< Zaburi 77 >
1 Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
BAE juagang si Yuus ni y inagangjo; magajet na si Yuus ni y inagangjo; ya güiya jumungogyo.
2 Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
Y jaane y chinatsagaco jualigao y Señot: y canaejo maestira gui puenge ya pumapara: y antijo ti malago manamagof.
3 Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
Jujajaso, si Yuus ya janaestotbayo: umuugongyo, sa y espiritujo lalalango. (Sila)
4 Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
Jago unadaje y atadogjo ni taemaego: sa taegüije chatsagayo na ti siñayo cumuentos.
5 Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
Sa guajo jujajaso y jaane ni y ampmam manmalofan, yan y sacan ni y ampmam na tiempo.
6 Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
Jujajaso y cantaco gui puenge: jujajaso ni y corasonjo; ya y espiritujo guine guefaligao?
7 Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
Ada uyute y Señot para taejinecog? ya ti utalo y finaboresiña?
8 Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
Cao y minaaseña usenjanaoja para taejinecog? ya y promesaña ufanlingo para taejinecog?
9 Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
Ya malefa si Yuus na uyóase? ya pot y linalaloña na jajuchom y güinaeyaña? (Sila)
10 Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
Ya guajo ileco: Este y dinafejo: lao bae jujaso y sacan sija gui agapa na canae y Gueftaquilo.
11 Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
Bae jusangan y checho Jeova: sa bae jujaso y ninamanmanmo gui ampmam na tiempo.
12 Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
Bae jujaso locue todo y chechomo, yan jusangan sumanjalomjo y finatinasmo.
13 Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
Y chalanmo, O Yuus, gague gui sinantos na sagayan: jaye dangculo na yuus calang y Yuusta?
14 Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
Jago y Yuus ni y fumatinas y mannamanman: jago munamatungo y minetgotmo gui taotao sija.
15 Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
Jago yan y canaemo munafanlibre y taotaomo; ni y famaguon Jacob yan José. (Sila)
16 Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
Y janom malie jao, O Yuus, y janom malie jao, ya sija ninafanmaañao: ya y tinadong locue ninafanmayengyong.
17 Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
Y mapagajes sija manmañuñuda janom: ya y langet mannae y inagang: ya y flechamo locue manjanao juyong.
18 Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
Ya y palampan y jilumo estaba gui remolino; ya y lamlam maniiina gui tano: ya y tano manmayengyong yan manlalaolao.
19 Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
Y chalanmo gui tase, ya y finaposmo gui mandangculo na janom, ya y guinachamo ti matungo.
20 Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.
Jago umesgaejon y taotaomo taegüije y manadang quinilo pot y canae Moises yan Aaron.