< Zaburi 74 >

1 Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
Intelligence d’Asaph.
2 Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
Souvenez-vous de votre assemblée, que vous avez possédée dès le commencement. Vous avez racheté la verge de votre héritage: Sion est le mont sur lequel vous avez habité.
3 Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
Levez vos mains à jamais contre leur orgueil: combien de méchancetés a commises l’ennemi dans votre sanctuaire!
4 Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
Ceux qui vous haïssent ont signalé leur orgueil au milieu de votre solennité. Ils ont posé leurs étendards en grand nombre;
5 Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
(Et ils n’ont pas compris ce qu’ils faisaient ), au haut du temple, comme à la sortie d’une ville.
6 Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
Ils ont abattu de concert ses portes: avec la cognée et la hache à double tranchant, ils l’ont renversée.
7 Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
Ils ont brûlé par le feu votre sanctuaire: ils ont souillé sur la terre le tabernacle de votre nom.
8 Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
Ils ont dit dans leur cœur, eux et tous leurs alliés ensemble: Faisons cesser de dessus la terre tous les jours de fêtes de Dieu.
9 Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
Nous ne voyons plus nos signes: il n’y a point de prophètes, et Dieu ne nous connaîtra plus.
10 Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
Jusques à quand, ô Dieu, l’ennemi se livrera-t-il à l’outrage? notre adversaire irritera-t-il toujours votre nom?
11 Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
Pourquoi détournez-vous votre main, et votre droite de votre sein pour toujours?
12 Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
Mais Dieu, notre roi depuis des siècles, a opéré le salut au milieu de la terre.
13 Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
C’est vous qui, par votre puissance, avez affermi la mer, brisé les têtes des dragons dans les eaux.
14 Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
C’est vous qui avez écrasé la tête du dragon: vous l’avez donné pour nourriture aux peuples de l’Éthiopie.
15 Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
C’est vous qui avez fait jaillir de la pierre des sources et des torrents; vous avez desséché les fleuves d’Ethan.
16 Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
À vous est le jour, et à vous est la nuit: c’est vous qui avez formé l’aurore et le soleil,
17 Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
C’est vous qui avez fait toutes les limites de la terre: l’été et le printemps, c’est vous qui les avez créés.
18 Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
Souvenez-vous de ceci: l’ennemi a outragé le Seigneur, et un peuple insensé a provoqué votre nom.
19 Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
Ne livrez pas aux bêtes féroces des âmes qui vous louent; et les âmes de vos pauvres, ne les oubliez pas à jamais.
20 Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
Jetez les yeux sur votre alliance; parce que ceux qui sont avilis sur la terre ont été comblés de maisons d’iniquités.
21 Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
Que celui qui est dans l’humiliation ne soit pas renvoyé couvert de confusion; le pauvre et l’homme sans ressource loueront votre nom.
22 Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
Levez-vous, ô Dieu, jugez votre cause: souvenez-vous des outrages que vous recevez, de ceux qui vous sont faits par un insensé tout le jour.
23 Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.
N’oubliez pas les clameurs de vos ennemis: l’orgueil de ceux qui vous haïssent monte toujours.

< Zaburi 74 >