< Zaburi 71 >
1 Katika wewe, Yahwe, napatakimbilio salama; usiniache niaibishwe.
Uz tevi, Kungs, es paļaujos, ne mūžam neliec man palikt kaunā.
2 Uniokoe na kunifanya salama katika haki yako; geuzia sikio lako kwangu.
Izglāb mani caur Savu taisnību un atsvabini mani, atgriez Savu ausi pie manis un atpestī mani.
3 Uwe kwagu mwamba kwa ajili ya kimbilio salama ambako naweza kwenda siku zote; wewe umeamuru kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
Esi man par patvērumu, kur es varu dzīvot, kur vienmēr varu bēgt. Tu esi solījis, mani atpestīt, jo Tu esi mans kalns un mana stiprā pils.
4 Uniokoe mimi, Mungu wangu, kutoka katika mkono wa asiye haki na katili.
Mans Dievs, izglāb mani no bezdievīgā rokas, no netaisnā un varas darītāja rokas,
5 Maana wewe ni tumaini langu, Bwana Yahwe. Nimekuamini wewe siku zote tangu nilipokuwa mtoto.
Jo Tu esi mana cerība, Kungs, Dievs, mana drošība no manas jaunības.
6 Nimekuwa nikisaidiwa na wewe tangu tumboni; wewe ndiye yule uliyenitoa tumboni mwa mama yangu; sifa zangu zitakuhusu wewe siku zote.
Uz Tevi es esmu paļāvies no mātes miesām, Tu mani esi izvilcis no mātes miesām, mana dziesma Tevi teic bez mitēšanās.
7 Mimi ni mfano bora kwa watu wangu; wewe ni kimbilio langu lenye nguvu.
Es esmu daudziem par ērmu, bet Tu esi mans stiprais patvērums.
8 Mama yangu atajawa na sifa zako, siku zote akikuheshimu.
Lai mana mute pildās ar Tavu teikšanu, cauru dienu ar Tavu godu.
9 Usinitupe katika siku za miaka ya uzee wangu; usiniache wakati nguvu zangu zitakapoisha.
Neatmet mani vecumā, neatstāj mani, kad spēks man zūd.
10 Maana adui zangu wanazungumza kuhusu mimi; wale wanao fatilia uhai wangu wanapanga njama pamoja.
Jo mani ienaidnieki mani aprunā, un kas uz manu dvēseli glūn, tie kopā spriež padomu
11 Wao husema, “Mungu amemuacha; mfuateni na mumchukue, maana hakuna yeyote awezaye kumuokoa yeye.”
Sacīdami: Dievs viņu ir atstājis, dzenaties pakaļ, sagrābiet viņu, jo glābēja nav.
12 Mungu, usiwe mbali nami; Mungu wangu, harakisha kunisaidia mimi.
Dievs, neesi tālu no manis, mans Dievs, steidzies man palīgā.
13 Waaibishwe na kuharibiwa, wale walio adui wa uhai wangu; wavishwe laumu na kudharauliwa, wale watafutao kuniumiza.
Lai top kaunā, lai iet bojā, kas manai dvēselei turas pretī, ar kaunu un smieklu lai top apsegti, kas meklē manu nelaimi.
14 Lakini nitakutumainia wewe siku zote na nitakusifu wewe zaidi na zaidi.
Bet es vienmēr cerēšu un vairošu visu Tavu slavu.
15 Kinywa changu kitaongea kuhusu haki yako na wokovu wako mchana kutwa, ingawa ziwezi kuzielewa maana ni nyingi mno.
Mana mute izteiks Tavu taisnību, cauru dienu Tavu pestīšanu, jebšu to nemāku izskaitīt.
16 Nitakuja na matendo yenye nguvu ya Bwana Yahwe; nitataja haki yako, yako pekee.
Es staigāšu Tā Kunga spēkā, es pieminēšu Tavu taisnību, Tevi vien.
17 Mungu, tangu ujana wangu wewe umenifundisha; hata sasa ninatangaza matendo yako ya ajabu.
Ak Dievs, Tu mani esi mācījis no manas jaunības; un līdz šim es pasludināju Tavus brīnumus.
18 Hakika, hata niwapo mzee na mvi kichwani, Mungu, usiniache mimi, kama ambavyo nimekuwa nikitanga nguvu yako kwa vizazi vijavyo, na uweza wako kwa yeyote ajaye.
Tad nu arīdzan, kad vecums un sirmi mati ir klāt, neatstāj mani, ak Dievs, tiekams es Tavu elkoni būšu pasludinājis bērnu bērniem un Tavu stiprumu visiem pēcnākamiem.
19 Pia haki yako, Mungu, iko juu sana; wewe ambaye umefanya mambo makuu, Mungu, ni nani aliye kama wewe?
Tava taisnība, ak Dievs, ir it augsta, Tu dari lielas lietas; Dievs, kas ir tāds kā Tu?
20 Wewe ambaye umetuonesha sisi mateso mengi utatuhuisha tena na utatupandisha tena juu kutoka kwenye kina cha nchi.
Tu man lieci redzēt daudz bēdas un mokas, Tu mani darīsi atkal dzīvu, un mani izvilksi no zemes dziļumiem.
21 Uiongeze heshima yangu; rudi tena na unifariji.
Vairo manu godu, un iepriecini mani atkal.
22 Nami pia nitakushukuru kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako, Mungu wangu; kwako nitaimba sifa kwa kinubi, Mtakatifu wa Israel.
Es Tevi arī slavēšu ar stīgu skaņām par Tavu uzticību, mans Dievs; es Tevi slavēšu ar koklēm, ak Svētais iekš Israēla!
23 Midomo yangu itapiga kelele kwa sababu ya furaha wakati nikikuimbia sifa, hata kwa roho yangu, ambayo wewe umeikomboa.
Manas lūpas gavilēs, kad es Tev dziedāšu, un mana dvēsele, ko Tu esi atpestījis.
24 Ulimi wangu pia utaongea kuhusu haki yangu mchana kutwa; maana wameaibishwa na kuvurugwa, wale waliotafuta kuniumiza.
Un arī mana mēle Tavu taisnību izrunās cauru dienu, jo tie ir tapuši kaunā un apkaunoti, kas meklē manu nelaimi.