< Zaburi 150 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu za ukuu wake.
Hvalite Gospoda, hvalite Boga v njegovem svetišču, hvalite ga na nebesnem svodu njegove moči.
2 Msifuni yeye kwa matendo yake makuu; msifuni yeye kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
Hvalite ga za njegova mogočna dela, hvalite ga glede na njegovo odlično veličino.
3 Msifuni kwa mlipuko wa pembe; msifuni kwa kinanda na kinubi.
Hvalite ga z zvokom šofarja, hvalite ga s plunko in harfo.
4 Msifuni kwa ngoma na kucheza; msifuni kwa vyombo vya nyuzi na filimbi.
Hvalite ga s tamburinom in plesom, hvalite ga z glasbili na strune in piščali.
5 Msifuni kwa matoazi yavumayo; msifuni kwa matoazi avumayo sana.
Hvalite ga na glasne cimbale, hvalite ga na visoko zveneče cimbale.
6 Kila kilicho na pumzi kimsifu Yahwe. Msifuni Yahwe.
Naj vsaka stvar, ki diha, hvali Gospoda. Hvalite Gospoda.

< Zaburi 150 >