< Zaburi 136 >

1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Monna Awurade ase na ɔyɛ.
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Monna anyame mu Onyankopɔn ase.
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Monna awuranom mu Awurade no ase.
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔno nko ara na ɔyɛ anwanwadeɛ akɛseɛ.
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔno na ɔfiri ne nteaseɛ mu bɔɔ ɔsoro.
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔno na ɔtrɛɛ asase mu de kataa nsuo so.
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔno na ɔbɔɔ nkanea akɛseɛ no.
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔbɔɔ owia sɛ ɛnni adekyeeɛ so.
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔbɔɔ ɔsrane ne nsoromma sɛ wɔnni adesaeɛ so no.
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔno na ɔkunkumm Misraimfoɔ mmakan,
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
na ɔyii Israelfoɔ firii wɔn mu no.
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔde nsa kɛseɛ ne basa a watene mu.
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔno na ɔpaee Ɛpo Kɔkɔɔ no mu no,
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
na ɔde Israelfoɔ faa mfimfini no.
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Nanso, ɔpraa Farao ne nʼasraafoɔ guu Ɛpo Kɔkɔɔ mu no.
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
Ɔno na ɔdii ne nkurɔfoɔ anim wɔ ɛserɛ no so.
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
Ɔno na ɔkumm ahemfo akɛseɛ no,
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
na ɔkumm ahemfo akunini no.
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔkumm Amorifoɔ ɔhene, Sihon,
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ne Basanhene, Og.
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Na ɔde wɔn nsase maa sɛ agyapadeɛ.
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔde maa ne ɔsomfoɔ Israel sɛ agyapadeɛ.
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔkaee yɛn, yɛn mmerɛyɛ mu.
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Na ɔgyee yɛn firii yɛn atamfoɔ nsam.
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ɔno na ɔma abɔdeɛ biara aduane.
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Monna ɔsorosoro Onyankopɔn no ase.

< Zaburi 136 >