< Zaburi 41 >
1 Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
Przedniejszemu śpiewakowi pieśń Dawidowa. Błogosławiony, który ma baczenie na potrzebnego; w dzień zły wybawi go Pan.
2 Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
Pan go będzie strzegł, i żywić go będzie; błogosławony będzie na ziemi, ani go poda na wolę nieprzyjaciół jego.
3 Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
Pan go posili na łożu niemocy jego; wszystko leżenie jego odmieni w chorobie jego.
4 Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
Jam rzekł: Panie! zmiłuj się nademną, uzdrów duszę moję, bom tobie zgrzeszył.
5 Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
Nieprzyjaciele moi mówili źle o mnie: Kiedyż wżdy umrze, a zginie imię jego?
6 Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
Jeźli też który z nich przychodzi, aby mię nawiedził, tedy na zdradzie mówi; serce jego zgromadza sobie nieprawość, a precz odszedłszy roznosi.
7 Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
Społem przeciwko mnie szepczą wszyscy, którzy mię mają w nienawiści, a myślą złe o mnie,
8 Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
Mówiąc: Pomsta się nań za niezbożność wylała, a iż się położył, więcej nie wstanie.
9 Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
Także i ten, z którymem żył w pokoju, któremum ufał, który chleb mój jadał, podniósł piętę przeciwko mnie.
10 Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
Ale ty, Panie! zmiłuj się nademną, a podnieś mię, i oddam im.
11 Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
A przez to poznam, że się kochasz we mnie, gdy się nie będzie weselił nieprzyjaciel mój ze mnie.
12 Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
Ale ty w niewinności mojej wesprzesz mię i postawisz mię przed obliczem twojem na wieki.
13 Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili
Błogosławiony Pan, Bóg Izraelski, od wieku aż na wieki. Amen, Amen.