< Zaburi 4 >

1 Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
Zborovođi. Uz žičana glazbala. Psalam. Davidov. Kad zazovem, usliši me, Bože, pravdo moja, ti što me u tjeskobi izbavÄi: smiluj mi se, usliši moju molitvu!
2 Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
Sinovi čovječji, dokle će vam srca ostati tvrda? Zašto ispraznost ljubite, opsjenu slijedite?
3 Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
Znajte: Jahve čudesno uzvisuje prijatelja svoga; Gospodin će me uslišiti kad ga zazovem.
4 Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
Promislite u srcima i ne griješite, dršćite na svojim ležajima i zanijemite.
5 Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
Prinesite žrtve pravedne, u Jahvu se uzdajte!
6 Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
Mnogi govore: “Tko će nam pokazati sreću?” Obasjaj nas, Jahve, svjetlom svoga lica!
7 Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
Više si u srce moje ulio radosti nego kad obilno rode pšenica i vino.
8 Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.
Čim legnem, odmah u miru i usnem, jer mi samo ti, o Jahve, daješ miran počinak.

< Zaburi 4 >