< Zaburi 2 >
1 Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
Przeczże się poganie buntują, a narody przemyślają próżne rzeczy?
2 Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
Schodzą się królowie ziemscy, a książęta radzą społem przeciwko Panu, i przeciw pomazańcowi jego, mówiąc:
3 “Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
Potargajmy związki ich, a odrzućmy od siebie powrozy ich.
4 Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
Ale ten, który mieszka w niebie, śmieje się; Pan szydzi z nich.
5 Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
Tedy będzie mówił do nich w popędliwości swojej, a w gniewie swoim przestraszy ich,
6 “Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Mówiąc: Jamci postanowił króla mojego nad Syonem, górą świętą moją.
7 Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
Opowiem ten dekret: Pan rzekł do mnie: Syn mój jesteś ty, Jam ciebie dziś spłodził.
8 Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
Żądaj odemnie, a dam ci narody dziedzictwo twoje; a osiadłość twoję, granice ziemi.
9 Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
Potrzesz ich laską żelazną, a jako naczynie zduńskie pokruszysz ich.
10 Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
Terazże tedy zrozumiejcie, królowie, nauczcie się sędziowie ziemi!
11 Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
Służcie Panu w bojaźni, a rozradujcie się ze drżeniem.
12 Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.
Pocałujcie syna, by się snać nie rozgniewał, i zginęlibyście w drodze, gdyby się najmniej zapaliła popędliwość jego. Błogosławieni wszyscy, którzy w nim ufają.