< Zaburi 57 >
1 Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
Para el director del coro. Según melodía de “No destruyas”. Un Salmo (Mictam) de David sobre la vez que huyó de Saúl y se escondió en la cueva. ¡Sé bueno conmigo, Dios! Sé bueno conmigo porque vengo a ti por protección. Me abrigaré bajo la sombra de tus alas hasta que el peligro haya pasado.
2 Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
Clamé por ayuda al Dios Altísimo, a Dios, quien me defiende.
3 Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
Desde los cielos él envió su ayuda, y me salvó. Él derrota a aquellos que me persiguen. (Selah) Dios me envía su gran amor, mostrándome que es digno de confianza.
4 Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
¡Me rodean los leones que comen hombres, y soy forzado a vivir con ellos! Sus dientes son como lanzas y flechas, y sus lenguas como espadas.
5 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
Dios, tu grandeza está sobre los más altos cielos; ¡Y tu gloria cubre toda la tierra!
6 Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
Ellos ponen trampas para atraparme. Estaba muy deprimido. Cavaron un hoyo en mi camino, pero fueron ellos los que cayeron en él. (Selah)
7 Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
Confío en ti, Dios, confío en ti. Cantaré canciones de alabanza a ti.
8 Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Me digo a mí mismo, “¡Levántate!” ¡Levántense, arpa y lira! ¡Levantaré al amanecer!
9 Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
Te agradeceré entre los pueblos, Señor; te cantaré alabanzas entre las naciones.
10 Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
Tu gran amor llega hasta los cielos; tu integridad hasta las nubes.
11 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.
¡Dios, tu grandeza está sobre los más altos cielos; y tu gloria cubre toda la tierra!