. Nambu mvya vasadikika mbaka kufwa kwinu na nene yati nikuvapela wumi ngati njingwa ya kuuhotola.”
11 Kama una sikio, sikiliza Roho anavyoyaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapata madhara ya mauti ya pili.'
“Mweavi na makutu ga kuyuwana, ayuwana bwina gala Mpungu Msopi geakuvajovela msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu!” “Yula mweihotola ago yati iviniswa lepi ng'o na lifwa la pili.”
12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamo andika: 'Haya ndiyo anenayo yeye aliye nao huo upanga mkali, wenye makali kuwili.
“Muyandikila mtumu wa kunani kwa Chapanga mweiyimalila msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu va muji wa Peliganoni, aga ndi geijova.” “Mwenuyo mweavi na upanga weunoliwi pandi zoha:
13 '“Najua mahali unapoishi -mahali kilipo kiti cha enzi cha shetani. Hata hivyo wewe walishika sana jina langu, na hukuikana imani yako iliyo kwangu, hata siku zile za Antipasi shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa miongoni mwenu, hapo ndipo Shetani anaishi.
Nipamanyili pandu pewitama, penapo ndi Setani akuvalongosa vandu. Nambu veve wakona uyendalili kulikamula liina langu. Wayibeli lepi sadika yangu kwaku, hati mu magono ga muhengaji wangu Antipa msadikika mweijova ndava yangu, peakomiwi pagati ya muji wenuwo wewilongoswa na Setani.
14 Lakini nina mambo machache dhidi yako: unao huko watu washikao mafundisho ya Balaamu, yeye aliyemfundisha Balaki kuweka vikwazo mbele ya wana wa Israel, ili wale vyakula vilivyotolewa sadaka kwa miungu na kuzini.
Nambu nina malovi gadebe gewihenga ganga nihekesa ndava yaku: Vangi vinu ndi valanda va Balaamu mweamuwuli Balaki kuvakulukisa vandu va Isilaeli vambudila Chapanga kwa kulya vyakulya vya luteta lwa chimong'omong'o na kukita ugoni.
15 Katika hali iyo hiyo, hata wewe unao baadhi yao wanaoshika mafundisho ya Wanikolai.
Mewawa, vavi mewa pagati yinu vandu vevilanda mawuliwu ga Wanikolai.
16 Basi tubu! Na usipofanya hivyo, naja upesi, na nitafanya vita dhidi yao kwa upanga utokao katika kinywa changu.
Hinu, leka kumbudila Chapanga, ngati wangamung'anamukila, yati nibwela kanyata kutovana na vandu avo na upanga wewihuma mumlomo wangu.”
17 Kama una sikio, sikiliza Roho anachowaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, pia nitampa jiwe jeupe lililoandikwa jina jipya juu ya jiwe, jina ambalo hakuna alijuaye isipokuwa yeye alipokeaye.'
“Mweavi na makutu, ayuwana bwina Mpungu Msopi cheakuvajovela msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu!” “Yula mweihotola, yati nikumpela chakulya chechikemelewa mana chechifiyiki kunani kwa Chapanga, mewawa yati nikumpela liganga lidebe la msopi, na panani yaki payandikwi liina lamupya kawaka mundu mweimanya, nambu nga vala ndu vevakulipokela.”
18 “Kwa malaika wa kanisa la Thiatira andika: “Haya ndiyo maneno ya Mwana wa Mungu, yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto, na nyayo kama shaba iliyosuguliwa sana:
“Umyandikila naha mtumu wa kunani wa msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu va Tuatila.” “Wenuwu ndi ujumbi wihuma kwa Mwana wa Chapanga, mweavi mihu geging'asima ngati motu, na magendelu geging'asima ngati shaba yeyiyogoliwi bwina.
19 '“Najua ambacho umefanya - upendo wako na imani na huduma na uvumilivu wako thabiti, na kwamba kile ulichofanya hivi karibuni ni zaidi ya kile ulichofanya mwanzo.
Nimanyili mambu gaku goha. Nimanyili uganu waku, sadika yaku, uhengaji waku na kusindimala kwaku. Nimanyili veve wihenga chabwina neju kuliku kadeni pala.
20 Lakini ninalo hili dhidi yako: unamvumilia mwanamke Yezebeli anayejiita mwenyewe nabii mke. Kwa mafundisho yake, anawapotosha watumishi wangu kuzini na kula chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu.
Nambu nivii na lijambu limonga kwaku langa nihekesa: Veve ukumsindimalila mdala yula Yezebeli mweakujikemela mlota, mweiwula la kuvayagisa vatumisi vangu vakita ukemi na kulya vyakulya vyevitetiwi kwa chimong'omong'o.
21 Nilimpa muda wa kutubu, lakini hayuko tayari kuutubia uovu wake.
Nimpeli lukumbi lwa kuleka kumbudila Chapanga, nambu ibela kuleka ukemi waki.
22 Angalia! Nitamtupa kwenye kitanda cha maradhi, na wale watendao uasherati naye kwenye mateso makali, vinginevyo watubu kwa alichofanya.
Yuwanila! Hinu nikumtova kwa matamu ndalindali mwene pamonga na vayaki vevahengili ukemi nayu yati vipata mang'ahiso gakali, ngati vabeli kuleka kubuda mumatendu gavi gahakau gevahengili.
23 Nitawapiga wanawe wafe na makanisa yote watajua kwamba mimi ndiye niyachunguzaye mawazo na tamaa. Nitampa kila mmoja wenu kadiri ya matendo yake.
Kangi yati nikuvakoma valanda, muni misambi ya vandu vevakumsadika Kilisitu voha vamanyalila kuvya nene ndi mwenimanya neju mitima na maholo ga vandu yati nikumpela kila mmonga ndava ya matendu gaki.”
24 Lakini kwa baadhi yenu mliosalia katika Thiatira, kwa wale wote msioshika fundisho hili, na msiojua kile ambacho baadhi huita mafumbo ya Shetani, nasema kwenu, 'sitaweka juu yenu mzigo wowote.'
“Nambu vangi nyenye mwemuvi Tuatila mwangalanda mawuliwu ga Yezebeli, na mwangajiwula chila chevikemela mfiyu wa Setani. Nikuvajovela kuvya nikuvatwika lepi ndwika yingi yoyoha ya gala gemuvi nagu.
25 Kwa jambo lolote, lazima muwe imara mpaka nitakapokuja.
Yikuvagana muyima kuyendelela kunisadika na kuniyidakila nene mbaka penibwela.”
26 Yeyote ashindaye na kufanya kile nilichofanya hadi mwisho, kwake yeye nitampa mamlaka juu ya mataifa.
Na yula mweihotola kuyendelela kuhenga gala genikugagana mbaka mwishu, yati nikumpela uhotola kulongosa vandu va mulima woha.
27 'Atawatawala kwa fimbo ya chuma, kama mabakuli ya udongo, atawavunja vipande vipande.'
Yati akuvalongosa kwa ndonga ya lyuma na kuvahinyana ngati vindu vya ludaka.
28 Kama nilivyopokea kutoka kwa Baba yangu, nitampa pia nyota ya asubuhi.
Mewawa yati nikumpela ndondo ya lukela. Ngati chenipokili uhotola kuhuma kwa Dadi wangu.
29 Ukiwa na sikio, sikiliza kile ambacho Roho anayaambia makanisa.'
“Mweavi na makutu, hinu ayuwana bwina gala Mpungu Msopi akuujovela msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu.”

< Ufunuo 2 >