< Zaburi 47 >
1 Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
Zborovođi. Sinova Korahovih. Psalam. Narodi svi, plješćite rukama, kličite Bogu glasom radosnim.
2 Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
Jer Jahve je to - svevišnji, strašan, kralj velik nad zemljom svom.
3 Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
Narode je nama podložio, pogane stavio pod noge naše,
4 Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
baštinu nam odabrao - ponos Jakova, svoga ljubimca.
5 Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
Uzlazi Bog uz klicanje, Jahve uza zvuke trublje.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
Pjevajte Bogu, pjevajte, pjevajte kralju našemu, pjevajte!
7 Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
Jer on je kralj nad zemljom svom, pjevajte Bogu, pjevači vrsni!
8 Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
Bog kraljuje nad narodima, stoluje Bog na svetom prijestolju.
9 Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.
Prvaci se pribiru poganski k narodu Boga Abrahamova. Božji su svi vlastodršci zemlje, nad svima on je uzvišen.