< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
Ouvi isto, vós todos os povos; inclinai os ouvidos, todos os moradores do mundo,
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
Tanto baixos como altos, tanto ricos como pobres.
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
A minha boca falará de sabedoria; e a meditação do meu coração será de entendimento.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
Inclinarei os meus ouvidos a uma parábola: declararei o meu enigma na harpa.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Porque temerei eu nos dias maus, quando me cercar a iniquidade dos que me armam ciladas?
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Aqueles que confiam na sua fazenda, e se glóriam na multidão das suas riquezas,
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
Nenhum deles de modo algum pode remir a seu irmão, ou dar a Deus o resgate dele
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
(Pois a redenção da sua alma é caríssima, e cessará para sempre);
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
Para que viva para sempre, e não veja corrupção:
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
Porque ele vê que os sábios morrem: perecem igualmente tanto o louco como o brutal, e deixam a outros os seus bens.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
O seu pensamento interior é que as suas casas serão perpétuas e as suas habitações de geração em geração: dão às suas terras os seus próprios nomes.
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
Todavia o homem que está na honra não permanece; antes é como os brutos que perecem.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
Este caminho deles é a sua loucura; contudo a sua posteridade aprova as suas palavras (Selah)
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
Como ovelhas são postos na sepultura; a morte se alimentará deles; e os retos terão domínio sobre eles na manhã, e a sua formosura na sepultura se consumirá da sua morada. (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
Mas Deus remirá a minha alma do poder da sepultura, pois me receberá (Selah) (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Não temas, quando alguém se enriquece, quando a glória da sua casa se engrandece.
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
Porque, quando morrer, nada levará consigo, nem a sua glória o acompanhará.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
Ainda que na sua vida ele bendisse a sua alma, e os homens te louvam, quando fizeres bem a ti mesmo,
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
Irá para a geração de seus pais; eles nunca verão a luz
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
O homem que está na honra, e não tem entendimento, é semelhante às bestas que perecem.

< Zaburi 49 >