< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Au maître de Chant. Psaume de David. Ô Dieu, écoute ma voix, quand je fais entendre mes plaintes; défends ma vie contre un ennemi qui m’épouvante;
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
protège-moi contre les complots des malfaiteurs, contre la troupe soulevée des hommes iniques,
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
qui aiguisent leurs langues comme un glaive, qui préparent leurs flèches — leur parole amère! —
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
pour les décocher dans l’ombre contre l’innocent; ils les décochent contre lui à l’improviste, sans rien craindre.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
Ils s’affermissent dans leurs desseins pervers, ils se concertent pour tendre leurs pièges; ils disent: « Qui les verra? »
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
Ils ne méditent que forfaits: « Nous sommes prêts, disent-ils, notre plan est bien dressé. » L’intérieur de l’homme et son cœur sont un abîme!
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Mais Dieu a lancé sur eux ses traits: soudain les voilà blessés!
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
On les jette par terre; les traits de leur langue retombent sur eux! Tous ceux qui les voient branlent la tête!
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Tous les hommes sont saisis de crainte, ils publient l’œuvre de Dieu, ils comprennent ce qu’il a fait.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Le juste se réjouit en Yahweh et se confie en lui, tous ceux qui ont le cœur droit se glorifient.

< Zaburi 64 >