< Zaburi 147 >
1 Msifuni Yahwe, kwa maana ni vyema kumwimbia sifa Mungu wetu, ni kuzuri, kusifu kwa faa sana.
Bokumisa Yawe! Tala ndenge ezali malamu kosanzola Nzambe na biso, mpe ndenge ezali kitoko kokumisa Ye!
2 Yahwe huijenga tena Yerusalemu, huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanyika.
Yawe azali kotonga lisusu Yelusalemi epai wapi akosangisa bato ya Isalaele oyo bakenda na bowumbu.
3 Huponya mioyo iliyopondeka na kuganga majeraha yao.
Abikisaka bato oyo batutami na mitema mpe akawusaka bapota na bango.
4 Huzihesabu nyota, naye huzipa majina zote.
Ayebi motango ya minzoto mpe abengaka moko na moko na kombo na yango.
5 Ukuu ni wa Bwana wetu na nguvu zake ni za kutisha, ufahamu wake hauwezi kupimika.
Nkolo na biso azali monene mpe atonda na nguya; mayele na Ye ezali na mondelo te.
6 Yahwe huwainua wanyonge, huwashusha chini wenye jeuri.
Yawe asungaka babola, kasi akitisaka bato mabe kino na mabele.
7 Mwimbieni Yahwe kwa shukurani, mwimbieni sifa Mungu wetu kwa kinubi.
Boyembela Yawe nzembo ya matondi! Bobetela Nzambe na biso lindanda mpo na kosanzola Ye!
8 Huzifunika mbingu kwa mawingu na huiandaa mvua kwa ajili ya nchi, akizifanya nyasi kukua juu ya milima.
Azipaka likolo na mapata, abongisaka mvula mpo na mokili mpe abotisaka matiti na bangomba.
9 Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.
Apesaka bilei epai ya bibwele mpe epai ya bana ya yanganga oyo ezali koganga mpo na nzala.
10 Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
Asepelaka na makasi ya mpunda te mpe alingaka te nguya ya moto;
11 Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.
kasi Yawe asepelaka na bato oyo batosaka Ye, ba-oyo batielaka bolingo na Ye motema.
12 Msifuni Yahwe, Yerusalemu, msifuni Mungu wenu, Sayuni.
Yelusalemi, pesa nkembo na Yawe! Siona, kumisa Nzambe na yo!
13 Maana yeye huyakaza mapingo ya malango yako, huwabariki watoto wako kati yako.
Alendisaka bikangelo ya bikuke na yo mpe apambolaka bana na yo epai na yo.
14 Huletamafanikio ndani ya mipaka yako, hukutosheleza kwa ngano bora.
Atiaka kimia na etuka na yo mpe atondisaka yo na farine.
15 Huipeleka amri yake juu ya nchi, amri zake hupiga mbio sana.
Atindaka mitindo na Ye na mokili, mpe maloba na Ye epanzanaka mbala moko!
16 Huifanya theluji kama sufu, huitawanya barafu kama majivu.
Anokisaka mvula ya pembe lokola bapwale ya meme mpe apanzaka mvula ya mabanga lokola putulu;
17 Hutupa mvua ya mawe kama makombo, ni nani awezaye kuhimili baridi aitumayo?
akweyisaka mabanga ya mvula yango lokola mabanga ya mike-mike; nani akoki kotelema na malili na yango?
18 Hutuma amri zake na kuziyeyusha, huvumisha upepo wake na hutiririsha maji.
Soki kaka atindi liloba, malili ekomaka kosila moke-moke; mpe soki atindi mopepe, mayi ekomaka kotiola.
19 Hutangaza neno lake kwa Yakobo, amri zake na hukumu zake kwa Israeli.
Asakolaki liloba na Ye epai ya Jakobi, mibeko mpe malako na Ye epai ya Isalaele.
20 Hajafanya hivyo kwa taifa linginelo lolote, na kama ilivyo amri zake, hawazijui. Msifuni Yahwe.
Asalaki bongo na ekolo ata moko te; boye eyebaka mpe mibeko na Ye te. Bokumisa Yawe!