< Zaburi 144 >

1 Atukuzwe Yahwe, mwamba wangu, anifundishaye mikono yangu vita na vidole vyangu kupigana.
David kah Caemtloek ham ka kutdawn neh caemrhal ham ka kut aka cang puei, ka lungpang BOEIPA tah a yoethen pai saeh.
2 Wewe ni uaminifu wa agano langu na ngome yangu, mnara wangu mrefu na uniokoaye, ngao yangu na yule ambaye katika yeye napata kimbilio, uyatiishaye mataifa chini yangu.
Ka sitlohnah neh ka rhalvong, ka imsang neh kai ham kai aka hlawt ka photling, ka hmuiah ka pilnam aka hnaa amah dongah ni ka ying.
3 Ee Yahwe, mtu ni kitu gani hata umtazame au mwana wa mtu hata umfikirie?
BOEIPA aw hlang te metlam nim na ming tih amah hlanghing capa te amah la na moeh.
4 Mtu ni kama pumzi, siku zake ni kama uvuli upitao.
Hlang he a hohing la lutlat tih a khohnin khaw mueihlip bangla khum.
5 Ee Yahwe uziinamishe mbingu na ushuke chini, uiguse milima na uifanye kutoa moshi.
BOEIPA namah kah vaan ke koisu lamtah ha rhum laeh. Tlang ke puei lamtah khuu uh kangna saeh.
6 Utume umeme uwatawanye adui zangu; upige mishale yako na uwavuruge.
Rhaek daeh sak lamtah amih te taekyak lah. Na thaltang dong lamtah amih te khawkkhek lah.
7 Nyosha mkono wako toka juu; uniokoe kutoka katika maji mengi, na kutoka katika mkono wa wageni.
Hmuensang lamkah na kut yueng lamtah kai m'paco lah. Tui len lamkah khaw, kholong hlang kah kut lamlong khaw kai n'huul lah.
8 vinywa vyao hunena uongo, na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.
Amih ka te a poeyoek la cal uh tih a bantang bantang ah laithae om.
9 Nitakuimbia wimbo mpya, Mungu; kwa kinanda cha nyuzi kumi nitakuimbia sifa wewe,
Pathen namah taengah laa thai ka sa saeh lamtah namah te thangpa parha neh kan tingtoeng eh.
10 uwapaye wafalme wokovu, uliye muokoa Daudi mtumishi wako dhidi ya upanga wa uovu.
Manghai rhoek te loeihnah aka pae tih a sal David te boethae cunghang lamloh aka paco.
11 Uniokoe na unitoe mkononi mwa wageni. Midomo yao huongea uongo, na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.
Kai he m'paco lamtah kholong ca rhoek kut lamloh kai n'huul lah. Amih ka te a poeyoek la cal tih a bantang bantang ah a honghi kak la om.
12 Wana wetu na wawe kama mimea ikuayo kwa ukumbwa timilifu katika ujana wao na binti zetu kama nguzo za pembeni, zilizonakishiwa kwa kupamba jumba la kifahari.
Kaimih koca rhoek tah a camoe vaengah mupoe bangla rhoeng. Ka tu rhoek te bawkim muei la a saek rhungsut bangla omuh.
13 Ghala zetu na zijae akiba ya kila aina ya mazao, na kondoo wetu wazae elfu na makumi elfu mashambani mwetu.
Ka thaidi loh a com a luem lamkah te a khawk la a dang. Ka khohmuen ah ka boiva loh thawt tih pungtai.
14 Kisha ng'ombe wetu watakuwa na nddama wengi. Hakuna atakayevunja kuta zetu; hakutakuwa na uhamisho wala kilio mitaani mwetu.
Ka boeihlum aka tloeng khaw puut pawt tih khumpael pawh. Te dongah henah loh kaimih toltung ah om pawh.
15 Wamebarikiwa watu wenye baraka hizo; furaha ina watu ambao Mungu wao ni Yahwe.
Amah kah pilnam te tah a yoethen pai. BOEIPA te a Pathen la aka khueh pilnam te tah a yoethen pai.

< Zaburi 144 >