< Zaburi 87 >

1 Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
Aux fils de Coré psaume de cantique.
2 Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
Le Seigneur aime les portes
3 Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
Des choses glorieuses ont été dites de toi, cité de Dieu.
4 Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
Je me souviendrai de Rahab et de Babylone qui me connaissent. Voilà que des étrangers et Tyr, et un peuple d’Éthiopiens ont été là.
5 Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
Est-ce qu’on ne dira pas de Sion: Un homme et un homme est né dans elle, et lui-même, le Très-Haut, l’a fondée?
6 Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
Le Seigneur le racontera dans les écritures des peuples et des princes, de ceux qui furent dans elle.
7 Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”
Ceux qui habitent en toi ont la joie de tous ceux qui se livrent à l’allégresse.

< Zaburi 87 >