< Zaburi 73 >

1 Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio na moyo safi.
Quanto è buono Dio con i giusti, con gli uomini dal cuore puro! Salmo. Di Asaf.
2 Lakini kwangu mimi, kidogo tu miguu yangu iteleze; miguu yangu karibu iteleze kutoka kwangu
Per poco non inciampavano i miei piedi, per un nulla vacillavano i miei passi,
3 kwa sababu niliwaonea wivu wenye kiburi nilipoona mafanikio ya waovu.
perché ho invidiato i prepotenti, vedendo la prosperità dei malvagi.
4 Kwa maana hawana maumivu hadi kufa kwao, lakini wana nguvu na wameshiba.
Non c'è sofferenza per essi, sano e pasciuto è il loro corpo.
5 Wako huru dhidi ya mizigo ya watu wengine; nao hawateswi kama watu wengine.
Non conoscono l'affanno dei mortali e non sono colpiti come gli altri uomini.
6 Kiburi kinawapamba kama mkufu kwenye shingo zao; jeuri huwavika kama vazi.
Dell'orgoglio si fanno una collana e la violenza è il loro vestito.
7 Katika upofu wa jinsi hii dhambi huja; mawazo maovu hupita mioyoni mwao.
Esce l'iniquità dal loro grasso, dal loro cuore traboccano pensieri malvagi.
8 Wao hudhihaki na kuongea kwa namna ya uovu; kwa kiburi chao hutishia mateso.
Scherniscono e parlano con malizia, minacciano dall'alto con prepotenza.
9 Wameweka vinywa vyao dhidi ya mbingu, na ndimi zao hutanga tanga duniani.
Levano la loro bocca fino al cielo e la loro lingua percorre la terra.
10 Kwa hiyo watu wake huwageukia na maji yaliyojaa hukaushwa.
Perciò seggono in alto, non li raggiunge la piena delle acque.
11 Nao husema, “Mungu anajuaje? Yako maarifa kwake yeye aliye juu?”
Dicono: «Come può saperlo Dio? C'è forse conoscenza nell'Altissimo?».
12 Fahamu: watu hawa ni waovu; mara zote hawajali, wakifanyika matajiri na matajiri.
Ecco, questi sono gli empi: sempre tranquilli, ammassano ricchezze.
13 Hakika nimeutunza moyo wangu bure na nimenawa mikono yangu pasipo kukosa.
Invano dunque ho conservato puro il mio cuore e ho lavato nell'innocenza le mie mani,
14 Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
poiché sono colpito tutto il giorno, e la mia pena si rinnova ogni mattina.
15 Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
Se avessi detto: «Parlerò come loro», avrei tradito la generazione dei tuoi figli.
16 Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.
Riflettevo per comprendere: ma fu arduo agli occhi miei,
17 Ndipo nilipoingia patakatifu pa Mungu na kuelewa hatma yao.
finché non entrai nel santuario di Dio e compresi qual è la loro fine.
18 Hakika wewe huwaweka penye utelezi; huwaangusha mpaka palipoharibika.
Ecco, li poni in luoghi scivolosi, li fai precipitare in rovina.
19 Jinsi gani wamekuwa ukiwa kwa muda mfupi! Wamefika mwisho nao wamemaliza kwa utisho.
Come sono distrutti in un istante, sono finiti, periscono di spavento!
20 Wao ni kama ndoto wakati wa mtu kuamka; Bwana, utakapo inuka, utazidharau ndoto zao.
Come un sogno al risveglio, Signore, quando sorgi, fai svanire la loro immagine.
21 Maana moyo wangu ulipata uchungu, nami nilijeruhiwa sana.
Quando si agitava il mio cuore e nell'intimo mi tormentavo,
22 Nilikuwa mjinga na sijui neno; nilikuwa kama mnyama tu mbele yako.
io ero stolto e non capivo, davanti a te stavo come una bestia.
23 Lakini mimi nipo pamoja nawe daima; umenishika mkono wa kuume.
Ma io sono con te sempre: tu mi hai preso per la mano destra.
24 Utaniongoza kwa shauri lako na baadaye utanipokea katika utukufu.
Mi guiderai con il tuo consiglio e poi mi accoglierai nella tua gloria.
25 Ni nani niliye naye mbinguni isipokuwa wewe? Hakuna nimtamaniye duniani isipokuwa wewe.
Chi altri avrò per me in cielo? Fuori di te nulla bramo sulla terra.
26 Mwili wangu na moyo wangu huwa dhaifu, bali Mungu ndiye nguvu ya moyo wangu daima.
Vengono meno la mia carne e il mio cuore; ma la roccia del mio cuore è Dio, è Dio la mia sorte per sempre.
27 Wale walio mbali nawe wataangamia; utawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.
Ecco, perirà chi da te si allontana, tu distruggi chiunque ti è infedele.
28 Lakini mimi, linipasalo kufanya ni kumkaribia Mungu. Nimemfanya Bwana Yahwe kimbilio langu. Nami nitayatangaza matendo yako yote.
Il mio bene è stare vicino a Dio: nel Signore Dio ho posto il mio rifugio, per narrare tutte le tue opere presso le porte della città di Sion.

< Zaburi 73 >