< Zaburi 23 >

1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
ヱホバは我が牧者なり われ乏しきことあらじ
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
ヱホバは我をみどりの野にふさせ いこひの水濱にともなひたまふ
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
ヱホバはわが霊魂をいかし名のゆゑをもて我をただしき路にみちびき給ふ
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
たとひわれ死のかげの谷をあゆむとも禍害をおそれじ なんぢ我とともに在せばなり なんぢの笞なんぢの杖われを慰む
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
なんぢわが仇のまへに我がために筵をまうけ わが首にあぶらをそそぎたまふ わが酒杯はあふるるなり
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
わが世にあらん限りはかならず恩惠と憐憫とわれにそひきたらん 我はとこしへにヱホバの宮にすまん

< Zaburi 23 >